Kuna demu mmoja baada ya kumtongoza, alinipa namba yake, zile siku nne za mwanzo alikuwa lazima aanze yeye kuni-text, na alikuwa mshapu kwenye kunijibu SMS, nikichelewa tu kujibu, ananiuliza mbona kimya, nikaona hapa nimepata kumbe nilipatikana
Siku ya tano aliniomba Tsh elf 10 alisema eti ana shida nayo, nikamwambia akija ghetto hiyo jumapili kama tulivyokubaliana nitampa nauli ya kwenda na kurudi na zaidi ya hiyo Tsh elf 10.
Akabisha akasema elf 10 ana shida nayo siku hiyo hiyo, mimi nikamwambia Jumapili kesho kutwa tu, na akija kunitembelea gheto nItampa hela nyingi..
Nlivyomwambia hivyo, hakunitafutaga tena hadi leo, na ghetto hakuja kama alivyoni-promise..na mimi sikumtafutaga tena..
Siku ya tano aliniomba Tsh elf 10 alisema eti ana shida nayo, nikamwambia akija ghetto hiyo jumapili kama tulivyokubaliana nitampa nauli ya kwenda na kurudi na zaidi ya hiyo Tsh elf 10.
Akabisha akasema elf 10 ana shida nayo siku hiyo hiyo, mimi nikamwambia Jumapili kesho kutwa tu, na akija kunitembelea gheto nItampa hela nyingi..
Nlivyomwambia hivyo, hakunitafutaga tena hadi leo, na ghetto hakuja kama alivyoni-promise..na mimi sikumtafutaga tena..