Nilivyompenda Lydia Ngosha - Miss Mwanza

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,461
39,928
Ukumbi ulikuwa umejaa watu toka sehemu mbalimbali za jiji la Mwanza. Ilikuwa ni siku ya pekee kwa wanamitindo na warembo wa Jiji hili. Muziki wa kizazi kipya ulikuwa ukitumbuiza huku ukipokezana na ule wa zamani wa mtindo ya Kibolingo. Ulikuwa ni usiku wa kukumbukwa kwani kwa mara nyingine tena Jiji la Mwanza litampata mrembo wake atakayewakilisha mkoa katika Mashindano ya Warembo ya Kitaifa huko Morogoro mwishoni mwa mwaka. Kati ya warembo waliopewa nafasi kubwa alikuwa ni Lydia Ngosha. Binti mwenye umbo la malaika na sauti ya kimbingu. Alikuwa ni gumzo la mji kwani licha ya uzuri wake alikuwa ni mtu wa kawaida, mcheshi na asiyependa makuu. Zaidi ya yote alikuwa ni binti aliyejitangaza hadharani kuwa yeye bado ni bikira.

Lydia alikuwa ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu kipya cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania kilichopo kule Nyegezi Mwanza (SAUT). Alikuwa hapo kusomea fani ya Uandishi wa Habari. Kama wengi mnavyoweza kukumbuka SAUT kimeundwa kutoka kile kilichokuwa Chuo cha Uandishi wa Habari Nyegezi.

Kwa upande wangu mimi nilikuwa ni mmoja wa wakufunzi wa kwanza wa Chuo hicho ambao tuliajiriwa mara tu baada ya taasisi ya Nyegezi kupandishwa kuwa Chuo Kikuu. Nilijiunga na fani ya Mawasiliano baada ya kuacha masomo yangu ya Upadre katika Seminari Kuu ya Kipalapala, Tabora. Nilimalizia elimu yangu katika fani ya Sanaa na Mawasiliano toka Chuo Kikuu cha Nairobi nilikojipatia Shahada yangu ya Udaktari wa Falsafa. Kutokana na utaalamu wangu wa mambo ya sanaa nilialikwa kama mmoja wa waamuzi wa mashindano hayo ya urembo. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuwa miongoni mwa binti warembo kama hawa. Kutokana na maisha yangu ya karibu miaka saba ya useminari, nilijiona niko katika anga za tofauti, nilijaa wasiwasi na hofu, huku nikifikiri kuwa kila aliyeniangalia aligundua soni iliyonijaa usoni.

Nilitokea kuzoeana na Lydia kwa karibu wiki nzima kabla ya siku hiyo ya kilele. Warembo wote walikuwapo jijini Mwanza kwa shughuli mbalimbali na majaribio mbalimbali ili kuonyesha umahiri wao katika fani mbalimbali na pia kuonyesha vipaji vyao. Nilikutana na Lydia siku ya kwanza ya mashindano hayo ambapo warembo walitakiwa kujieleza kwa lugha ya kiingereza/au kiswahili mbele ya timu wa waamuzi wakijibu maswali mbalimbali. Baada ya wenzangu kuuliza maswali mengi, ilifika zamu yangu kumuuliza Lydia swali na kuona ni jinsi gani atalijibu. Kwa vile wengi waliuliza maswahli juu ya Ukimwi, Siasa, na matatizo mengi ya kijamii, kwa upande wangu niliamua kumuuliza swali ambalo najua hakulitarajia.

“Bi. Lydia, kwa maoni yako, kwanini wasichana wengi hawatunzi ubikira wao hadi watakapokuwa tayari kwa mambo ya mapenzi au ndoa?” Nilimuuliza huku nikimkazia macho.

Ghafla ukumbi ulikuwa kimya kama vile watu wamepigwa na radi na ukimya huo ulikuwa ni wa kupasua kwa shoka. Lydia hakuonyesha kusitushwa sana na swali langu. Alijongelea kipaza sauti na kwa ufanisi mkubwa alinipa jibu.

“Labda kwa vile wanaume wengi hawatunzi ubikira wao kabla ya mapenzi au ndoa” Alinijibu bila hata kupoteza sekunde au kuonyesha kuwa alifikiria. Lilikuwa ni jibu la mkato na la moja kwa moja. Sikuamini nilichosikia. Kabla hata sijaja na swali la nyongeza ukumbi wa CCM Kirumba ulilipuka kwa shangwe na vigelege. Nilijikuta nimenywea utadhania uyoga uliong’olewa. Hapo aliipata kura yangu.

Baada ya zoezi hilo kuisha nikiwa nimeendelea kuzubaa zubaa hapo ukumbini nilihisi mtu akinigusa bega langu na nilipogeuka hakuwa mwingine ila ni huyo binti mrembo toka Magu, Lydia Ngosha.

“Samahani Dr. Mwanakijiji, shikamoo” Alinisabahi

“Acha kunizeesha wewe, mambo vipi” Nilimjibu huku nikinyosha mkono wangu kusalimiana naye. Mikono yake ilikuwa laini utadhani ya mtoto mchanga.

“Sikukusudia kukuaibisha mbele ya kadamnasi” Alisema huku akionyesha kuwa alimaanisha hilo. Sauti yake ya upole ilikita tena masikioni mwangu, na niliapa hapa kuwa kama kuna sauti ambayo ningependa kuisikia kabla sijafa ni ya binti huyo.

“Hamna maneno, nilifurahia jibu lako hata hivyo” Nilimjibu huku nikimtoa wasiwasi.

Tuliangaliana na kutabasamu. Pamoja na ujanja wangu wote sikuweza kujizoea kwa sekunde chache kumwangalia binti huyo aliyesimama mbele yangu utadhani malaika aliyetumwa kuniletea “habari njema”. Tulianza kuzungumza juu ya mambo mbalimbali huku tukitoka nje ya ukumbi.

“So, unafikiri nina chance gani katika mashindano haya” Lydia aliniuliza.

“Lydia, itakuwa siyo sahihi kwangu kusema lolote juu ya mashindano haya. Tuzungumze mambo mengine yote isipokuwa mashindano” Nilimjibu huku nikiweka mkazo. Alikubali.

“Umeoa?” Kama vile mtu aliyetupa mkuki kwa nguruwe aliyejisahau wakati akichimbua mihogo, Lydia alirusha swali moja kwa moja.

“Hapana” Nilimjibu.

“Una Mchumba?” Alirusha mkuki mwingine.

“Hapana” Nilimjibu tena kwa mkato

“Una girl friend” akatuma mwingine.

“Nope” Nilimjibu kwa kimombo, na kabla hajatupa mkuki mwingine nilimuwahi “Vipi wewe una boyfriend?” Nilimuuliza.

“Hapana” Alinijibu. Sote tukajua hilo linamaanisha nini.

Huo ulikuwa ni mwanzo wa mahusiano ya kirafiki kati yangu na Lydia. Kwa wiki nzima tulikuwa tukikutana na kuzungumza baada ya mashindano na mazoezi, tulizidi kufahamiana zaidi tunakotoka, na kujulishana habari za familia zetu na marafiki zetu. Niligundua yeye ni mpenzi wa Simba wakati mimi wa Yanga, anapenda sana muziki kama mimi na kujisomea vitabu. Tukagundua kuwa tuna hobby nyingi zinazofanana.

* * *

Siku ya mwisho ilipofika ambapo Mrembo wa Mwanza atachaguliwa nilimtakia kila kheri Bi. Ngosha. Familia yake ilikuwepo mjini na alinitambulishwa kwao kama rafiki yake. Tulikuwepo waamuzi saba toka sehemu na fani mbalimbali za Jiji la Mwanza. Ulipofika wakati wa kuchagua Mshindi wagombea wa mwisho walikuwa ni Bi. Lydia Ngosha toka Magu, Stella Barnabas wa Mwanza Mjini na Selina Charles wa kutoka Sengerema. Wakati wa matokeo kutangazwa ukumbi ulirindima kwa shangwe wakati Bi. Lydia Ngosha alipotangazwa mshindi kwa kupata kura tano na hao wengine wakigawana kura zilizobakia.

Machozi yalikuwa yakimtiririka wakati alipokabidhiwa taji lake, shada la maua na mkanda ulioandikwa “Miss Mwanza 2004” Wimbo wa Stevie Wonder “Isn’t she Wonderful” ulikuwa ukisikika. Alijongea jukwaani na kama kawaida alitoa shukurani zake kwa wale wote waliomwezesha kufikia hapo alipo. Warembo wenzie nao hawakusita kumpa pongezi huku ukumbi ukilipuliwa na mwanga wa kamera za wapiga picha.

Baada ya shughuli za usiku huo, Lydia nilimchukua Lydia ili akapumzuke katika Hoteli niliyofikia ya New Mwanza, iliyoko katikati ya Jiji la Mwanza, si mbali sana na Uwanja wa Nyamagana. Alikuwa katika chumba kimoja na mimi kingine. Nilikuwa nimevalia bukta yangu na bila shati nikijiandaa kujitupa kitandani kulala. Karibu saa saba za usiku niliposikia mlango wangu ukigongwa na nilishtuka. Nilikurupuka haraka haraka na kuvaa joho la kulalia. Nilifungua mlango na mbele yangu alikuwa amesimama Lydia.

“Mambo Dr.” Alinisalimia, nikaangalia kwenye uchochoro wa hoteli sikuona mtu mwingine, nikamkaribisha ndani. Na yeye alikuwa amevalia joho jeupe la kulalia huku kichwani amejifunga taulo.

“Kuna tatizo?” Nilimuuliza huku nikionyesha kushangazwa na uwepo wake hapo.

“Ndiyo, nimeshindwa kulala” Alinijibu.

“Kisa? Huduma mbaya au nini?” Nilimuuliza

“Nakuwaza wewe Dr.” Alinijibu, ndipo kama mtu aliyelazimishwa kukalia maji baridi nilijikuta nimepoteza mawazo kwa sekunde chache. Alikuwa ananiwaza. Nilihijisi joto likianza kupanda kuanzia miguuni hadi kichwani.
“Natumaini hayakuwa mawazo machafu” Nilimjibu huku nikijifunga mkanda wa joho langu kwani “mzee” alianza kushangalia!!

Bila kujibu lolote, Lydia alifungua joho lake, la haula!! Alikuwa hana kitu chini ya joho hilo! Kama waswahili wasemavyo, alikuwa uchi wa nyama! Ni kweli alikuwa amejaliwa, umbo lake la namba nane, matiti ya mviringo na chuchu zilizosimama, alikuwa amenyoa huko chini utadhani uwanja wa ndege! Kabla sijameza mate alinisogelea huku joho lake likidondoka nyuma yake. Kati ya vitu vyote nilivyotarajia siku hiyo hicho hakikuwa kimoja wapo.

“Mwanakijiji, nivunje bikira” Alininong’oneza huku mikono yake akiizungusha ndani ya bukta yangu nyuma ya ****** na ka ubaridi ka vidole vyake vikinitekenya.

“Wewe! Nikisema hapana je?” Nilimuuliza huku nikimvuta karibu yangu. Nilikuwa nimesimamisha kichizi na joho langu halikuweza kuficha. Aliifungua mkanda wangu na na nilibakia na bukta tu huku ikiwe imetuna!!

“I don’t think so” Alisema hivyo huku akimchopoa mzee toka katika maskani yake matakatifu. Kabla hata sijasema lolote alianza kunila koni. Kwa taratibu sana huku pumzi yake ikiongezeka kwa kasi.

“Ok, Lydia, taratibu” Nilimwambia. “Una haraka ya nini, si tupo wote kesho” Nilimjaribu kumzuia.

“Hapana Mwanakijiji” Alininibu, utamu ulianza kuninogea sikutaka aache lakini upande mwingine nilitaka aache hadi mimi ndiyo niwe mwenye kuongoza hapo. “Nataka kesho nikiamka niwe ni mwanamke siyo msichana tena” Alinibu. Nilifikiri kwa sekunde tatu. Nikaamua kumpa matakwa ya moyo wake. Nilianza kumbusu taratibu huku nikimchezea matiti yake, mgongo wake na niibusu shingo yake pia. Alikuwa akiguna kwa mahaba sana. Tulihamia kitandani ambako nilimlaza chali. Kwa taratibu nilianza kumchezea huko chini nikihakikisha kuwa situmii nguvu sana au kumfanya ajisikie vibaya. Alianza kulowa sana, na harufu ya uanamke yake ilikijaza chumba kizima. Nilimpanua miguu.

“Haya nitafanya pole pole ila uniongeze sitaki uumie” Nilimwambia. Niligusishwa kichwa cha uume wangu kwenye geti la uke wake. Alifumbua macho. Taratibu nilijaribu kuingiza kidogo. Alijikunja, akapanua miguu zaidi! Niliingia tena na yeye akajisukkuma juu kukutana nami. Nikaanza kuichomoa taratibu. Nikaanza kuiingiza tena na taratibu malango yake yakaanza kufunguka kwa karibu dakika tano nilikuwa namsaidia kumkaribisha mheshimiwa katika nyumba ya Lydia kwa mara ya kwanza! Nilipoizamisha zaidi na kuanza kukatika, Lydia alianza kutoa machozi! Nikaanza kuichomoa nikihofu kuwa nimemsababisha maumivu.

“Hapana, usitoe, ntazoea tu” Aliniambia huku akijitahidi kukatika. Nilianza kuingiza tena na tena na yeye akijibu. Nilipofika kilele, niliichomoa taratibu na nilipoangalia kwenye shuka, kulikuwa na damu kidogo. Nilimvunja Ubikira Miss Mwanza! Niliinama kumbusu na kumkumbatia. Niliyapangusa machozi yake, na yeye alinikumbatia sana.
“Mwanakijiji, tafadhali usiniache, nakupenda sana” Aliniambia.

Nilimrudishia busu shavuni na kumwambia “Sitakuacha na wewe usiniache, nakupenda zaidi.”

* * *
Imepita miaka miwili na nusu sasa, Lydia na mimi ni mume na mke na tunatarajia mtoto wetu wa kwanza mwezi Juni mwaka huu. Lydia alishiriki mashindano ya Mrembo wa Taifa ambapo alishika nafasi ya tatu. Miye sikujali hilo kwani tangu nipokutana siku ya kwanza, Lydia amekuwa ni mrembo wangu! Mimi bado naendelea kufundisha Chuo Kikuu cha Nyegezi na pia naandika makala za sanaa na mitindo katika magazeti kadhaa ya hapa Tanzania. Tangu wakati huo hadi leo hii nimetokea kumpenda Lydia Ngosha, Miss. Mwanza.

Kanusho:
Kisa hiki ni cha kubuni, majina ya watu na mahali yametumika kwa kubunia tu na mlingano wowote na watu au matukio halisi ni wa kinasibu. Haki zote za kunakili zimehifadhiwa na KLH News Productions.
 
Duh,hongera mzee.Ila kuna mahala umenivunja mbavu mkuu.nitakujibu siku ingine hebu kwanza niwahi malecture huko
 
Ukumbi ulikuwa umejaa watu toka sehemu mbalimbali za jiji la Mwanza. Ilikuwa ni siku ya pekee kwa wanamitindo na warembo wa Jiji hili. Muziki wa kizazi kipya ulikuwa ukitumbuiza huku ukipokezana na ule wa zamani wa mtindo ya Kibolingo. Ulikuwa ni usiku wa kukumbukwa kwani kwa mara nyingine tena Jiji la Mwanza litampata mrembo wake atakayewakilisha mkoa katika Mashindano ya Warembo ya Kitaifa huko Morogoro mwishoni mwa mwaka. Kati ya warembo waliopewa nafasi kubwa alikuwa ni Lydia Ngosha. Binti mwenye umbo la malaika na sauti ya kimbingu. Alikuwa ni gumzo la mji kwani licha ya uzuri wake alikuwa ni mtu wa kawaida, mcheshi na asiyependa makuu. Zaidi ya yote alikuwa ni binti aliyejitangaza hadharani kuwa yeye bado ni bikira.

Lydia alikuwa ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu kipya cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania kilichopo kule Nyegezi Mwanza (SAUT). Alikuwa hapo kusomea fani ya Uandishi wa Habari. Kama wengi mnavyoweza kukumbuka SAUT kimeundwa kutoka kile kilichokuwa Chuo cha Uandishi wa Habari Nyegezi.

Kwa upande wangu mimi nilikuwa ni mmoja wa wakufunzi wa kwanza wa Chuo hicho ambao tuliajiriwa mara tu baada ya taasisi ya Nyegezi kupandishwa kuwa Chuo Kikuu. Nilijiunga na fani ya Mawasiliano baada ya kuacha masomo yangu ya Upadre katika Seminari Kuu ya Kipalapala, Tabora. Nilimalizia elimu yangu katika fani ya Sanaa na Mawasiliano toka Chuo Kikuu cha Nairobi nilikojipatia Shahada yangu ya Udaktari wa Falsafa. Kutokana na utaalamu wangu wa mambo ya sanaa nilialikwa kama mmoja wa waamuzi wa mashindano hayo ya urembo. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuwa miongoni mwa binti warembo kama hawa. Kutokana na maisha yangu ya karibu miaka saba ya useminari, nilijiona niko katika anga za tofauti, nilijaa wasiwasi na hofu, huku nikifikiri kuwa kila aliyeniangalia aligundua soni iliyonijaa usoni.

Nilitokea kuzoeana na Lydia kwa karibu wiki nzima kabla ya siku hiyo ya kilele. Warembo wote walikuwapo jijini Mwanza kwa shughuli mbalimbali na majaribio mbalimbali ili kuonyesha umahiri wao katika fani mbalimbali na pia kuonyesha vipaji vyao. Nilikutana na Lydia siku ya kwanza ya mashindano hayo ambapo warembo walitakiwa kujieleza kwa lugha ya kiingereza/au kiswahili mbele ya timu wa waamuzi wakijibu maswali mbalimbali. Baada ya wenzangu kuuliza maswali mengi, ilifika zamu yangu kumuuliza Lydia swali na kuona ni jinsi gani atalijibu. Kwa vile wengi waliuliza maswahli juu ya Ukimwi, Siasa, na matatizo mengi ya kijamii, kwa upande wangu niliamua kumuuliza swali ambalo najua hakulitarajia.

“Bi. Lydia, kwa maoni yako, kwanini wasichana wengi hawatunzi ubikira wao hadi watakapokuwa tayari kwa mambo ya mapenzi au ndoa?” Nilimuuliza huku nikimkazia macho.

Ghafla ukumbi ulikuwa kimya kama vile watu wamepigwa na radi na ukimya huo ulikuwa ni wa kupasua kwa shoka. Lydia hakuonyesha kusitushwa sana na swali langu. Alijongelea kipaza sauti na kwa ufanisi mkubwa alinipa jibu.

“Labda kwa vile wanaume wengi hawatunzi ubikira wao kabla ya mapenzi au ndoa” Alinijibu bila hata kupoteza sekunde au kuonyesha kuwa alifikiria. Lilikuwa ni jibu la mkato na la moja kwa moja. Sikuamini nilichosikia. Kabla hata sijaja na swali la nyongeza ukumbi wa CCM Kirumba ulilipuka kwa shangwe na vigelege. Nilijikuta nimenywea utadhania uyoga uliong’olewa. Hapo aliipata kura yangu.

Baada ya zoezi hilo kuisha nikiwa nimeendelea kuzubaa zubaa hapo ukumbini nilihisi mtu akinigusa bega langu na nilipogeuka hakuwa mwingine ila ni huyo binti mrembo toka Magu, Lydia Ngosha.

“Samahani Dr. Mwanakijiji, shikamoo” Alinisabahi

“Acha kunizeesha wewe, mambo vipi” Nilimjibu huku nikinyosha mkono wangu kusalimiana naye. Mikono yake ilikuwa laini utadhani ya mtoto mchanga.

“Sikukusudia kukuaibisha mbele ya kadamnasi” Alisema huku akionyesha kuwa alimaanisha hilo. Sauti yake ya upole ilikita tena masikioni mwangu, na niliapa hapa kuwa kama kuna sauti ambayo ningependa kuisikia kabla sijafa ni ya binti huyo.

“Hamna maneno, nilifurahia jibu lako hata hivyo” Nilimjibu huku nikimtoa wasiwasi.

Tuliangaliana na kutabasamu. Pamoja na ujanja wangu wote sikuweza kujizoea kwa sekunde chache kumwangalia binti huyo aliyesimama mbele yangu utadhani malaika aliyetumwa kuniletea “habari njema”. Tulianza kuzungumza juu ya mambo mbalimbali huku tukitoka nje ya ukumbi.

“So, unafikiri nina chance gani katika mashindano haya” Lydia aliniuliza.

“Lydia, itakuwa siyo sahihi kwangu kusema lolote juu ya mashindano haya. Tuzungumze mambo mengine yote isipokuwa mashindano” Nilimjibu huku nikiweka mkazo. Alikubali.

“Umeoa?” Kama vile mtu aliyetupa mkuki kwa nguruwe aliyejisahau wakati akichimbua mihogo, Lydia alirusha swali moja kwa moja.

“Hapana” Nilimjibu.

“Una Mchumba?” Alirusha mkuki mwingine.

“Hapana” Nilimjibu tena kwa mkato

“Una girl friend” akatuma mwingine.

“Nope” Nilimjibu kwa kimombo, na kabla hajatupa mkuki mwingine nilimuwahi “Vipi wewe una boyfriend?” Nilimuuliza.

“Hapana” Alinijibu. Sote tukajua hilo linamaanisha nini.

Huo ulikuwa ni mwanzo wa mahusiano ya kirafiki kati yangu na Lydia. Kwa wiki nzima tulikuwa tukikutana na kuzungumza baada ya mashindano na mazoezi, tulizidi kufahamiana zaidi tunakotoka, na kujulishana habari za familia zetu na marafiki zetu. Niligundua yeye ni mpenzi wa Simba wakati mimi wa Yanga, anapenda sana muziki kama mimi na kujisomea vitabu. Tukagundua kuwa tuna hobby nyingi zinazofanana.

* * *

Siku ya mwisho ilipofika ambapo Mrembo wa Mwanza atachaguliwa nilimtakia kila kheri Bi. Ngosha. Familia yake ilikuwepo mjini na alinitambulishwa kwao kama rafiki yake. Tulikuwepo waamuzi saba toka sehemu na fani mbalimbali za Jiji la Mwanza. Ulipofika wakati wa kuchagua Mshindi wagombea wa mwisho walikuwa ni Bi. Lydia Ngosha toka Magu, Stella Barnabas wa Mwanza Mjini na Selina Charles wa kutoka Sengerema. Wakati wa matokeo kutangazwa ukumbi ulirindima kwa shangwe wakati Bi. Lydia Ngosha alipotangazwa mshindi kwa kupata kura tano na hao wengine wakigawana kura zilizobakia.

Machozi yalikuwa yakimtiririka wakati alipokabidhiwa taji lake, shada la maua na mkanda ulioandikwa “Miss Mwanza 2004” Wimbo wa Stevie Wonder “Isn’t she Wonderful” ulikuwa ukisikika. Alijongea jukwaani na kama kawaida alitoa shukurani zake kwa wale wote waliomwezesha kufikia hapo alipo. Warembo wenzie nao hawakusita kumpa pongezi huku ukumbi ukilipuliwa na mwanga wa kamera za wapiga picha.

Baada ya shughuli za usiku huo, Lydia nilimchukua Lydia ili akapumzuke katika Hoteli niliyofikia ya New Mwanza, iliyoko katikati ya Jiji la Mwanza, si mbali sana na Uwanja wa Nyamagana. Alikuwa katika chumba kimoja na mimi kingine. Nilikuwa nimevalia bukta yangu na bila shati nikijiandaa kujitupa kitandani kulala. Karibu saa saba za usiku niliposikia mlango wangu ukigongwa na nilishtuka. Nilikurupuka haraka haraka na kuvaa joho la kulalia. Nilifungua mlango na mbele yangu alikuwa amesimama Lydia.

“Mambo Dr.” Alinisalimia, nikaangalia kwenye uchochoro wa hoteli sikuona mtu mwingine, nikamkaribisha ndani. Na yeye alikuwa amevalia joho jeupe la kulalia huku kichwani amejifunga taulo.

“Kuna tatizo?” Nilimuuliza huku nikionyesha kushangazwa na uwepo wake hapo.

“Ndiyo, nimeshindwa kulala” Alinijibu.

“Kisa? Huduma mbaya au nini?” Nilimuuliza

“Nakuwaza wewe Dr.” Alinijibu, ndipo kama mtu aliyelazimishwa kukalia maji baridi nilijikuta nimepoteza mawazo kwa sekunde chache. Alikuwa ananiwaza. Nilihijisi joto likianza kupanda kuanzia miguuni hadi kichwani.
“Natumaini hayakuwa mawazo machafu” Nilimjibu huku nikijifunga mkanda wa joho langu kwani “mzee” alianza kushangalia!!

Bila kujibu lolote, Lydia alifungua joho lake, la haula!! Alikuwa hana kitu chini ya joho hilo! Kama waswahili wasemavyo, alikuwa uchi wa nyama! Ni kweli alikuwa amejaliwa, umbo lake la namba nane, matiti ya mviringo na chuchu zilizosimama, alikuwa amenyoa huko chini utadhani uwanja wa ndege! Kabla sijameza mate alinisogelea huku joho lake likidondoka nyuma yake. Kati ya vitu vyote nilivyotarajia siku hiyo hicho hakikuwa kimoja wapo.

“Mwanakijiji, nivunje bikira” Alininong’oneza huku mikono yake akiizungusha ndani ya bukta yangu nyuma ya ****** na ka ubaridi ka vidole vyake vikinitekenya.

“Wewe! Nikisema hapana je?” Nilimuuliza huku nikimvuta karibu yangu. Nilikuwa nimesimamisha kichizi na joho langu halikuweza kuficha. Aliifungua mkanda wangu na na nilibakia na bukta tu huku ikiwe imetuna!!

“I don’t think so” Alisema hivyo huku akimchopoa mzee toka katika maskani yake matakatifu. Kabla hata sijasema lolote alianza kunila koni. Kwa taratibu sana huku pumzi yake ikiongezeka kwa kasi.

“Ok, Lydia, taratibu” Nilimwambia. “Una haraka ya nini, si tupo wote kesho” Nilimjaribu kumzuia.

“Hapana Mwanakijiji” Alininibu, utamu ulianza kuninogea sikutaka aache lakini upande mwingine nilitaka aache hadi mimi ndiyo niwe mwenye kuongoza hapo. “Nataka kesho nikiamka niwe ni mwanamke siyo msichana tena” Alinibu. Nilifikiri kwa sekunde tatu. Nikaamua kumpa matakwa ya moyo wake. Nilianza kumbusu taratibu huku nikimchezea matiti yake, mgongo wake na niibusu shingo yake pia. Alikuwa akiguna kwa mahaba sana. Tulihamia kitandani ambako nilimlaza chali. Kwa taratibu nilianza kumchezea huko chini nikihakikisha kuwa situmii nguvu sana au kumfanya ajisikie vibaya. Alianza kulowa sana, na harufu ya uanamke yake ilikijaza chumba kizima. Nilimpanua miguu.

“Haya nitafanya pole pole ila uniongeze sitaki uumie” Nilimwambia. Niligusishwa kichwa cha uume wangu kwenye geti la uke wake. Alifumbua macho. Taratibu nilijaribu kuingiza kidogo. Alijikunja, akapanua miguu zaidi! Niliingia tena na yeye akajisukkuma juu kukutana nami. Nikaanza kuichomoa taratibu. Nikaanza kuiingiza tena na taratibu malango yake yakaanza kufunguka kwa karibu dakika tano nilikuwa namsaidia kumkaribisha mheshimiwa katika nyumba ya Lydia kwa mara ya kwanza! Nilipoizamisha zaidi na kuanza kukatika, Lydia alianza kutoa machozi! Nikaanza kuichomoa nikihofu kuwa nimemsababisha maumivu.

“Hapana, usitoe, ntazoea tu” Aliniambia huku akijitahidi kukatika. Nilianza kuingiza tena na tena na yeye akijibu. Nilipofika kilele, niliichomoa taratibu na nilipoangalia kwenye shuka, kulikuwa na damu kidogo. Nilimvunja Ubikira Miss Mwanza! Niliinama kumbusu na kumkumbatia. Niliyapangusa machozi yake, na yeye alinikumbatia sana.
“Mwanakijiji, tafadhali usiniache, nakupenda sana” Aliniambia.

Nilimrudishia busu shavuni na kumwambia “Sitakuacha na wewe usiniache, nakupenda zaidi.”

* * *
Imepita miaka miwili na nusu sasa, Lydia na mimi ni mume na mke na tunatarajia mtoto wetu wa kwanza mwezi Juni mwaka huu. Lydia alishiriki mashindano ya Mrembo wa Taifa ambapo alishika nafasi ya tatu. Miye sikujali hilo kwani tangu nipokutana siku ya kwanza, Lydia amekuwa ni mrembo wangu! Mimi bado naendelea kufundisha Chuo Kikuu cha Nyegezi na pia naandika makala za sanaa na mitindo katika magazeti kadhaa ya hapa Tanzania. Tangu wakati huo hadi leo hii nimetokea kumpenda Lydia Ngosha, Miss. Mwanza.

Kanusho:
Kisa hiki ni cha kubuni, majina ya watu na mahali yametumika kwa kubunia tu na mlingano wowote na watu au matukio halisi ni wa kinasibu. Haki zote za kunakili zimehifadhiwa na KLH News Productions.

Hakika mahaba unayajulia tunga kitabu kabisa kisaidie kustimuleti badala ya kutumia viagra.
 
Mzee Mwanakijiji we balaa kwa story kwa kifupi ni hadithi nzuri kama itawezekan uwe unatunga vitabu kabisa hata wale ambao kwao ni vigumu kutumia mtandao waweze kupata uhondo pia
 
Mzee Mwanakijiji we balaa kwa story kwa kifupi ni hadithi nzuri kama itawezekan uwe unatunga vitabu kabisa hata wale ambao kwao ni vigumu kutumia mtandao waweze kupata uhondo pia
 
Mzee Mwanakijiji we balaa kwa story kwa kifupi ni hadithi nzuri kama itawezekan uwe unatunga vitabu kabisa hata wale ambao kwao ni vigumu kutumia mtandao waweze kupata uhondo pia


Ally, ningeangika kitabu siku nyingi lakini nimekatishwa tamaa naambiwa watanzania hatupendi kusoma vitabu vyenye stori ndefu. Ndio maana nimebakia kuandika stori fupi fupi kama hizi...
 
Ni muda mrefu tangu ulipoandika riwaya hii.
Tutapata lini riwaya hii kitabuni?
Yaani unavikaribia viwango vya kina ben r. Mtobwa, ongeza juhudi.
 
Mwnkjj wewe si umekopi kwa best anko hembu nitungie kitabu kama kweli wewe ni mtunzi/mwandishi wa kitabu mimi nitakulipa.detail tafuta vyote nilivyopost unganisha
 
mwnkjj nitungie kitabu kinachoniusu mimi .Kumbuka zingatia vigezo data tafuta zote nilizopost mimi nitakulipa na uniambie mimi ni mtu wa namna gani?? kisha nipe akaunti namba yako nahicho kitabu kiweke hapa watu wasipokikosoa nalipa gharama zote
 
"Mambo Dr." Alinisalimia, nikaangalia kwenye uchochoro wa hoteli sikuona mtu mwingine, nikamkaribisha ndani. Na yeye alikuwa amevalia joho jeupe la kulalia huku kichwani amejifunga taulo.

"Kuna tatizo?" Nilimuuliza huku nikionyesha kushangazwa na uwepo wake hapo.

"Ndiyo, nimeshindwa kulala" Alinijibu.

"Kisa? Huduma mbaya au nini?" Nilimuuliza

"Nakuwaza wewe Dr." Alinijibu, ndipo kama mtu aliyelazimishwa kukalia maji baridi nilijikuta nimepoteza mawazo kwa sekunde chache. Alikuwa ananiwaza. Nilihijisi joto likianza kupanda kuanzia miguuni hadi kichwani.
"Natumaini hayakuwa mawazo machafu" Nilimjibu huku nikijifunga mkanda wa joho langu kwani "mzee" alianza kushangalia!!

Bila kujibu lolote, Lydia alifungua joho lake, la haula!! Alikuwa hana kitu chini ya joho hilo! Kama waswahili wasemavyo, alikuwa uchi wa nyama! Ni kweli alikuwa amejaliwa, umbo lake la namba nane, matiti ya mviringo na chuchu zilizosimama, alikuwa amenyoa huko chini utadhani uwanja wa ndege! Kabla sijameza mate alinisogelea huku joho lake likidondoka nyuma yake. Kati ya vitu vyote nilivyotarajia siku hiyo hicho hakikuwa kimoja wapo.

"Mwanakijiji, nivunje bikira" Alininong'oneza huku mikono yake akiizungusha ndani ya bukta yangu nyuma ya ****** na ka ubaridi ka vidole vyake vikinitekenya.

"Wewe! Nikisema hapana je?" Nilimuuliza huku nikimvuta karibu yangu. Nilikuwa nimesimamisha kichizi na joho langu halikuweza kuficha. Aliifungua mkanda wangu na na nilibakia na bukta tu huku ikiwe imetuna!!

"I don't think so" Alisema hivyo huku akimchopoa mzee toka katika maskani yake matakatifu. Kabla hata sijasema lolote alianza kunila koni. Kwa taratibu sana huku pumzi yake ikiongezeka kwa kasi.

"Ok, Lydia, taratibu" Nilimwambia. "Una haraka ya nini, si tupo wote kesho" Nilimjaribu kumzuia.

"Hapana Mwanakijiji" Alininibu, utamu ulianza kuninogea sikutaka aache lakini upande mwingine nilitaka aache hadi mimi ndiyo niwe mwenye kuongoza hapo. "Nataka kesho nikiamka niwe ni mwanamke siyo msichana tena" Alinibu. Nilifikiri kwa sekunde tatu. Nikaamua kumpa matakwa ya moyo wake. Nilianza kumbusu taratibu huku nikimchezea matiti yake, mgongo wake na niibusu shingo yake pia. Alikuwa akiguna kwa mahaba sana. Tulihamia kitandani ambako nilimlaza chali. Kwa taratibu nilianza kumchezea huko chini nikihakikisha kuwa situmii nguvu sana au kumfanya ajisikie vibaya. Alianza kulowa sana, na harufu ya uanamke yake ilikijaza chumba kizima. Nilimpanua miguu.

"Haya nitafanya pole pole ila uniongeze sitaki uumie" Nilimwambia. Niligusishwa kichwa cha uume wangu kwenye geti la uke wake. Alifumbua macho. Taratibu nilijaribu kuingiza kidogo. Alijikunja, akapanua miguu zaidi! Niliingia tena na yeye akajisukkuma juu kukutana nami. Nikaanza kuichomoa taratibu. Nikaanza kuiingiza tena na taratibu malango yake yakaanza kufunguka kwa karibu dakika tano nilikuwa namsaidia kumkaribisha mheshimiwa katika nyumba y"Mambo Dr." Alinisalimia, nikaangalia kwenye uchochoro wa hoteli sikuona mtu mwingine, nikamkaribisha ndani. Na yeye alikuwa amevalia joho jeupe la kulalia huku kichwani amejifunga taulo.

"Kuna tatizo?" Nilimuuliza huku nikionyesha kushangazwa na uwepo wake hapo.

"Ndiyo, nimeshindwa kulala" Alinijibu.

"Kisa? Huduma mbaya au nini?" Nilimuuliza

"Nakuwaza wewe Dr." Alinijibu, ndipo kama mtu aliyelazimishwa kukalia maji baridi nilijikuta nimepoteza mawazo kwa sekunde chache. Alikuwa ananiwaza. Nilihijisi joto likianza kupanda kuanzia miguuni hadi kichwani.
"Natumaini hayakuwa mawazo machafu" Nilimjibu huku nikijifunga mkanda wa joho langu kwani "mzee" alianza kushangalia!!

Bila kujibu lolote, Lydia alifungua joho lake, la haula!! Alikuwa hana kitu chini ya joho hilo! Kama waswahili wasemavyo, alikuwa uchi wa nyama! Ni kweli alikuwa amejaliwa, umbo lake la namba nane, matiti ya mviringo na chuchu zilizosimama, alikuwa amenyoa huko chini utadhani uwanja wa ndege! Kabla sijameza mate alinisogelea huku joho lake likidondoka nyuma yake. Kati ya vitu vyote nilivyotarajia siku hiyo hicho hakikuwa kimoja wapo.

"Mwanakijiji, nivunje bikira" Alininong'oneza huku mikono yake akiizungusha ndani ya bukta yangu nyuma ya ****** na ka ubaridi ka vidole vyake vikinitekenya.

"Wewe! Nikisema hapana je?" Nilimuuliza huku nikimvuta karibu yangu. Nilikuwa nimesimamisha kichizi na joho langu halikuweza kuficha. Aliifungua mkanda wangu na na nilibakia na bukta tu huku ikiwe imetuna!!

"I don't think so" Alisema hivyo huku akimchopoa mzee toka katika maskani yake matakatifu. Kabla hata sijasema lolote alianza kunila koni. Kwa taratibu sana huku pumzi yake ikiongezeka kwa kasi.

"Ok, Lydia, taratibu" Nilimwambia. "Una haraka ya nini, si tupo wote kesho" Nilimjaribu kumzuia.

"Hapana Mwanakijiji" Alininibu, utamu ulianza kuninogea sikutaka aache lakini upande mwingine nilitaka aache hadi mimi ndiyo niwe mwenye kuongoza hapo. "Nataka kesho nikiamka niwe ni mwanamke siyo msichana tena" Alinibu. Nilifikiri kwa sekunde tatu. Nikaamua kumpa matakwa ya moyo wake. Nilianza kumbusu taratibu huku nikimchezea matiti yake, mgongo wake na niibusu shingo yake pia. Alikuwa akiguna kwa mahaba sana. Tulihamia kitandani ambako nilimlaza chali. Kwa taratibu nilianza kumchezea huko chini nikihakikisha kuwa situmii nguvu sana au kumfanya ajisikie vibaya. Alianza kulowa sana, na harufu ya uanamke yake ilikijaza chumba kizima. Nilimpanua miguu.

"Haya nitafanya pole pole ila uniongeze sitaki uumie" Nilimwambia. Niligusishwa kichwa cha uume wangu kwenye geti la uke wake. Alifumbua macho. Taratibu nilijaribu kuingiza kidogo. Alijikunja, akapanua miguu zaidi! Niliingia tena na yeye akajisukkuma juu kukutana nami. Nikaanza kuichomoa taratibu. Nikaanza kuiingiza tena na taratibu malango yake yakaanza kufunguka kwa karibu dakika tano nilikuwa namsaidia kumkaribisha mheshimiwa katika nyumba ya Lydia kwa mara ya kwanza! Nilipoizamisha zaidi na kuanza kukatika, Lydia alianza kutoa machozi! Nikaanza kuichomoa nikihofu kuwa nimemsababisha maumivu.
a Lydia kwa mara ya kwanza! Nilipoizamisha zaidi na kuanza kukatika, Lydia alianza kutoa machozi! Nikaanza kuichomoa nikihofu kuwa nimemsababisha maumivu.

Daaah MM.....sikuwahi iona hii kitu hapa....mzee huo utunzi umetukuka! Nakwambia hata vikiwa vitabu elfu moja vya aina hii....watu wanaweza acha pombe....kumake sure wanapata story za aina hizi!

Imetulia sana....hasa hicho kipande hapo juu........! Kuku wa kienyeji kabisaaaaaaaaa.....!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom