Niliyoyaona kwa Mkapa (Lupaso) Stadium leo ambayo kama yasipofanyiwa Kazi basi yanaenda Kujirudia tena Lake Tanganyika 25 July, 2021 ni haya

Udhaifu wa Simba kwa sasa ni kukosa a best clinical finisher tu yaani ambaye ikitokea tu chance unahesabu ni goli na awe na uwezo wa mbio(speed) ,anaweza kupunguza watu na akaforce kuscore maana kwa sasa sioni kama tuna mshambuliaji halisi mwenye sifa tajwa hapo juu
Kagere hata control tu ni shida ,Boko vile vile ,Mugalu control anayo ila kufunga yupo chini ,naamini kwa sajili tatu ambazo Manara kasema basi hapo kwenye ushambuliaji watakuwa wamepaona pia.
I agree with you a million percent.
Niliwahi kuongea ukweli huu a while a ago. Simba hatuna striker mwenye hadhi ya kuchezea Simba. Tunapozungumzia Simba kupoteza nafasi nyingi za wazi, tunawazungumzia hawa ma-striker wetu watatu. Bottom line, hawako clinical or tactical katika kumalizia nafasi wanazopata. Wote hawana ball control na akipangwa huyu utatamani angepangwa huyu and vice versa.
 
KAULI ZAO KABLA YA MECHI

🏓 Gomes hajawahi kufungwa VPL
🏓 Mtatupigia makofi
🏓 Tuna Chama, Morrison, Miquison wanatokaje?
🏓 Mmeingia wenyewe Kwenye 18
🏓 Tunawataka mje
🏓 Kule Zanzibar mlicheza na watoto
🏓 Ole wenu mkimbie tena
🏓 Wachezaji wenu wa kuokota okota hamna kitu
🏓 Kafa KEIZER CHIEFS,Al Ahly ww uto nani bhan

BAADA YA MECHI SASA😂😂

😰 Mumshukuru mzee Mpili
😰 Mmebebwa
😰 Tukutane Kigoma
😰 Kocha angemtoa nyoni mapema
😰 Goli lenyewe lamsaada
😰 Wachawi sana nyie
😰 Mnashangilia kama mmepata Kombe
😰 Bahati haikua kwetu

Kali Zaid Manara anasema Kipindi cha kwanza haikua Simba😂😂 Sa Cjui waliku Tukuyu Stars🙌🤪

DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
🔥🔥🔥
 
Katika point zako zote point ya maana sana ni ya kupoteza nafasi na ni wazi Simba ilipata nafasi za wazi nyingi zaidi kuliko hata hao Yanga lakini matumizi ya nafasi hizo ndiyo yalinishangaza.

Haya twende kwa Yanga , unaweza kuniambia ikiwa Yanga walicheza vizuri zaidi walipata clear chances ngapi na walikosa ngapi na kwa nini?

Maana kuna shida naiona katika uchambuzi wa kibongo yaani timu ikiconced goli tu anaanza kulaumiwa kocha ohh angempanga huyu au yule hapa tu unaongea eti Nyoni ni mbovu mara angeanza mzamiru ila umesahau mzamiru ana udhaifu wake ambao mechi kadhaa anauonesha nao ni kupoteza pasi nyingi japo ana ubora wake mkubwa kwenye ukabaji (kupora mipira haraka) at the end game imeisha Morison akiwemo na alicheza alivyoweza.Kumbuka Simba wanacheza mpira endelevu yaani wa kitabuni Yanga wanakamia tu cos wanatambua wana madhaifu mengi tu.

Kuhusu Sven , ndo huyo huyo mliyemlaumu daily ohh anapanga mshambuliaji mmoja , mara timu haifungi magoli mengi yaani sijui tunapenda nini kwa kweli ,hivi unaweza kwenda kuwaambia watu eti Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba uwanjani kisa wamefunga tena a deflection ball goal yaani hicho ndicho kipimo kweli? unadhani watapata hizo deflection goals siku zote brother sahau hilo.

Mazoezi kuwa wazi sio sababu kama ingekuwa Sababu basi Yanga alipaswa ashinde goal 5 alipe kisasi cha miaka ile basi.Chambueni kiutu uzima sio blahblah nyingi kama hizi mnaharibu uhalisia ndiyo maana Yanga huko CAF kaenda mara nyingi than simba ila ana mafanikio kiduchu ukilinganisha na Simba kwa kuwa tu many times wanacheza kumkamia Simba while Simba ashavuka steji hiyo.

Ngoja tuone hizi next two games nani atakuwa mbabe huenda kila siku watapata deflection ball jambo ambalo kamwe siliamini
Wewe Subiri kipondo kingine huko Kigoma.. Yanga walikuwa vizuri ndo maana wameshinda kama wewe ulikuwa vizuri si Ungefunga.. Kipindi cha pili umelisakama lango la Yanga Why hukufunga..? Ndo ujue yanga alikuwa vizuri kukudhibiti..
Mtaendele kujipa moyo siku zote na mtaishia kukojolewa kimoko cha mkwezi, tena Yanga ye hatakagi Goli nyingi kimoko tu chamtosha na K yote huko chini inakuwa Nyeng'enyeng'e
 
Mkuu me nakuunga mkono na miguu kabisa kwa hoja yako, Simba kama team ipo vzr mno, tatizo kwa Simba lipo katika kupanga mikakati kabambe ya derby, kwa Yanga mechi ya Derby inachezwa nje na ndani, Simba ni tofauti sana. Na ndy maana hata Yanga waliingilia mlango ambao haukuwa rasmi, wakiamini mambo ya ulozi.
nilishangaa sana viongozi wa Simba wakati wanajiandaa na mechi kambi yao ilikuwa wazi sana hata kikosi kinachoanza kilijulikana mapema mno
 
Wewe Subiri kipondo kingine huko Kigoma.. Yanga walikuwa vizuri ndo maana wameshinda kama wewe ulikuwa vizuri si Ungefunga.. Kipindi cha pili umelisakama lango la Yanga Why hukufunga..? Ndo ujue yanga alikuwa vizuri kukudhibiti..
Mtaendele kujipa moyo siku zote na mtaishia kukojolewa kimoko cha mkwezi, tena Yanga ye hatakagi Goli nyingi kimoko tu chamtosha na K yote huko chini inakuwa Nyeng'enyeng'e
Matusi ya nini sasa?Ongea lugha sahili tu kuliheshimisha jukwaa hili la watu wanaojitambua basi

Baada ya mechi ya Kigoma tukutane uchambue tena kwa staha baada ya kunyimwa kombe hilo adhimu.
 
Back
Top Bottom