Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #81
Mkuu nashukuru sana.Napenda kujibu maswali yako kwa kifupi sana Kama ifuatavyo;
1. Kwamba ningependa kubaki kuwa Mbunge ama napenda majukumu makubwa zaidi jibu ni kuwa sijui kwa sasa. Hali ya kisiasa ndio huamua destiny ya Wanasiasa wengi.
2. Nimeyafanya haya kwa kuwa niwajibu wangu kuyafanya hayo.Nimelelewa katika kutimiza Wajibu wangu. Rekodi yangu tangu nimeanza Kazi CHADEMA inajionyesha wazi ni mtu wa kutimiza wajibu na Mnyika alinifundisha kurekodi na kuripoti kila ninachokifanya. Hivyo niwajibu wangu kuyatimiza haya niliyoyafanya na kuweka wazi in public kwani hakuna Siri wala ubaya katika kuripoti uliyoyafanya.
Thanks
1. Kwamba ningependa kubaki kuwa Mbunge ama napenda majukumu makubwa zaidi jibu ni kuwa sijui kwa sasa. Hali ya kisiasa ndio huamua destiny ya Wanasiasa wengi.
2. Nimeyafanya haya kwa kuwa niwajibu wangu kuyafanya hayo.Nimelelewa katika kutimiza Wajibu wangu. Rekodi yangu tangu nimeanza Kazi CHADEMA inajionyesha wazi ni mtu wa kutimiza wajibu na Mnyika alinifundisha kurekodi na kuripoti kila ninachokifanya. Hivyo niwajibu wangu kuyatimiza haya niliyoyafanya na kuweka wazi in public kwani hakuna Siri wala ubaya katika kuripoti uliyoyafanya.
Thanks
Mimi nina kaswali, je ungependelea kubakia kuwa mbunge ama unadhani unaweza majukumu makubwa zaidi?
Je haya uliyoyafanya na kuya mention, ni kwasababu unataka ubakie kuwa mbunge, upate nafasi ya juu zaidi, ama ni moyo yu umekutuma kuonyesha jinsi unavyowatumikia wananchi bila kutegemea kuwa utachaguliwa tena?
Je kama usipochaguliwa tena ni kweli kuwa hutajali licha ya kuwafanyia wananchi hao mambo yote hayo? Would you hold grudges for it happend the second time?
Sitll naamini kama ni kweli hayo uliyomention hapo juu ni kutokana na jitihada zako, basi hii itatufanya pia tuwaulize kina Zitto na wengineo kama they can do the same.
Shida niliyonayo na wanasiasa ni kwamba they do something in order to get something of move value to them...