Mzolewa
Member
- Dec 15, 2016
- 35
- 8
"Wanajamvi naomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu wa kisheria anisaidie"
Kuna mtu nilimwekea dhamana mahakama ya mwanzo kwa kosa la jinai ya kujipatia mali/huduma kwa udanganyifu baada ya kutoka selo alitoroka na juhudi za kumpata hazijafanikiwa, ili niwe sehemu salama sheria inasemaje?
Kuna mtu nilimwekea dhamana mahakama ya mwanzo kwa kosa la jinai ya kujipatia mali/huduma kwa udanganyifu baada ya kutoka selo alitoroka na juhudi za kumpata hazijafanikiwa, ili niwe sehemu salama sheria inasemaje?