BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Niliwaambia uchaguzi Huu si lelemama. Kwa ujio huu wa Lissu unadhihirisha kabisa CCM tumekuwa dhaifu sana. Chama sasa kimejaa wanafiki, watu wa kusifia tu wasiojua kujenga hoja.
Jukwaa likiwa huru tumekwisha. Siamini kwa namna wapinzani walivyobanwa miaka 5 sikutegemea kama wananchi wangekuwa na presha ya kumpokea Lissu kiasi hiki.
Jukwaa likiwa huru tumekwisha. Siamini kwa namna wapinzani walivyobanwa miaka 5 sikutegemea kama wananchi wangekuwa na presha ya kumpokea Lissu kiasi hiki.