GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
- Thread starter
- #61
Kakojowe ukalaleee
Hatuna Kiswahili cha ' Kakojowe ' kama Mpumbavu ( Mpopoma ) Wewe ulivyoandika hapa bali tuna Kiswahili Sanifu kabisa cha ' Kakojoe ' sawa?
Kakojowe ukalaleee
Husilazimishe watu kuamini kuwa mwnyi ni chaguo la Mungu. Hata kama ni chaguo la Mungu, kwa kuchaguliwa kuliko fanyika hakuwa chaguo la Mungu bali chaguo la watanzana bara.
Dr Mwinyi ni Chaguo la JiweUmeuelewa Uzi lakini? Kuna mahala popote umeona nimeandika kuwa Magufuli ni Mungu? Kuna Watu huwa mnanitafuta Wenyewe ili tu Mnilaumu.
Hawezi kuwa Dickhead huyo AssholeThis is another evidence reveals how stupid(dickhead) you are. Wewe ni mweupe kichwani that's why unakimbilia kutukana.
Zanzibar 2020 - Hussein Mwinyi, ilikuwaje ukawa Mbunge wa Mkuranga, mkoa wa Pwani, na sasa unaenda kugombea urais Zanzibar?Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.
Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.
Nawasiwasi wewe ndio huna akili, kitendo cha kujiuliza tu kimeonyesha wewe huna akili, huyo bwana hana akili kabisaMkuu una akili kweli?
Kama Dkt Hussein Mwinyi ni chaguo la Mungu basi hakuna haja ya kupiga kura.Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.
Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.