Niliyojifunza kutoka ujenzi wa nyumba yangu ya kwanza

Hii kauli husemwa na watu wengi lakini sio kweli. Sema tu baada ya kupaua mfuko huwa unayumba sana. Hivyo matarajio ya wengi ni kuwa kazi imebaki ndogo. Sasa wanapoona wanatakiwa kutoa tena number of Milions wanachanganyikiwa na kudhani kuwa Finishing ndio gharama kulikoz hatua zingine. Sio kweli.

Fikiria gharama ulizotumia kuanza msingi, boma, renta, Mbao , bati na kupaua ni bei gani?? Ukipata pesa kama hiyo tena unamaliza kila kitu cha finishing. Sasa iweje finishing uonekane ndio ghali sana kuliko ulikotoka?
Usibishe.
Elezea gharama ulizotumia kusimamisha pagara jumlisha gharama za kupauwa, kisha linganisha na gharama za finishing; ndiyo utajua aina ipi ya ujenzi inakula Pesa.
 
Usibishe.
Elezea gharama ulizotumia kusimamisha pagara jumlisha gharama za kupauwa, kisha linganisha na gharama za finishing; ndiyo utajua aina ipi ya ujenzi inakula Pesa.
finishing unakula hela kutokana na wewe unataka ufinishi vipi. Gharama zinapishana hapo. Ukitaka finishing ya majuu poa ukitaka madirisha na nondo tu unalala na familia freshi tu
 
Kwa bei za materials sasa hivi kujenga ni burden kubwa sana, inabidi ujipange sana sana.
 
Nilianza ujenzi nikiwa 24 nikamaliza nikiwa 27 aisee nilikuwa napenda nyumba kubwa....nikajenga vyumba vya kujiachia....sebule kubwa ....ila kwa sasa natamani nyumba ndogo
watakuelewa wachache sanaaa kwenye hili
 
Binafsi naamini sana kuwa na sehemu yako ya kuishi bila bugudha ya kodi wala maudhi ya wapangaji wengine,
Mambo machacho kuhusu mimi
1. Niko under 30
2. Kipato changu ni kati ya 500k - 550 k kwa mwezi

Baada ya kununua kiwanja، nilianza kununua maatofali kidogo kidogo.
Mambo niliojifunza

1. Anza kujenga na ulicho nacho, kwenye fungu ndio kwenye nyongeza, ukishaweka tofali kama kweli unania ya kugenga kichwa kitapata moto, Mungu atakufungulia

2. Msingi wa nyumba ndio kila kitu, nilipoanza kujenga nilikua na bajeti ndogo, ujenzi ulikuaa wa kimasikini kweli, matokeo yake, sasa nyumba imeisha ila msingi uko chini na kuna vitu ningetamani vingekuepo ila ndo nyumba ishamalizika, hili silijutii kwani ni funzo, hata hapa nilipofika sikutegemea kufika.

3. Hata kama fundi unamuamin, ni muhimu sana kuwepo wakati wa ujenzi, kuna makosa mengi ambayo yanaweza kutokea, kusimamia ujenzi sio kwa kuzuia uizi tu bali hapa usahihi wa nyumba unavyotaka iwe. Nyakati muhimu za kuwepo ni wakati wa kuset msingi wa nyumba, wakati wa kufunga mkanda wa nyumba, ukataji wa madirisha na milango, na kufunga lenta makosa mengi yanatokea hapa

4. Ujenzi hauna gharama kamili, kama ulipiga bajeti ya milioni 30, hakikiaha una milioni tano ya extra. Mengi yanatokea, ikiwemo vitu kupanda bei

5. Kuna muda utakua unajua kua fundi amekula hela ila hakuna jinsi, ikiwa hujui vifaa vya plumbing au umeme, chukua bei ya fundi, nenda madukani kaulizie, ukipata tofauti isio kubwa na ukiwa na uhakika wa kuletewa kitu original ambacho wewe unahofu ya kuuziwa fake , basi mpe tu fundi hela ( kwa wasio na uzoefu)

6. Siku unayomaliza kupaua ndio ujenzi unaanza, kati ya vitu ambayo ni kuhimu katika nyumba na vina gharama kubwa ni kama mfumo wa maji, umeme, milango ya mbao na grill, hivi vitu usivichukulie kirahisi kwenye budget, gharama zake hua ni M M tu.

7. Unapotaka jugenga aim for high, nilikua nimeingia mtego wa kutaka kujenga chumba kimoja na sebure, ila nilipoamua kujenga nyumba ya vyumba vitatu niliona kabisa kama ni kitu ambaacho hakiwezekani ila hatimae imewezekana, lesson-- panga kwa kuangalia wewe unakua au unataka kua nani nani na si sasa hivi una hali gani .
Plan besed on who you want to be not who you are, by this utaepuka regret za kujenga kitu ambacho baadaae hukifurahii sana
Hongera mkuu
 
Finishing ni gharama sana. Ndio maana amesema hivyo. Hakuna kuteleza kwenye finishing ndio maana boma zenye bati zipo nyingi watu wamezitelekeza
Gharama kubwa inaanzia kupaua. Yangu ilinikula 15m kupaua tu. Aluminium 6 m, milango ya mbao complete 840k kila mmoja, milango ya kisasa ya chuma 2,200,000 wa mbele na nyuma. Tiles 20m za India, hizi ni pamoja na za skirting nje. Umeme, maji etc ni shida. Bado grills za madirisha, fundi tiles, fensi etc. Nyumba ya kisasa ni gharama sana. Ila Mungu ni mwema niko kwangu
 
Gharama kubwa inaanzia kupaua. Yangu ilinikula 15m kupaua tu. Aluminium 6 m, milango ya mbao complete 840k kila mmoja, milango ya kisasa ya chuma 2,200,000 wa mbele na nyuma. Tiles 20m za India, hizi ni pamoja na za skirting nje. Umeme, maji etc ni shida. Bado grills za madirisha, fundi tiles, fensi etc. Nyumba ya kisasa ni gharama sana. Ila Mungu ni mwema niko kwangu
Duh nyumba ya bedroom ngap hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gharama kubwa inaanzia kupaua. Yangu ilinikula 15m kupaua tu. Aluminium 6 m, milango ya mbao complete 840k kila mmoja, milango ya kisasa ya chuma 2,200,000 wa mbele na nyuma. Tiles 20m za India, hizi ni pamoja na za skirting nje. Umeme, maji etc ni shida. Bado grills za madirisha, fundi tiles, fensi etc. Nyumba ya kisasa ni gharama sana. Ila Mungu ni mwema niko kwangu
Mkuu 840k kila mlango wa mbao? Duuh
 
Gharama kubwa inaanzia kupaua. Yangu ilinikula 15m kupaua tu. Aluminium 6 m, milango ya mbao complete 840k kila mmoja, milango ya kisasa ya chuma 2,200,000 wa mbele na nyuma. Tiles 20m za India, hizi ni pamoja na za skirting nje. Umeme, maji etc ni shida. Bado grills za madirisha, fundi tiles, fensi etc. Nyumba ya kisasa ni gharama sana. Ila Mungu ni mwema niko kwangu
Duh milango ya chuma mbele na nyuma tu M ngapi? Duh tunaomba utupe picha ya hio milango wakati mi hio milango wa mbele na nyuma ya chuma nilitumia laki 3 yote kweli ujenzi tunatofautiana kutoa ela si mchezo.
 
Duh milango ya chuma mbele na nyuma tu M ngapi? Duh tunaomba utupe picha ya hio milango wakati mi hio milango wa mbele na nyuma ya chuma nilitumia laki 3 yote kweli ujenzi tunatofautiana kutoa ela si mchezo.
 

Attachments

  • Screenshot_20220604-074101_Instagram.jpg
    Screenshot_20220604-074101_Instagram.jpg
    62.1 KB · Views: 137
Gharama kubwa inaanzia kupaua. Yangu ilinikula 15m kupaua tu. Aluminium 6 m, milango ya mbao complete 840k kila mmoja, milango ya kisasa ya chuma 2,200,000 wa mbele na nyuma. Tiles 20m za India, hizi ni pamoja na za skirting nje. Umeme, maji etc ni shida. Bado grills za madirisha, fundi tiles, fensi etc. Nyumba ya kisasa ni gharama sana. Ila Mungu ni mwema niko kwangu
Ushanitisha mkuu naona Kama mil 100 na usher imeteketea kwa nyumba iyo
 
Back
Top Bottom