engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Kwanza TV
16 mins ·
“Niliwahi kutumia bandari ya Dar es Salaam zaidi ya mara 3, lakini kutokana na uaminifu mbovu na urasimu kwa taasisi za ukaguzi ghafla nikahamia bandari ya Mombasa, wasipodhibitiwa watu hawa bandari zetu zitakufa” Mkurugenzi wa Jayjey Ltd - Humprey Mosha. #KwanzaHabari