Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,774
- 4,269
.......basi,
Mimi nikasema acha niwe mnyonge, Boloyanki yeye abaki na huyo mke, amchukue tu. Mwaka 2017 hiyo.
Baada ya miezi kadhaa naishi bila mke ambaye wafanyakazi wenzie walikuwa wananiambia alikuwa akihudhuria kazini kutoka mitaa ya Mabibo kwa huyo mgoni wangu Boloyanki, nikasema hebu nifuatilie ukweli wa mambo.
Nikawa naenda pale kiwandani asubuhi sana. Natega kuona ataingiajeingiaje kazini. Baada ya siku kadhaa nilishuhudia akishushwa kwenye spacio old model na jamaa fulani mweupe bonge. Akaingia ofisini kwao. Nikapata mashaka isije kuwa lift tu kapewa na jamaa. Siku 3 mfululizo nikashuhudia jamaa yuleyule na gari ileile anamshusha. Na anaposhuka kama anampa hela fulani halafu ndo anashuka.
Nikajitokeza ofsini kwao. Siku nafika kila mfanyakazi alikuwa na hofu na mashaka...walikuwa "nakisanua kwa boss" wa wife. Wao walikuwa tayari wanajua mkanda mzima. Kweli nikasubiri dakika kadhaa nikaingia kwa Boss. Nikampa mkanda mzima.
Wife alipata misukosuko, aliambiwa arudi kwangu tuishi wote. Alikuwa ana hofu. Hakurudi. Aliendelea kuishi na "B" kama yeye alivokuwa akimuita.
Tukaenda Kurasini kanisa la Roma. Nikasajili mgogoro ili nimuache kisheria za kanisa. Wakamuita. Akakili ujinga wake. Na alisema katoa mimba mara 2...zote za B.
Kanisa likatuambia hakuna issue ni mgogoro wa wanandoa. Hatutakiwi kuachana. Nikakubali. Wakatupatanisha na tukaenda mafungo ya tafakari Bunju siku 3. Tukarudiana.
Around Novemba 2017 nilikutwa na tukio baya. Nilichomwa kisu.
Nilikua nimeenda Bar fulani Tabata maeneo ya Magengeni. Ofkozi ndo ilikuwa bar yangu pendwa....gemu zote za Liver naangalizia pale.
Ile natoka mida ya saa 7 nikachukua bajaji. Tukaondoka narudi mitaa ya kwa Swai. Kufika Kimanga mwisho konakona zile tukavamiwa na boda yenye mshkaki. ikatublock. Ghafla nikala kipigo na kisu cha mkono. Nikaporwa hela.
Soon likaja difenda. Kesi polisi 2 weeks jamaa wakakamatwa.
Uchunguzi ulionesha Boloyanki alikuwa anawasiliana na wale jamaa kumbe. Ilikuwa ni njama. Kesi ikaenda mahakamani.
Boloyanki na wenzie mwaka 2018 walifungwa miaka 7 wengine 12.
Miez 4 mbele tukaachana na bibie mazima. Mpaka leo.
Nimeleta kwa ufupi tu.
Ushauri wangu tuepuke maugomvi ya mapenzi aisee.
C &P toka kwa mwanangu K
Mimi nikasema acha niwe mnyonge, Boloyanki yeye abaki na huyo mke, amchukue tu. Mwaka 2017 hiyo.
Baada ya miezi kadhaa naishi bila mke ambaye wafanyakazi wenzie walikuwa wananiambia alikuwa akihudhuria kazini kutoka mitaa ya Mabibo kwa huyo mgoni wangu Boloyanki, nikasema hebu nifuatilie ukweli wa mambo.
Nikawa naenda pale kiwandani asubuhi sana. Natega kuona ataingiajeingiaje kazini. Baada ya siku kadhaa nilishuhudia akishushwa kwenye spacio old model na jamaa fulani mweupe bonge. Akaingia ofisini kwao. Nikapata mashaka isije kuwa lift tu kapewa na jamaa. Siku 3 mfululizo nikashuhudia jamaa yuleyule na gari ileile anamshusha. Na anaposhuka kama anampa hela fulani halafu ndo anashuka.
Nikajitokeza ofsini kwao. Siku nafika kila mfanyakazi alikuwa na hofu na mashaka...walikuwa "nakisanua kwa boss" wa wife. Wao walikuwa tayari wanajua mkanda mzima. Kweli nikasubiri dakika kadhaa nikaingia kwa Boss. Nikampa mkanda mzima.
Wife alipata misukosuko, aliambiwa arudi kwangu tuishi wote. Alikuwa ana hofu. Hakurudi. Aliendelea kuishi na "B" kama yeye alivokuwa akimuita.
Tukaenda Kurasini kanisa la Roma. Nikasajili mgogoro ili nimuache kisheria za kanisa. Wakamuita. Akakili ujinga wake. Na alisema katoa mimba mara 2...zote za B.
Kanisa likatuambia hakuna issue ni mgogoro wa wanandoa. Hatutakiwi kuachana. Nikakubali. Wakatupatanisha na tukaenda mafungo ya tafakari Bunju siku 3. Tukarudiana.
Around Novemba 2017 nilikutwa na tukio baya. Nilichomwa kisu.
Nilikua nimeenda Bar fulani Tabata maeneo ya Magengeni. Ofkozi ndo ilikuwa bar yangu pendwa....gemu zote za Liver naangalizia pale.
Ile natoka mida ya saa 7 nikachukua bajaji. Tukaondoka narudi mitaa ya kwa Swai. Kufika Kimanga mwisho konakona zile tukavamiwa na boda yenye mshkaki. ikatublock. Ghafla nikala kipigo na kisu cha mkono. Nikaporwa hela.
Soon likaja difenda. Kesi polisi 2 weeks jamaa wakakamatwa.
Uchunguzi ulionesha Boloyanki alikuwa anawasiliana na wale jamaa kumbe. Ilikuwa ni njama. Kesi ikaenda mahakamani.
Boloyanki na wenzie mwaka 2018 walifungwa miaka 7 wengine 12.
Miez 4 mbele tukaachana na bibie mazima. Mpaka leo.
Nimeleta kwa ufupi tu.
Ushauri wangu tuepuke maugomvi ya mapenzi aisee.
C &P toka kwa mwanangu K