kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,616
- 1,763
Ni mwezi wa 6 sasa Toka nimalize chuo mwaka wa 3 mnamo mwaka Jana mwezi wa 8.
Pigo la kwanza nilinunua ngurue ili nifugiwe nyumbani kwa lengo kwamba nikirudi nije kuwauza nije fanya biashara.
Nimerudi nimekuta ngurue wote wa3 wameuzwa na niliahidiwa Kua nitalipwa pesa.. Nimekopwa Toka mwaka Jana nimerudi kutoka chuo sijapewa.
Nikiuliza naambiwa ooh sisi ndo tumekusomesha tulia dogo. Sio hilo tu nilijibana nikiwa chuoni nikaja kuuanzisha biashara ndogo tu.. Lakini licha ya biashara Kua ngumu mtu anachukua bidhaa bila kulipa ukiuliza eti sisi ndo tumekusomesha tulia.
Kila nikitia jitihada kadhaa kujishugulisha nahisi naumia tu for nothing. Wakuu naomba kuuliza hata nyie mliosomeshwa mnakumbana na changamoto kama hizi? Je mnazikabili vipi? Aisee bora tu nirudi chuoni sio kwa maumivu haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pigo la kwanza nilinunua ngurue ili nifugiwe nyumbani kwa lengo kwamba nikirudi nije kuwauza nije fanya biashara.
Nimerudi nimekuta ngurue wote wa3 wameuzwa na niliahidiwa Kua nitalipwa pesa.. Nimekopwa Toka mwaka Jana nimerudi kutoka chuo sijapewa.
Nikiuliza naambiwa ooh sisi ndo tumekusomesha tulia dogo. Sio hilo tu nilijibana nikiwa chuoni nikaja kuuanzisha biashara ndogo tu.. Lakini licha ya biashara Kua ngumu mtu anachukua bidhaa bila kulipa ukiuliza eti sisi ndo tumekusomesha tulia.
Kila nikitia jitihada kadhaa kujishugulisha nahisi naumia tu for nothing. Wakuu naomba kuuliza hata nyie mliosomeshwa mnakumbana na changamoto kama hizi? Je mnazikabili vipi? Aisee bora tu nirudi chuoni sio kwa maumivu haya.
Sent using Jamii Forums mobile app