Kwani lazima wote wajiajiri ndugu!!??Hongera huku ndio tunasema vijana kujiongeza. Kuna limtu lipo kwa shemeji linaawaza kesho lipeleke wapi bahasha.
HahaaaTatizo la wana JF, kesho utakuta kila mtu anauza chupi!!!
Sijui tupoje yaani.
Zipo changamoto sana ... wanaangalia ishirini ananunua mmoja ni jambo la kawaida sana kwenye biasharaHongera mkuu, kumbe kupata wateja sio changamoto kabisa.
Yahitaji kujituma sanaKupata wateja ndio kimbembe kilipo..
Kweli kabisa ...Nafurahi kuona mabandiko kama haya kutoka Kkoo. Ninavyo ijua Kkoo mpka raha. Kwa kila sector pale. Sema mm sio mwandishi mzuri.
Kwa tuliopo DAR tupatumie vzr hapo jaman
Ninazo nneUmesema una simu yenye thamani ya 500,000 Tzs pia una simu 2.
Sawa. Unazo 10,000 mkononi?Ahsante sana, naomba unielekeze maduka wanaponunua hizo nguo za jumla.
Utakuwa unaishi kwa shemeji yako mkuuKwani lazima wote wajiajiri ndugu!!??
Na kuna ubaya gani mtu kukaa kwa shem wake wakari anafatilia mishe zake!!??
That's bully and arrogance ungeweza kupongeza bila kukashifu wengine.
Hata usiwe na woga wakumwaga mchele kwenye kuku wengi, Hawa ndugu zangu watanzania hata umuambia fursa isiyohitaj pesa hawez kufanya sababu ya uvivu na kasumba ya mizaha na kucheka cheka kijinga.Kwa sababu sikuambulia chochote nilivyo soma ... kuna nguvu flani ukiifata fursa mwenyewe kuliko kuuliza ... tonatofautiana kwenye utekelezaji
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
leta 5000,kukupeleka 5000Ahsante sana, naomba unielekeze maduka wanaponunua hizo nguo za jumla.
Mtoa mada anajijibu mwenyewe huyo! STUKAUko jamii forum tokea 2015 buddah !! Hvi nyuzi za watu wakiongelea machimbo ya kariakoo hujaziona kweli ?? .. sitaki kuamini hvyo
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app