mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,053
- 4,825
Nyani mzee ndie aliyekwepa mishale mingiNililofanikiwa hadi sasa nikotokula TGO
Dunia ina mengi mkuu wengine tukae kimya tuu
Maisha ubishi
Nyani mzee ndie aliyekwepa mishale mingiNililofanikiwa hadi sasa nikotokula TGO
Hainaga formula maalum muda mwingine 1+1=100 and sometimes 2Mmmmh..sio kupata tahadhari kwanza?? Please share kama hutojali.
hata 11 kabisaHainaga formula maalum muda mwingine 1+1=100 and sometimes 2
Mimi namshukuru Mungu nilijiapiza sitofanya mambo mawili na hadi leo nimefanikiwa japo kwa mbinde, msiniulize ni mambo gani
Sawa mkuu siku nyingine sitakomentiBora ungenyamaza usicomment chochote
Kwa namna hiyo,inaleta picha kwamba wake za watu wanaliwa sana 90%?. Pamoja na kauli mbiu kubwa ”MKE WA MTU SUMU”?
Itakuwa mhehe wewe?Mipango ni mizuri ila Mungu pia anapanga yake...
Nishwahi jiapiza sitajiua
Ila kuna siku yalinifika,nikasaidiwa tu
Ila from there unakuwa very strong unachukulia poa...growth is not comfortable
WalaaaItakuwa mhehe wewe?
Mkuu usikaze shingo sana.Nimeyashinda yote ila Gari sina,kitu ambacho sijawahi tamani na sitakuja tamani ni Tigo/Utumbo ,pia kwenda kwa Mganga hapana
Mie niliapa nitamtunzia mume wangu
Lakini hadi sasa nimeshafanya kama mara 7800
HahahahahaMie niliapa nitamtunzia mume wangu
Lakini hadi sasa nimeshafanya kama mara 7800
pole mkuu,ukitubu atakusame Mola,niliapa kuwa cku Mungu akinipa mke mwema ctakaa nizini,Dooh...najuta kujiapiza maana ndo km vile shetani anawaleta warembo wa kila aina kwangu na kujikuta nawabandua kila cku,,hv tunaondoaje viapo hv jmn?Ndugu zangu!
Mwenzenu nilipokuwa kijana niliapa katu katu sitokuja kujaribu kufanya mambo haya matano!
Nilichojifunza Usijiapize kitofanya kitu bila kuwa na ufaham wa namna ya kuepukana nacho.
- Niliapa kutozaa watoto nje ya ndoa.... lakini hadi muda huu Leo nina watoto watatu nje ya ndoa inaniuma sana lakini basi tu
- Niliapa sitokuja kutembea na mke wa MTU katukatu...Daah kusema ukweli hilo nalo nimepitiwa nimewalaaa sana utafikili wametumwa kunijaribu
- Kufanya mapenzi kwenye gari; Yaani nilikuwa nawashangaa sana wanaofanya kwenye gari, lakini siku nilionja nikazoea kwanza hata guest nikaanza kuona ni hasara
- Kwenda kwa mganga; Niliapa sitakanyaga kwa mganga, Baada misukosuko ya kikazi nilimtafta mganga mwenyewe bila shurti
- Nililofanikiwa hadi sasa nikotokula TGO ya mtu; Kusema ukweli hili nimeshinda ingawa majaribu yalikuwa mengi sana lakini Alhamdulillah Nimeyashinda!
Vipi; Nyie wenzangu mlitumia njia gani kujizuia msiyafanye mlojipangia?
TUJUZANE TAFADHALI
unampunja utamu maskiniMie niliapa nitamtunzia mume wangu
Lakini hadi sasa nimeshafanya kama mara 7800
kuna rafiki yangu anadai eti yy hakula tgo kwa kukusudia ila ilichomoka na ktk harakati za kuirejesha ikazama mavini,nae akaendeleza kuchochea baada ya kuona ni tamu halafu mwenye mavi yake halalamikiLa tigo mi mwenyewe lina nipa majaribu mengi kuna mda najiona mjinga kutokula tigo nashukuru kwa kutokula tigo
Subhanallah.....hv kumbe watu mnawafaidi sana wake zetumi wake za watu nimekula,waganga nimeenda..tgo nimeonja ila nishatubu...wake za watu nimewakula..ila watoto no...N;B: KWA MGANGA Ni noma maana unaeka nafsi yako karibu na shetani..kula tigo nayo ni hatari kama unakumbuka sodoma na gomora..ila wake za watu watamu bwana