Nilivyomjua Dr JK Baada ya Hotuba kwa wazee wa Dar

Si tu uwezo wake academically ni sifuri, bali ubongo wake pia ni mfu.

Ndio maana ni lazima ilibidi aongee na wazee wa ccm waliojikatia tamaa namna ile, ambao hawana future aspirations. Audience yake tells us as much more as his silly words. Hajui hiyo 2014 anaweza asiwepo ktk hayo madaraka.
 
Ndugu zangu, Leo baada ya kupoteza muda wangu mwingi kumsikiliza Mh Dr JK nimepata kumfahamu zaidi na namna anavyoendesha nchi yetu.

1. Raisi wetu ana ''below average thinking capacity'' kama sitakosea masomo yake ya degree ya kwanza alipata GPA ya 2.0 hadi 2.5.

2. Dr JK anaongoza hii nchi kwa kutumia madesa na hii ni hatari sana maana hafikirii kufanya tofauti na kilichofanywa nyuma hata kama kuna haja ya kufanya hivyo.

Mwenye mengine unakaribishwa kushusha....

Nawakilisha

Kale kawimbo ketu ' ngu..we pita sina mkuki mie , wewe haramu kwangu sijakuzaa mie x 2' haya na ww imba kwani hujui historia ya nchi hii

 
Si tu uwezo wake academically ni sifuri, bali ubongo wake pia ni mfu.

Ndio maana ni lazima ilibidi aongee na wazee wa ccm waliojikatia tamaa namna ile, ambao hawana future aspirations. Audience yake tells us as much more as his silly words. Hajui hiyo 2014 anaweza asiwepo ktk hayo madaraka.

Kwa hiyo wataka kutuambia baba na mama yako wako hivyo? tujuze

 
Alichosema kuhusu mfumuko wa bei, kama sio uongo kwa kuwadanganya wazee basi rahisi wetu ana matatizo makubwa sana kifikra. Mfumuko wetu wa bei upo chini kuliko hizo nchi nyingine, sawa, vipi kuhusu raslimali tulizo nazo kulinganisha na hizo nchi nyingine? Raslimali tulizo nazo haziwezi kupungunguza huo mfumuko wa bei? Huo uchumi aliusomea wapi mtu huyu? Maprofesa waliomfundisha bado wapo hai, kwa nini wasimnyang'wanye hiyo digirii yake ya uchumi?

Sikutegemea mtu km ww unaweza kujiunga humu JF aisee usiyejua tofauti ya mfumuko wa bei na rasilimali za nchi, JITOE, TUNASEMA JITOE AISEEE !

 
Ni kweli kwani hajaiangaikia kama wenzake Dr. wa ukweli slaa, Jk alikimbia umande akafikiri udokta unakuja kiivyo

udokta wa Slaa ni udocta bila degree! By then ni udocta wa cannon law..sheria za kanisa!! Tungempa nchi angeifanya kama kanisa katoliki.
 
kwanza on hiyo Dr. kwenye thread yako. Ni makosa kuanza na Dr. ikiwa hiyo ni shahada ya heshima.

Yupo sahihi kabisa, nafikiri Dr ni kipimo cha utendaji mzuri ndani ya CCM, Si ulisikia hata JK mwenyewe alimwita mwenyekiti wa kamati ya sheria Pindi Chana kuwa Dr Pindi Chana, kwa kazi nzuri aliyoifanya ya kulinda masilahi ya chama!. Tume ya elimu ya juu Tanzania inapaswa kuweka wazi kuwa sasa hivi tutofautishe Doctor(Dr) and Doctor of Philosophy (Ph D) katika kutambulisha watu. Hili suala la Dr in general linashusha kiwango cha elimu nchini. Mfano njoo kwa mtu kama Mwakyembe anapaswa kuitwa 'Dr Mwakyembe (P. hD)'.
 
Mtu anajikompare na nchi iliyofilisika,kasahau kuwa nchi yake ni maskini,ni bizzare kucompare vitu visivyocomperika,let say kijito na bahari
 
udokta wa Slaa ni udocta bila degree! By then ni udocta wa cannon law..sheria za kanisa!! Tungempa nchi angeifanya kama kanisa katoliki.

Umesema yote aisee ! Tanzania ingebatizwa na Rais wetu angeitwza ' Cardinal................'
 
Ndugu zangu, Leo baada ya kupoteza muda wangu mwingi kumsikiliza Mh Dr JK nimepata kumfahamu zaidi na namna anavyoendesha nchi yetu.

1. Raisi wetu ana ''below average thinking capacity'' kama sitakosea masomo yake ya degree ya kwanza alipata GPA ya 2.0 hadi 2.5.

2. Dr JK anaongoza hii nchi kwa kutumia madesa na hii ni hatari sana maana hafikirii kufanya tofauti na kilichofanywa nyuma hata kama kuna haja ya kufanya hivyo.

Mwenye mengine unakaribishwa kushusha....

Nawakilisha
Sasa hapo umesema nini. Mbona husemi amekosea hili na lile umebaki kupiga majungu tu. Ebu kaa mbali na gumbaru yako hiyo. Ungewezaje kumwelewa Rais amesema nini wakati tayari ulishajiweka kisaikolojia kuwa hutamwelewa mbali na upeo wako mdogo huo?
 
Alichosema kuhusu mfumuko wa bei, kama sio uongo kwa kuwadanganya wazee basi rahisi wetu ana matatizo makubwa sana kifikra. Mfumuko wetu wa bei upo chini kuliko hizo nchi nyingine, sawa, vipi kuhusu raslimali tulizo nazo kulinganisha na hizo nchi nyingine? Raslimali tulizo nazo haziwezi kupungunguza huo mfumuko wa bei? Huo uchumi aliusomea wapi mtu huyu? Maprofesa waliomfundisha bado wapo hai, kwa nini wasimnyang'wanye hiyo digirii yake ya uchumi?

yaani wewe unachekesha kweli, Hebu tupe kwanza CV yako ndiyo tujaji kauli zako. Inaonekana kabisa wewe hujui chochote kuhusu mfumuko wa bei. Hujui mahusiano kati ya rasilimali na mfumuko wa bei.
 
huyu mtu ni mjinga sana, huwezi kilinganisha mambo yaliyofanywa mwaka 1963 na year 2011

mtoa mada upo makini sana
 
Sasa hapo umesema nini. Mbona husemi amekosea hili na lile umebaki kupiga majungu tu. Ebu kaa mbali na gumbaru yako hiyo. Ungewezaje kumwelewa Rais amesema nini wakati tayari ulishajiweka kisaikolojia kuwa hutamwelewa mbali na upeo wako mdogo huo?

Kikubwa alichokosea ni kutaka kufanya mabadiliko ya katiba hii kwa kufuata taratibu za namna katiba za awali zilivyobadilishwa. Amesahau tatizo kubwa la katiba zetu za awali ni namna zilivyopatikana kwa hiyo tunahitaji kupata katiba mpya kwa namna nyingine itakayo washirikisha wananchi zaidi na katika hatua zote kuepuka kurudia kupata katiba ya raisi na si ya wananchi. Hili huoni ni suala la kutumia akili kidogo tu ambayo muheshimiwa hajajaliwa kuwa nayo??
 
Back
Top Bottom