Niliyoyafanya tangu niwe Mbunge-Shukrani kwa WanaJF

Status
Not open for further replies.
malori,magreda na trela yamekuwa yanamaliza viongozi wetu wa kitaifa. Inawezekana ndo njia Mungu aliyowapangia ila mi sina amani na aya malori hasa kugongana uso kwa uso. Kuanzia ndugu sokoine,ukimwondoa mh jamaldin akikweti aliyekufa kwa ndege kule mbeya-waliobaki wamekufa kwa ajali za malori. Sitaki.
 
HAYA MANENO YA REGIA MTEMA ALIYOYASEMA NAONA YALIKUWA YANAASHIRIA TUKIO BAYA,
[h=2]Niliyoyafanya tangu niwe Mbunge-Shukrani kwa WanaJF[/h]MAANA UKIYAANGALIA NI KAMA ANAAGA VILE,KAMA AMESHAMALIZA KAZI NA MUDA WAKE UMEKWISHA

ZAIDI YA HAPO AKATOA SHUKRAN ZAKE KWA WANA JF,

R.I.P REGIA
 
HAYA MANENO YA REGIA MTEMA ALIYOYASEMA NAONA YALIKUWA YANAASHIRIA TUKIO BAYA,
[h=2]Niliyoyafanya tangu niwe Mbunge-Shukrani kwa WanaJF[/h]MAANA UKIYAANGALIA NI KAMA ANAAGA VILE,KAMA AMESHAMALIZA KAZI NA MUDA WAKE UMEKWISHA

ZAIDI YA HAPO AKATOA SHUKRAN ZAKE KWA WANA JF,

R.I.P REGIA

kweli kabisa.
 
Tutakukumbuka daima mpendwa wetu Regia Mtema, asante kwa kazi na mapenzi kwa taifa lako!
 
HAYA MANENO YA REGIA MTEMA ALIYOYASEMA NAONA YALIKUWA YANAASHIRIA TUKIO BAYA,
Niliyoyafanya tangu niwe Mbunge-Shukrani kwa WanaJF

MAANA UKIYAANGALIA NI KAMA ANAAGA VILE,KAMA AMESHAMALIZA KAZI NA MUDA WAKE UMEKWISHA

ZAIDI YA HAPO AKATOA SHUKRAN ZAKE KWA WANA JF,

R.I.P REGIA

Mawazo yangu precisely! Kumbuka pia alianzisha thread ya kukusanya maoni. Alikuwa anatuaga for sure! Mungu ampe raha ya milele.

RIP our and only one Regia!
 
ni vigumu kuamini lakini ndio ukweli wenyewe.
R.I.P dada Regia Mtema.
 
RIP regia, Machozi yanitoka, kila roho itaonja mauti ila umetutoka mapema sana, Mpango kazi wako ulikuwa mrefu na endelevu
 
Naomba nichukue fursa hii pia kuwashukuru wanaJF wote kwa support yenu kwangu kwa hakika ninawashukuru sana tena sana. JF imekuwa ni nyumbani, JF imekuwa ni darasa, Vile vile JF imekuwa ni Tanuru la Moto maana wakati mwingine huwa ninaingizwa kwenye moto hasa. Na mwisho nichukue fursa hii kuwaomba radhi wale wote niliowakwaza kwa namna moja ama nyingine, tuanze upya mwaka ujao..

With Love
Regia
Painful, kuzuia machozi inashindikana
 
HAYA MANENO YA REGIA MTEMA ALIYOYASEMA NAONA YALIKUWA YANAASHIRIA TUKIO BAYA,
Niliyoyafanya tangu niwe Mbunge-Shukrani kwa WanaJF

MAANA UKIYAANGALIA NI KAMA ANAAGA VILE,KAMA AMESHAMALIZA KAZI NA MUDA WAKE UMEKWISHA

ZAIDI YA HAPO AKATOA SHUKRAN ZAKE KWA WANA JF,

R.I.P REGIA

Naamini kweli alikuwa anatuaga.
 
Taifa limempoteza kijana mwenye maono, aliyekuwa na mashiko, aliyekuwa na dira, aliyekuwa mfano unaopaswa kuigwa na vijana wanaotegemea kulitumikia taifa na wananchi wake.

Regia Estelatus Mtema amefariki jana saa tano asubuhi kwa ajali ya gari lenye namba T 296 BSM, aina Land cruiser .
Taarifa zinaeleza alikuwa akitoka mkoani Morogoro na baada ya kufika Ruvu Darajani, ajali hiyo ikatokea na kusababisha kifo chake.
Kwa namna iwayo yote, Regia hatutamuona akishika gongo na kutembea, kwa vile alikuwa na ulemavu wa mguu. Hatutamsikia akifungua kinywa na kuonya, kukaripia, kufundisha, kuhamasisha ama kutoa kauli yoyote.

Kichwa cha Regia chenye ubungo uliosheheni maarifa, mbinu na stadi za kujua maana ya utaifa na kulitumikia taifa, hakiwezi kufanya kazi. Regia amelala usingizi wa amani.

Ameondoka duniani akiwa bado kijana ambaye licha ya ulemavu wa mguu aliokuwa nao, lakini alidhihirisha kwamba ‘kazi ni kipimo cha utu'. Regia alifanya kazi kwa bidii.

Hata hivyo, NIPASHE JUMAPILI imepata taarifa ya Regia Mtema aliyoiandika Desemba 30 mwaka jana, kupitia Jukwaa la Jamii akielezea shughuli alizozifanya tangu alipoteuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Aliandika hivi:

(wamemnukuu hapo juu)
 
nashukuru mkuu kwa kutukumbusha maneno ya mwisho ya kipenzi chetu mh regia mtema, kweli wana jf pamoja na watanzania wote tumeondokewa na mtu muhimu sana.. lakini hayo yote tumwachie mungu maana yeye ndie kampenda zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom