Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,416
- 85,844
Waswahili husema "Ujana ni maji ya moto"! Enzi za ujana wangu na mie niliyaoga hayo maji ya moto haswaaa!
Siku moja wakati tunacheza mpira pale kiwanjani karibu na kwa Mzee Msangi, ghafla mpuuzi mmoja akanikanyaga, nadhani alikusudia, sina uhakika hata mimi.
Ikabidi tuweke mkono, I mean tupigane lakini kwakua Mshkaji alikua mtemi sana, nikaona isiwe tabu, kila nikifikiria majirani zangu walivyodundwa na huyu mshkaji nikaona nitaaibika!
" Nguvu sina, pesa Sina, vifaa sio kama maabara nazungumzia mawe, sina! Nikajisemea moyoni, yaani hata mkwara unishinde??" Hapana aiseee
Nikakusanya kila kilichochangu nikakimbilia mlimani pale Store Mombasa nilipozaliwa, nikiwa mbali nae sasa, nikaanza kushusha mkwata huku nimevua shati na nimetanua kifua kweli kweli! Ooghh kama kweli wewe kidume, njoo sasa, mshenzi wewe, dogo tu,kawatishe hao Wapuuzi wenzio huko sio mimi! Oyaaa wanangu, asiwatishe huyo mpuuzi mmoja tu hivi!
Lakini kila SAA nilikua naangalià kama mlango wa home uko wazi! Akatokea jamaa akapaza sauti "Kama kweli wewe kidume si uje huku uwanjani sasa?" Nikaendelea kupiga mkwara, hapa ndio kwetu msinitishe, nimezaliwa hapa na hata nikifa nitafia na kuzikwa hapa! Sijui hata jamaa walisemaje tena.
Subiri narudi kuendelea ngoja ninywe dawa kwanza
Siku moja wakati tunacheza mpira pale kiwanjani karibu na kwa Mzee Msangi, ghafla mpuuzi mmoja akanikanyaga, nadhani alikusudia, sina uhakika hata mimi.
Ikabidi tuweke mkono, I mean tupigane lakini kwakua Mshkaji alikua mtemi sana, nikaona isiwe tabu, kila nikifikiria majirani zangu walivyodundwa na huyu mshkaji nikaona nitaaibika!
" Nguvu sina, pesa Sina, vifaa sio kama maabara nazungumzia mawe, sina! Nikajisemea moyoni, yaani hata mkwara unishinde??" Hapana aiseee
Nikakusanya kila kilichochangu nikakimbilia mlimani pale Store Mombasa nilipozaliwa, nikiwa mbali nae sasa, nikaanza kushusha mkwata huku nimevua shati na nimetanua kifua kweli kweli! Ooghh kama kweli wewe kidume, njoo sasa, mshenzi wewe, dogo tu,kawatishe hao Wapuuzi wenzio huko sio mimi! Oyaaa wanangu, asiwatishe huyo mpuuzi mmoja tu hivi!
Lakini kila SAA nilikua naangalià kama mlango wa home uko wazi! Akatokea jamaa akapaza sauti "Kama kweli wewe kidume si uje huku uwanjani sasa?" Nikaendelea kupiga mkwara, hapa ndio kwetu msinitishe, nimezaliwa hapa na hata nikifa nitafia na kuzikwa hapa! Sijui hata jamaa walisemaje tena.
Subiri narudi kuendelea ngoja ninywe dawa kwanza