Nilivyoshuhudia maoni ya katiba mpya Zanzibar. Prof Baregu achanganyikiwa

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
2,653
264
Kwa siku 3 mfululizo nilihudhuria utoaji wa maoni wa katiba mpya huko Zanzibar,i. wachangiaji wengi wakitumia sec 30 kwa kutamka maeneno machache
Nilichogundua waznz wengi hawataki kabisa Muungano. naweza kunukuu kidogo kwa faida ya wote
"Tunataka serekali ya Zanzibar inayotumbulika kitaifa na kimataifa"
tunataka serekai yao ya tanganyika watayoamua wenyewe wanayoitaka"
"Tunataka serekali ndogo ya Mkataba"

Kwa jinsi nilivyowaona wajumbe ambao walikuwa ni Mh Baregu, Bi fatma said na DK Salim Ahmed Salim wanacheka na wananongonezana.
Huku Prof Baregu akishangaa na wakati mwengine akiwauliza watoa maoni. "HIyo serekali ya tanganyika itatoka wapi"

PIA swala la mahakama ya kadhi kuingizwa katika katiba
 
kucheka huko si kuzarau maoni ya wananchi?? kuna ajabu gani mtu kutaka serikali ya mbili huku kila nchi ikiwa na mamlaka kamili na huku mkiweka mkataba ktk mambo mtakayokubaliana kushirikiana ?? kitendo chao cha kucheka wakati wananchi wanatoa mawazo ni cha dharau na inabidi wakiache mara moja na kuheshimu mawazo ya wananchi hata kama wanaisi haya make sense kwani ndiyo mawazo yao. kuuliza serikali ya tanganyika itatoka wapi huo ni umbumbu wa baregu kwani serikali ya Tanganyika ni serikali ya muungano iichokifanya ni kujigeuza jina na kujiita Tanzania huku ikiongeza eneo la utawala ikiwemo Zanzibar.
 
Mahakama ya Kadhi haitaingizwa kwenye katiba mpya. Nchi yetu itaendelea kuwa secular state. Rejea kauli ya JK kwenye baraza la Eid Dodoma.
 
kucheka huko si kuzarau maoni ya wananchi?? kuna ajabu gani mtu kutaka serikali ya mbili huku kila nchi ikiwa na mamlaka kamili na huku mkiweka mkataba ktk mambo mtakayokubaliana kushirikiana ?? kitendo chao cha kucheka wakati wananchi wanatoa mawazo ni cha dharau na inabidi wakiache mara moja na kuheshimu mawazo ya wananchi hata kama wanaisi haya make sense kwani ndiyo mawazo yao. kuuliza serikali ya tanganyika itatoka wapi huo ni umbumbu wa baregu kwani serikali ya Tanganyika ni serikali ya muungano iichokifanya ni kujigeuza jina na kujiita Tanzania huku ikiongeza eneo la utawala ikiwemo Zanzibar.

Wao wanataka sisi hatujishughulishi, kuna ajabu kubwa sana kwa mtu asiyetaka lakini bado analeta conditions......asiyetaka anaweza enda tu
 
Wadanganyika tumelala usingizini, hatutakia kuwa na Tanganyika yetu!!! Ajabu sana
 
Naona Profesa alikuwa Profesa kweli, wengine waliokuwa wanamshangaa huenda walikuwa na matatizo, Profesa mwingine Salim Ahmed Salim bila shaka angesema hivyo
 
kucheka huko si kuzarau maoni ya wananchi?? kuna ajabu gani mtu kutaka serikali ya mbili huku kila nchi ikiwa na mamlaka kamili na huku mkiweka mkataba ktk mambo mtakayokubaliana kushirikiana ?? kitendo chao cha kucheka wakati wananchi wanatoa mawazo ni cha dharau na inabidi wakiache mara moja na kuheshimu mawazo ya wananchi hata kama wanaisi haya make sense kwani ndiyo mawazo yao. kuuliza serikali ya tanganyika itatoka wapi huo ni umbumbu wa baregu kwani serikali ya Tanganyika ni serikali ya muungano iichokifanya ni kujigeuza jina na kujiita Tanzania huku ikiongeza eneo la utawala ikiwemo Zanzibar.
nani aliekuambia kicheko kinaashiria jambo moja tu!
 
Tunataka katiba ya Tanganyika, Katiba ya Zanzibar halafu mwisho Katiba ya Muungano. Hii itaondoa hasira ambazo mwisho wa hasira hizo ni hasara.
 
Profesa mzima anashangaa tanganyika itatoka wap? Alaaaa! Kwani tanganyika iliyokea wap mpaka ishindwe kuwepo saivi? Twataka nchi yetu vyovyote itakavokua, ilimradi iwe inatambulika kimataifa na tuendeshe mambo yetu wenyewe!!!!!! Tunajivunia UZANZIBARI, mnaokataa tanganyika mshazoea kuwa watumwa!
 
Kuwa na serikali 3 is beta so as kuendeleza u1(muungano). But hiyo n 1 kat ya vi2 vingi vya kuchangia. Nizungumzie madaraka rais, kwenye kipengele cha kuteua wakuu wa mikoa T.bara na Z.bar. Bara atashauliana na waziri mkuu na Z.bar atashauriana na rais wa kule. Kwann Zenj rais acchague wake kwa kushauriana na waziri kiongozi? Na je kuna umhim wa wakuu wa mikoa kuwepo?
 
Profesa mzima anashangaa tanganyika itatoka wap? Alaaaa! Kwani tanganyika iliyokea wap mpaka ishindwe kuwepo saivi? Twataka nchi yetu vyovyote itakavokua, ilimradi iwe inatambulika kimataifa na tuendeshe mambo yetu wenyewe!!!!!! Tunajivunia UZANZIBARI, mnaokataa tanganyika mshazoea kuwa watumwa!

Kwanza ututake radhi watanganyika wote kati ya watanganyika na wazanzibar, nani watumwa hapa. Nyie si mnatumiwa na OIC na mnadai Zanzibar yenu ili muwe watumwa kamili? Ondokeni tu bwana tumechoka kuwabeba msiobebeka.
 
Kwanza ututake radhi watanganyika wote kati ya watanganyika na wazanzibar, nani watumwa hapa. Nyie si mnatumiwa na OIC na mnadai Zanzibar yenu ili muwe watumwa kamili? Ondokeni tu bwana tumechoka kuwabeba msiobebeka.

Bora Mbwa Mweupe kuliko Mbwa Mweusi
 
Hata Mimi Nadhani Ni Muda Muafaka Wa Kuwa Na Serikali 3 Ili Kila Mtu Ajiridhishe Na Utaifa Wake Tukiendelea Kulazimisha Mambo Hakika Hatutafika Mbali
Shime Maoni Ya Wengi Yazingatiwe Na Msingi Wa Katiba Hii Uwe Ndani Ya Matakwa Ya Wananchi Onyo Udini Usiwepo Ktk Katiba Utatumaliza Na Hiyo Mahakama Ya Kadhi Isiingilie Uhuru Wa Mkristo Wala Mpagani Watu Wote Ni Sawa Hakuna Unayepaswa Kusikilizwa Zaidi Ya Mwingine
Mbona Wakristo Hawahitaji Amri 10 Ziwepo Ktk Katiba Ni Wazi Wenzetu Hutuchukulia Ss Kama Maadui Lakini Wamesahau Ukristo Ndio Ulioleta Maendeleo Ya Kielimu Kwa Waafrika Na Mara Zote Mahali Ukristo Ulipo Amani Nayo Ipo Sababu Unafundisha Watu Kupendana Bila Kujali Udini Ukabila Maana Biblia Inasema Mpende Jirani Yako Kama Unavyojipenda
Lakini Wenzetu Wao Ni Chuki Hasira Vurugu Ubaguzi Sidhani Kama Kuna Mungu Anayependa Hayo Yote Asanteni
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom