Mfwalamanyambi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 433
- 102
Wewe, ni kweli amesema hivyo? Ndo maana hajui kwa nini watanzania ni masikini ama anajua na wao wanajitakia!
Ni kweli kabisa, amesema hayo na wale wazee wakamshangilia sana.
Wewe, ni kweli amesema hivyo? Ndo maana hajui kwa nini watanzania ni masikini ama anajua na wao wanajitakia!
Ndugu zangu, Leo baada ya kupoteza muda wangu mwingi kumsikiliza Mh Dr JK nimepata kumfahamu zaidi na namna anavyoendesha nchi yetu.
1. Raisi wetu ana ''below average thinking capacity'' kama sitakosea masomo yake ya degree ya kwanza alipata GPA ya 2.0 hadi 2.5.
2. Dr JK anaongoza hii nchi kwa kutumia madesa na hii ni hatari sana maana hafikirii kufanya tofauti na kilichofanywa nyuma hata kama kuna haja ya kufanya hivyo.
Mwenye mengine unakaribishwa kushusha....
Nawakilisha