if cap fits
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 1,381
- 1,872
Mtu anae apa ni mtu mwingine kabisa,sio leo umefumaniwa na uzinzi wako ukaapa kutotembe nake wa mtu na hali secretary wako kaolewa na kila siku mnakula lunch pamoja, unazan nn kitatokea na tabia zako zilivyo chafu na hadi matendo yako yanakushuhudia.
Kikubwa usiape kabisa, wanao apa ni over 100% mabingwa wa imani, ila sio bure bure, na ukiapa shetani anakutembelea kukuona unavyokuja kuanguka na kiapo chako, ndipo shetani huanza kucheka na Mungu hupata hasira matokeo yake kukupa adhabu kali zaidi, usiape, usiape kabsa,
Kikubwa usiape kabisa, wanao apa ni over 100% mabingwa wa imani, ila sio bure bure, na ukiapa shetani anakutembelea kukuona unavyokuja kuanguka na kiapo chako, ndipo shetani huanza kucheka na Mungu hupata hasira matokeo yake kukupa adhabu kali zaidi, usiape, usiape kabsa,