Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 14,975
First class tunatumiwa pm..We third class kaa kwa kutulia..Mtoa mada kapatwa nanini jamani mbona hakuji??
First class tunatumiwa pm..We third class kaa kwa kutulia..Mtoa mada kapatwa nanini jamani mbona hakuji??
asee nmecheka kingeseNimekutana na msimuliaji wenu amelewa chakali anatukana hovyo mtasubiri sana wananzengo laleni
Mbudhaa kyava adouani maisho shwashu se?..
Ngasuva navi mshiki..
Mna Muattack jamaa bure tu, ukisoma hizi zimulizi zake unaona kabisa kuna kufanana labda pungufu pekee ni kuwa kwenye stori ya kwanza alichengesha vitu ili kunogesha maelezo yake.Kamalizie hii simulizi yakoUzi maalum wa Harakati za kutafuta maisha nje ya nchi na changamoto ulizokutana nazo
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2012, Mara yangu ya kwanza kufika Beit Bridge, mpakani mwa Zimbabwe na South Africa, ilikuwa saa nane usiku. Ilikuwa safari ya siku tatu kutoka Dar hadi kufika hapo. Ndani ya bus tulikuwa tumechoka sana. Bus lilikuwa na raia wengi wa Zimbabwe na Zambia, Waburundi...www.jamiiforums.com
How I Met My WifeMkuu nipatie Link kama kawaida yetu kupeana
Wanakuchosha tu Nani asijue pajama?Au nasema uongo ndugu zangu?Pajama ni nguo two pieces, unaweza kushindia au kulalia. ni msuruali na mshati mpana mpana hivi.
😂😂😂 mbona unamsemeaa jamaa uwezi jua samaki mtungoniWakuu hii story pigieni mstari ndio imeishia hapa, alishawahi kuisimulia na haikuwa na wachangiaji lakini hakuimaliza. Kwaiyo fanyeni mambo mengine tu...
Kaenda kuogaUngejua tunavyoburudika na hii story hahah endelea bwana, kila saa nachungulia yaani leo umetuteka kabisaa
Ulivyoulizia Kama unalipiq yaanisehemu ya 12 iko wapi
Au Kama Chokolii nasikia ipo series mpaka.ya 800Bro Episode zisiwe nyingi kama series za kikorea sasa