Niliyoyashuhudia kwenye mkutano wa injili wa Mwamposa Moshi

9. Mtumishi alikuwa anaingia na V8 tinted na hakuna cha kupungia hata waumini mkono.
Umaskini kitu kibaya mno kwa hiyo ulitaka aingie na bodaboda ndio roho yako ifurahi? halafu pale ni sehemu ya ibada ulitaka aingie akipunga mikono? ule haukuwa mkutano wa siasa
 
Baada ya ule mkutano nimeapa.kutokwenda kwenye mikutano ya Manabiii.
Usiende, sababu hata ulipoenda hukwenda kusali bali ulienda kama mshtaki ibilisi, farisayo na sadukayo ukitafuta umshtaki Mwamposya kwa lipi.Toka mwanzo hadi mwisho hukuwa kusali ulikuwa kupeleleza kama mshtaki ibilisi uone ni kipi upate kumdhalilisha Mwamposya,Hukwenda na roho ya ibada

ulienda na mapepo yako na ukatoka nayo usirudi nayo tena
 
Yesu mwenyewe alikuwa na mabaunsa 12 mitume wake.POPOTE alipoenda alienda nao
kuna siku alivamiwa baunsa wake petro akatoa kisu chake akamkata sikio mtu
Aisee ...yaani unavyo tafsiri maandiko! Haya maandiko unaweza kuyachomeka kwenye maana unayotaka lakini si kusudio halisi la fundisho kutoka kwa Kristo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesahahu kitu akianza kuomba wanao dodondoka ni wa pale mbele tu.
Huduma ya delivarance au kufungua waliofungwa ni tofauti na huduma ya mahubiri ya kawaida uliyozoea.UNAONA watu wa delivarance wengi huwa na walinzi hicho wewe hukushangaa? Wale walinzi kazi yao kubwa ni kumlinda mtumishi asije vamiwa na wapandisha mapepo au vichaa waliokuja kufunguliwa

Kwa nini huanza delivarance moja kwa moja na sio kuhubiri kwanza?
KUNA mhubiri toka Nigeria alienda marekani kuhubiri ni mhubiri mkubwa tu .Wenyewe wamarekani waliposikia ni mhubiri mkubwa mwenye jina kubwa wakasema njoo wakamlipia kila kitu .LAKINI KWA siri wakapanga kumpima kama kweli ana nguvu za kiroho na ufahamu wa kiroho

wakampeleka kwenye semina akakuta ukumbi umefurika watu wamekaa .Akakaribishwa aanze huduma yake akafungua Biblia akaanza kuhubiri akahubiri kama dakika kumi mwenyeji akasema inatosha.TUONDOKE akaambiwa live kuwa hawamtaki hayuko kiroho.
sababu nini ilikuwa?

wote waliokuwepo ukumbini walikuwa viziwi walichukuliwa sehemu mbali mbali wakaletwa kwenye semina wakamtegeshea wakasema huenda atalijua hilo awafungue kwanza ndipo aanze kuhubiri ,yeye kafika tu na BIBLIA yake kaanza kubwabwaja kwa viziwi

Na hawakumwambia akawauliza kwa nini mlinijaribu wakajibu neno la Mungu linaturuhusu kuzijaribu roho ndio maana tukakujaribu tukakuona huna uwezo wa kiroho kama unavyosifiwa

Watu wenye mapepo kuanza kuwahubiria kwa mtu wa delivarance huwa haaanzii huko

Ni kweli mikutano ya Mwamposya wengi huwa biblia hawana pia sababu wengi HUWA ni waislamu sio wakristo

yapo mengi tu ila cha msingi ujue kuna tofauti kubwa kati ya huduma ya deliverance na hii ya kuhubiri tu kwa kutumia Biblia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu tunapenda miujiza zaidi kuliko kuukubali ukweli na uhalisia wa maisha Kwamba lazima uweke juhudi na maarifa katika kufanya kazi ili ufanikiwe. Hakuna maisha mazuri ya miujiza pekee bila kuweka juhudi na maarifa kitika kufanya kazi. Mungu hubariki kazi za mikono ya wanadamu. Lakini watu wengi wamekata tamaa ya maisha na kufanya kazi huku wakijikita katika makanisa ya kiroho kutafuta miujiza pekee na sio maarifa.
Jmn nyakati zimebadirika, tuabudu na tuheshimu Imani lkn na kazi tufanye tena kwa juhudi na maarifa ili tufanikiwe.
..................Usijumlishe jamii yote kwa kusema “WAKRISTO TUNANAPOTOKA SANA” ukiwaweka na wale walio timamu vichwani mwao na wanaojua thamani ya Imani ya Kristo,sema “SISI TUNAOJIITA WAKRISTO HUKU HATUJUI TUNAABUDU NINI TUNAPOTOKA SANA”

Ni ujinga na wendawazimu kama mtu unaweza kwenda kuchomwa na jua kiwanjani kumsikiliza mjanja mjanja mmoja akinyofoa baadhi ya vifungu vya Biblia na kuwadanganya watu na kuwauzia baraka,eti anauza maji na mafuta ya baraka mikate ya baraka juzi sijui ni huyu niliona pic's za chvpí kwamba wale walio wagumba wazinunue wavae watajaaliwa uzao,hivi kweli nyie waumini mna akili sawasawa kweli vichwani mwenu???

Kwa sababu anawaona mapoyoyo juzi akaona awape home work ya kufanya ili mjue thamani ya Imani zenu akawadanganya mkagombanie kukanyaga mafuta aliyomwaga chini mmeenda kama nyumbu akaondoka hapo na ishirini,ninini mnafanya ni njaa ama nini?shida zimezidi?Imani haba mnapenda miujiza na mnataka kufanikiwa kwa kuombewa na mtu,mkiambiwa fanyeni kazi hamtaki huku maisha mazuri mkiyataka mnatamani muendeshe magari na kujenga nyumba nzuri kwa kuitikia tu Aminaaa,Aminaaa huku mikono mmeiinua kwa juu.

Hiyo paragraph ya mwisho nashangaa kwanini upo hapa,hata wewe unayeaminika kusoma kwenye ukoo wako unaamini upuuzi wa kukanyaga mafuta?Mungu anisamehe ila ningekuwa Israel na wewe nisingekuacha lazima kingeeleweka siku ile,Mungu hafanyi kazi kibwege hivyo otherwise asingeweka kitu maarifa kwenye bongo za wanadamu amkeni.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Not yenye thamani unaelewa? Yaani kama una not za 10,000/, 5,000/, 2,000/, 1,000 basi toa sh 10,000/
Noti pekee ndio imeandikwa FEDHA HALALI KWA MALIPO

AMBAZO SIO NOTI HAZIJAANDIKWA HAYO MANENO

MUNGU MPELEKEE HELA AMBAYO IMEANDIKWA KABISA FEDHA HALALI

NI JAMBO La kiimani ukitaka usiwe unapata mashilingi shilingi uwe unapata noti uwe unapenda kutoa noti sadaka vinginevyo umaskini wa kushika hela ndogo ndogo hauji kukutoka ni njia ya kukusaidia kukua kiimani sababu mtu apandavyo ndivyo atakavyovuna toa noti uvune noti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
65 Reactions
Reply
Back
Top Bottom