Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Ziliandaliwa kadi mpya 20 kwa ajili ya vijana wapya waliojiunga na Chadema.
Katika hao 20, kulikuwa na mwanamke mmoja tu.
Hii ni changamoto kama si tatizo. Lazima tung'amue na tuchukue hatua na mapema.
mimi naumia sana nikiona mwanamke wa Tanzania anazurura mchana kutwa na kibeseni cha mihogo huku amefunga kiremba cha CCM kichwani.
(Lazima tuwaelimishe au 2015 tuwanyang'anye shahada za kupigia kura ili wasipige kura kama walivyofanya majita wa Mwanza)
Katika hao 20, kulikuwa na mwanamke mmoja tu.
Hii ni changamoto kama si tatizo. Lazima tung'amue na tuchukue hatua na mapema.
mimi naumia sana nikiona mwanamke wa Tanzania anazurura mchana kutwa na kibeseni cha mihogo huku amefunga kiremba cha CCM kichwani.
(Lazima tuwaelimishe au 2015 tuwanyang'anye shahada za kupigia kura ili wasipige kura kama walivyofanya majita wa Mwanza)