Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,190
Rais Samia kula nao sahani moja.
Ati wanazarau, ati wanakuona mpole, ati wanataka kukupangia cha kufanya ata wanakublack mail.
Rais Samia usiwaache wizi wa awamu ya tano lazima uwekwe hadharani na wafikishwe mahakama ya mafisadi na uhujumu uchumi.
Rais Samia usiwaache zile billion 180 za hazina, zile billion 90 za CCM, yale mabilio ya bandari, tanesco, zile billion 90 za chama na hazijulikani zilipo, zile tenda hewa. RAIS SAMIA tunataka waziteme.
Tunasimama na Rais Samia
Rais Samia
#Kazi Iendelee
Ati wanazarau, ati wanakuona mpole, ati wanataka kukupangia cha kufanya ata wanakublack mail.
Rais Samia usiwaache wizi wa awamu ya tano lazima uwekwe hadharani na wafikishwe mahakama ya mafisadi na uhujumu uchumi.
Rais Samia usiwaache zile billion 180 za hazina, zile billion 90 za CCM, yale mabilio ya bandari, tanesco, zile billion 90 za chama na hazijulikani zilipo, zile tenda hewa. RAIS SAMIA tunataka waziteme.
Tunasimama na Rais Samia
Rais Samia
#Kazi Iendelee