- Thread starter
- #21
ayiiiiMipango ni mizuri ila Mungu pia anapanga yake...
Nishwahi jiapiza sitajiua
Ila kuna siku yalinifika,nikasaidiwa tu
Ila from there unakuwa very strong unachukulia poa...growth is not comfortable
ayiiiiMipango ni mizuri ila Mungu pia anapanga yake...
Nishwahi jiapiza sitajiua
Ila kuna siku yalinifika,nikasaidiwa tu
Ila from there unakuwa very strong unachukulia poa...growth is not comfortable
Kwa waganga,mume wa mtu...such is life..ayiiii
Njoo ufanye na mimi angalau kimojaDuh kumbe kuna watu tunasindikiza wenzetu tu hapa. Sijawahi fanya hata moja kati ya hayo. Watu CV zenu ni konki
Kidogo tu 😅umetisha
Mie niliapa nitamtunzia mume wangu
Lakini hadi sasa nimeshafanya kama mara 7800
Nilijitahidi nisingie chumvini ila ndo hivyo tena.La tigo mi mwenyewe lina nipa majaribu mengi kuna mda najiona mjinga kutokula tigo nashukuru kwa kutokula tigo