Niliwahi kuelezea nguvu ya Kanisa Katoliki katika Siasa za Tanzania nikadhihakiwa, sasa taratibu nadhani tutaelewana tu!

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Nayaheshimu sana na mno Madhehebu mengine yote ukiachilia langu la Katoliki, ila kwa Tanzania hii na Nguvu ya Kanisa Katoliki tokea Uhuru na lilivyojikita indirectly katika Siasa za Tanzania huwezi kuwa Rais wa Tanzania au Makamu kama siyo Mkatoliki. Ukilibishia hili unataka tu Ligi isiyokuwa na maana kwani ndiyo Ukweli wenyewe.

Huko nyuma nakumbuka nilisema na leo narudia tena Kusema hapa hapa JF kuwa hata wale Marais wa Dini zingine waliowahi Kutawala (Kuongoza) Tanzania pia huwa ni lazima iwe ni kwa Uwazi au Kificho waende Vatican kwa Papa na ilipo Ngome Kuu (kama si Kitovu) Cha Ukatoliki ili Kujitambulisha.

Na hii Nguvu ya Ukatoliki haijaibuka tu bali ni Makubaliano ' Maalum ' yaliyoluwa ya ' Kimkakati ' zaidi tokea Awamu ya Kwanza ambayo imepelekea kuwa na Kiapo cha ' Siri ' kwa Watawala (wenye Dhamana) kuwa nafasi zote zinaweza Kutwaliwa na Madhehebu mengine.

Ila kwa Urais au Makamu wake piga ua si Ombi bali ni lazima awe Mkatoliki na hili wala halina Mjadala na kwenda nalo Kinyume ni Kujitafutia matatizo hasa ikizingatia ndiyo Dhehebu Kubwa Tanzania na lenye Waumini wengi kama ilivyo Duniani lakini pia ndiyo inaaminika kuwa ni Werevu na Wasomi wazuri.

Kwa wale Wakristo wenzangu ambao mnaota (mnawaza) kuja kuwa Marais Tanzania miaka ijayo nakuambia (nakuambieni) mapema tu kuwa kama hutokei katika Dhehebu Kubwa la Katoliki sahau labda utaishia tu kuwa Waziri Mkuu au Nafasi zilizopo za chini.

Hata Mama nae si kwamba alichelewa Kumchagua (Kumteua) Makamu wake Kimakusudi ila alishatahadharishwa mapema tu na Watu waliokuwa wanalijua hili kuwa lazima Mteule wake awe Mkristo lakini pia atokee katika Dhehebu Kubwa, lenye Nguvu na Ushawishi la Katoliki.

Mlionidhihaki huko nyuma endeleeni tu.
 
Umepuyanga sana mzee, hivi wakati unaandika huu upupu hukushtuka tu kuwa Kikwete na Dr. Bilali sio Wakatoliki? Na walikuwa katika nafasi ulizotaja ya kuwa mmoja wapi ni lazima awe Mkatoliki?

Umekula maharage ya wapi mkuu mpaka umevimbiwa? Malizia pilau kwa shemeji yako ulale!
 
Umepuyanga sana mzee, hivi wakati unaandika huu upupu hukushtuka tu kuwa Kikwete na Dr. Bilali sio Wakatoliki? Na walikuwa katika nafasi ulizotaja ya kuwa mmoja wapi ni lazima awe Mkatoliki?

Umekula maharage ya wapi mkuu mpaka umevimbiwa? Malizia pilau kwa shemeji yako ulale!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mkuu JK alipigwa Nyaraka na Pengo mpaka kuonekana Jamaa bwege

Huyu Huyu Pengo hajawahi mpiga nyaraka JPM

Kanisa katoliki lina sura nyingi sana sana

Usilichukulie poa, Hao ndio waliosababisha ukoloni Africa na unyonyaji

Walijenga makanisa sehemu zenye madini na kuwagawia wazawa nguo

Umewahi fika St Peters Basilica Vatican?

Pale kuna siri na historia nzito

Unamfaham Michael Angelo?

Ukifika Vatican na kutembelea makumbusho utakaa kimya

Hii Dunia kuna watu Walikuwa na akili sana sana

Unamfaham Raphael? Nenda Vatican

Watu walichora na kuchonga kwa 3D

Unajua waliosababisha kiswahili kikue?

Wakati huo Galileo Galilei Mwana sayansi alisema dunia Duara, Kanisa likisubiri Dunia ni tambarale

Unafahamu Galileo alipata nini?

Hawa Mapadri wa kizungu na wageni ni hatari kuliko unavyowaza

Basi mapandikizi wa CIA, Mossad wengi ni Mapadri tena weusi kama mkaa

Mapadre wengi weusi ni pandikizi wa mabeberu

Nashangaa wanasiasa wanatoa hotuba kanisani bila kuogopa Kuw ndio eneo hatari kuliko sokoni
 
Rais Mwinyi..makamu wake Anglican Malecela

Rais Kikwete makamu wake Dr Shein ..wote waislam
Rais Kikwete makamu wake Gharib Bilali
Wote waislam..

Sibishi nguvu ya Kanisa Katholiki
Ila sometimes tunawapa nguvu zaidi Kwa
Kueneza uzushi kama hivi
 
Mkuu JK alipigwa Nyaraka na Pengo mpaka kuonekana Jamaa bwege

Huyu Huyu Pengo hajawahi mpiga nyaraka JPM

Kanisa katoliki lina sura nyingi sana sana

Usilichukulie poa, Hao ndio waliosababisha ukoloni Africa na unyonyaji

Walijenga makanisa sehemu zenye madini na kuwagawia wazawa nguo


Umewahi fika St Peters Basilica Vatican?

Pale kuna siri na historia nzito

Unamfaham Michael Angelo?

Ukifika Vatican na kutembelea makumbusho utakaa kimya

Hii Dunia kuna watu Walikuwa na akili sana sana

Unamfaham Raphael? Nenda Vatican

Watu walichora na kuchonga kwa 3D

Unajua waliosababisha kiswahili kikue?
Kwahiyo Pengo ndio kanisa katoliki ???
 
Huyu hamjamuelewa, yeye anachotaka wakishaingia kwenye Dini ya Kikristo basi nako waje na Madhehebu, waingie zamu ya Waadventist, dhehebu la KKKT, waje wale wa GWAJIMA Boy, Mwamposya nk

Sijui na Waislam nao wawekeane zamu za Mujahidina, Answar Sunna, Jamatikhan, Makhoja nk

Hebu tusiingie huko kwani tunaonesha udhaifu mkubwa hebu tumuachie huyu Mama miaka mingine 10, huko kwa Makamu mtajuana anaweza hata kuweka Islam km J Kikwete na Bilal
 
Mkuu JK alipigwa Nyaraka na Pengo mpaka kuonekana Jamaa bwege

Huyu Huyu Pengo hajawahi mpiga nyaraka JPM

Kanisa katoliki lina sura nyingi sana sana

Usilichukulie poa, Hao ndio waliosababisha ukoloni Africa na unyonyaji

Walijenga makanisa sehemu zenye madini na kuwagawia wazawa nguo


Umewahi fika St Peters Basilica Vatican?

Pale kuna siri na historia nzito

Unamfaham Michael Angelo?

Ukifika Vatican na kutembelea makumbusho utakaa kimya

Hii Dunia kuna watu Walikuwa na akili sana sana

Unamfaham Raphael? Nenda Vatican

Watu walichora na kuchonga kwa 3D

Unajua waliosababisha kiswahili kikue?
Watu uliowataja wamenishtua kidogo, upo vizuri mkuu. Kwasababu ni muda mrefu natamani kuandika thread ya makala ya "Historia Ya Catholic Church Na Muasisi Wake Mkuu". Ila hofu yangu kubwa watu watatoana meno na macho humu JF kwa malumbano na watajikita sana kwenye ubaguzi wa kidini bila kutoa hoja za kisomi na mashiko.

When the right time comes, ntaandika na nitaku tag uchangie hoja mkuu.
 
Kwahiyo Pengo ndio kanisa katoliki ???
Mkuu unafahamu, Katoliki kwa utaratibu wao Askofu ni mkuu wa eneo husika

Pengo alikuwa anashambulia mamlaka ya Dar es Salaam ambalo ndio eneo Lake la utawala

Kumbuka Mamlaka ya Dar es Salaam
ndio kuna Ikulu
Askofu wa Songea anatawala Songea hivyo anashambulia mamlaka zake za jimbo Songea


Usiwachukulie Poa hao watu, Ukisikia alienda Vatican kusomea the sheria za kanisa usifikirie sheria za Africa

Kuna siri nzito sana
 
Back
Top Bottom