mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 923
- 1,585
Wakuu salaam,
Nimeona kuna mada ya mambo ya kusevu nikaona nishee story yangu inaweza kuwa msaada kwa mtu fulani sehemu fulani..
1. Take home ilikuwa ni 1,300,000 baada ya makato yote kazini pamoja na benki wakati wa kutoa
2. Tulishusha maisha tukawa tunaishi nyumba ya kupanga ya chumba kimoja elfu 35000 kwa mwezi, jirani kabisa na kazini, ninatembea kwa miguu saa moja nimeshafika. Mwanzo tulikuwa ninakaa nyumba ya 900,000 kodi ya miezi sita bado na umeme juu.
3. Nikaacha kula bia na nyama kila siku, nikawa ninakunywa mbili mwisho wa wiki na nyama nusu
4. SIkupanga nyumba ya umeme, nilikopa sola ya Zola ule mtambo mdogo wa kulipia 10000 kwa mwezi
5. Bima, pampers na vyakula special vya mtoto (maana sometimes wanachagua sana vyakula wakiwa wadogo) nikaweka bajeti ya 150,000 hapo pamoja na bima yake
6. Ikitokea shida sikuwa ninakopa kwa benki, ninakopa kwa marafiki
7. Nikawa nina kazi za mishemishe na dili za hapa na pale ukijumlisha udeiwaka na udalali mida ya jioni na wikiendi na nje ya Ofisi
Nilipofanya hayo yote niliweza kusevu milioni 10 ndani ya miezi sita ya mwanzo na kuendelea, IKAWA NDIYO DESTURI YANGU kwa miaka kadhaa mbele, hapa ninavyoandika hivi sasa nina gari ya kifahari SUV na nina nyumba ya zaidi ya milioni 30 ninayoishi na familia yangu (bado haijaisha finishing) na mama yangu nimemjengea nyumba ya milioni saba huko Kijijini kwetu.
Nimejifunza: FANYA IBADA, punguza bajeti za kifamilia, kama umepanga kakae jirani na Ofisi, ongeza njia za kupata kipato, sevu, wekeza. Utafikia lengo.
Nimeona kuna mada ya mambo ya kusevu nikaona nishee story yangu inaweza kuwa msaada kwa mtu fulani sehemu fulani..
1. Take home ilikuwa ni 1,300,000 baada ya makato yote kazini pamoja na benki wakati wa kutoa
2. Tulishusha maisha tukawa tunaishi nyumba ya kupanga ya chumba kimoja elfu 35000 kwa mwezi, jirani kabisa na kazini, ninatembea kwa miguu saa moja nimeshafika. Mwanzo tulikuwa ninakaa nyumba ya 900,000 kodi ya miezi sita bado na umeme juu.
3. Nikaacha kula bia na nyama kila siku, nikawa ninakunywa mbili mwisho wa wiki na nyama nusu
4. SIkupanga nyumba ya umeme, nilikopa sola ya Zola ule mtambo mdogo wa kulipia 10000 kwa mwezi
5. Bima, pampers na vyakula special vya mtoto (maana sometimes wanachagua sana vyakula wakiwa wadogo) nikaweka bajeti ya 150,000 hapo pamoja na bima yake
6. Ikitokea shida sikuwa ninakopa kwa benki, ninakopa kwa marafiki
7. Nikawa nina kazi za mishemishe na dili za hapa na pale ukijumlisha udeiwaka na udalali mida ya jioni na wikiendi na nje ya Ofisi
Nilipofanya hayo yote niliweza kusevu milioni 10 ndani ya miezi sita ya mwanzo na kuendelea, IKAWA NDIYO DESTURI YANGU kwa miaka kadhaa mbele, hapa ninavyoandika hivi sasa nina gari ya kifahari SUV na nina nyumba ya zaidi ya milioni 30 ninayoishi na familia yangu (bado haijaisha finishing) na mama yangu nimemjengea nyumba ya milioni saba huko Kijijini kwetu.
Nimejifunza: FANYA IBADA, punguza bajeti za kifamilia, kama umepanga kakae jirani na Ofisi, ongeza njia za kupata kipato, sevu, wekeza. Utafikia lengo.