sawe6
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 559
- 365
Nimemuwekea mtu dhamana mahakamani
Mwaka 2017. Mtuhumiwa akawa anaudhuria mahamamani. Vizuri tu .lakini mwishoni mwa mwaka Jana mtuhumiwa akakata mawasilianao na mimi na mahakamani akawa haendi.
Juzi polisi walifika nyumbani kwangu wakanikamata baada ya kufika kituoni nikaambiwa nijidhamini mpaka jumatatu nipelekwa mahakamni.
Sasa ninaomba kujua kwasheria ni mm ninaendelea na kesi kama mtuhumiwa au nitawajibika kulipa fungu la dhamana tu.
Ninaomba ufafanuzi na jinsi ya kujitetea wakuu.
Ninatanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 2017. Mtuhumiwa akawa anaudhuria mahamamani. Vizuri tu .lakini mwishoni mwa mwaka Jana mtuhumiwa akakata mawasilianao na mimi na mahakamani akawa haendi.
Juzi polisi walifika nyumbani kwangu wakanikamata baada ya kufika kituoni nikaambiwa nijidhamini mpaka jumatatu nipelekwa mahakamni.
Sasa ninaomba kujua kwasheria ni mm ninaendelea na kesi kama mtuhumiwa au nitawajibika kulipa fungu la dhamana tu.
Ninaomba ufafanuzi na jinsi ya kujitetea wakuu.
Ninatanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app