Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Sitasahau mwaka 2003 nilipotumia ada ya shule kwenda South Africa na kukwamia Lisaka-Zambia.
Nilitumia akili nyingi na kufanikiwa kuishi katika kambi ya jeshi la anga la Zambia (ZAF) kwa muda wa siku 40 wakati raia asiekua mzambia alikua haruhusiwi hata kuingia mapokezi ya getini. Ubarikiwe sana Mohamed Mushiri Mwanajeshi muislamu pekee aliekua kwenye kambi ile kwa wakati ule. Mwenyezimungu akiamua kukulinda hata ikulu utaishi kwa raha zako.
Kambi ya ZAF LUSAKA Au ile ya pale Ndola??

Mi nimeish karib ZAF base pale ndola kwa mwaka mzima.
 
Hii CHAI HII CHAAI AISE KONDA USITUONE WOTE MAZWAZWA Nmesoma kichwa na sehemu ya 1 nkarefer na ile stor ya khumbu ambapo ulisema bondeni umefika kwa ndugu zako na ulkua na ndugu zako na lengo la kushuka bondeni llkua ni kujiendeleza na elim na ulienda round ya kwanza ukarudi kumalizia Advance bongo then ukarudi tena bondeni LEO UNALETA UZI TENA AAFU UNASEMA HUKUA NA NDUGU??YALEYALE YA MOTIVATION SPIKA enewei hii ni chai kama chai nyngne zlizojaa uko kwenye kula tunda kimasihara
 
Ngoja mimi niendelee wakati tunamsubiri Keagan Paul

Wakati tumemaliza ibada kwenye muda wa saa 3 usiku, ikabidi wanakwaya tuanze safari ya kurudi kwenye hotel soo wakati tunapanda kwenye usafari bahati nzuri Tshespo akaja kukaa pembeni yangu .

Niseme ukweli Tshesipo alikuwa kachangamka sana na kuonesha ukaribu sana na mimi wakati bado tuko kwenye gari akaniomba Camera akawa anaangalia zile picha tulizopiga asubuhi kule mlimani na kuniuliza hii umeipenda?? Hii imetoka vizuri huku akitabasamu

Wakati tumekaribia kufika kwenye zile hotel pembeni kidogo kulikuwa na kama hoteli ambayo njee kulikuwa na restaurant ambayo watu walikuwa wakipata chakula vinywaji na mziki kidogo mara tshespo akasema sehemu nzuri sana kwa kupata chakula imetulia na mimi pia nikadakia nzuri sana akasema basi akasema tukifika kwenye hoteli tugeuze hapo kupata chakula.

Basi tuipofika pale hotelini nilienda room kwangu nikajiandaa fasta nikawa namsubiria Tshesipo huku nikiendelea kuscroll camera mdogo mdogo kuangalia picha za Tshespo. Baada ya dakika chache nikaona sms keagan toto la konda, toka njee
shuka chini hapa parking.

Daa kotoka njee nilivyomuona sikujua kama ndio Tshespo tulietoka nae kanisani maana alikuwa kabadiika haswa, hapa ndio niiona urembo aliokuwa kabarikiwa Tshesipo maana alikuwa kavaa skerti fubi inaishia magotini,,mahips na tako yalivyokuwa yamejaa ndani ya hile sketi plus ule mpasuo ungedhani sketi ile inachanika ndani ya dkk mbili

Nywele zlikuwa zimeangukia mgongoni, chuchu saa sita oclock, guu sasa ndio nilichoka asee, guu nilidhani ni paja la mange kimambi, nikasema hapa keagan lazima leo nimueleze hisia zangu, baada ya kufika pale akesema mbona unaniangalia sana, nikamwambia hapana umependeza sana akacheeka huku tukiongozana kwenda restaurant .

Dah
 
Hii CHAI HII CHAAI AISE KONDA USITUONE WOTE MAZWAZWA Nmesoma kichwa na sehemu ya 1 nkarefer na ile stor ya khumbu ambapo ulisema bondeni umefika kwa ndugu zako na ulkua na ndugu zako na lengo la kushuka bondeni llkua ni kujiendeleza na elim na ulienda round ya kwanza ukarudi kumalizia Advance bongo then ukarudi tena bondeni LEO UNALETA UZI TENA AAFU UNASEMA HUKUA NA NDUGU??YALEYALE YA MOTIVATION SPIKA enewei hii ni chai kama chai nyngne zlizojaa uko kwenye kula tunda kimasihara
Nadhani kila mtu anakushangaa kwa hii coment yako mkuu. Hebu soma vizuri jina la mleta hii thread.
 
Mkuu acha kuniangushia jumba bovu. Mie hata sihusiki swala la kuendelea au kutokuendelea kwa hii stori. Kama mleta mada hataki kuendelea tafuta sababu nyingine mkuu.

Achana na hawa wanaokulaumu kuhusu comments zako

Me nakulaumu kwa uamuzi wako kurud bongo. Wakat wengine tunapata headach kuwazua natoboaje kufika sa. Ww ulirud.

Kwenye uzi wako niliona tunashare baadhi ya interest. Mfano kwenda beach kuchek misambwanda.. sasa huku bongo eti venue ni kidimbwi au kawe beach... hakuna ule mzuka..
 
Ngoja mimi niendelee wakati tunamsubiri Keagan Paul

Wakati tumemaliza ibada kwenye muda wa saa 3 usiku, ikabidi wanakwaya tuanze safari ya kurudi kwenye hotel soo wakati tunapanda kwenye usafari bahati nzuri Tshespo akaja kukaa pembeni yangu .

Niseme ukweli Tshesipo alikuwa kachangamka sana na kuonesha ukaribu sana na mimi wakati bado tuko kwenye gari akaniomba Camera akawa anaangalia zile picha tulizopiga asubuhi kule mlimani na kuniuliza hii umeipenda?? Hii imetoka vizuri huku akitabasamu

Wakati tumekaribia kufika kwenye zile hotel pembeni kidogo kulikuwa na kama hoteli ambayo njee kulikuwa na restaurant ambayo watu walikuwa wakipata chakula vinywaji na mziki kidogo mara tshespo akasema sehemu nzuri sana kwa kupata chakula imetulia na mimi pia nikadakia nzuri sana akasema basi akasema tukifika kwenye hoteli tugeuze hapo kupata chakula.

Basi tuipofika pale hotelini nilienda room kwangu nikajiandaa fasta nikawa namsubiria Tshesipo huku nikiendelea kuscroll camera mdogo mdogo kuangalia picha za Tshespo. Baada ya dakika chache nikaona sms keagan toto la konda, toka njee
shuka chini hapa parking.

Daa kotoka njee nilivyomuona sikujua kama ndio Tshespo tulietoka nae kanisani maana alikuwa kabadiika haswa, hapa ndio niiona urembo aliokuwa kabarikiwa Tshesipo maana alikuwa kavaa skerti fubi inaishia magotini,,mahips na tako yalivyokuwa yamejaa ndani ya hile sketi plus ule mpasuo ungedhani sketi ile inachanika ndani ya dkk mbili

Nywele zlikuwa zimeangukia mgongoni, chuchu saa sita oclock, guu sasa ndio nilichoka asee, guu nilidhani ni paja la mange kimambi, nikasema hapa keagan lazima leo nimueleze hisia zangu, baada ya kufika pale akesema mbona unaniangalia sana, nikamwambia hapana umependeza sana akacheeka huku tukiongozana kwenda restaurant .
 
Ngoja mimi niendelee wakati tunamsubiri Keagan Paul

Wakati tumemaliza ibada kwenye muda wa saa 3 usiku, ikabidi wanakwaya tuanze safari ya kurudi kwenye hotel soo wakati tunapanda kwenye usafari bahati nzuri Tshespo akaja kukaa pembeni yangu .

Niseme ukweli Tshesipo alikuwa kachangamka sana na kuonesha ukaribu sana na mimi wakati bado tuko kwenye gari akaniomba Camera akawa anaangalia zile picha tulizopiga asubuhi kule mlimani na kuniuliza hii umeipenda?? Hii imetoka vizuri huku akitabasamu

Wakati tumekaribia kufika kwenye zile hotel pembeni kidogo kulikuwa na kama hoteli ambayo njee kulikuwa na restaurant ambayo watu walikuwa wakipata chakula vinywaji na mziki kidogo mara tshespo akasema sehemu nzuri sana kwa kupata chakula imetulia na mimi pia nikadakia nzuri sana akasema basi akasema tukifika kwenye hoteli tugeuze hapo kupata chakula.

Basi tuipofika pale hotelini nilienda room kwangu nikajiandaa fasta nikawa namsubiria Tshesipo huku nikiendelea kuscroll camera mdogo mdogo kuangalia picha za Tshespo. Baada ya dakika chache nikaona sms keagan toto la konda, toka njee
shuka chini hapa parking.

Daa kotoka njee nilivyomuona sikujua kama ndio Tshespo tulietoka nae kanisani maana alikuwa kabadiika haswa, hapa ndio niiona urembo aliokuwa kabarikiwa Tshesipo maana alikuwa kavaa skerti fubi inaishia magotini,,mahips na tako yalivyokuwa yamejaa ndani ya hile sketi plus ule mpasuo ungedhani sketi ile inachanika ndani ya dkk mbili

Nywele zlikuwa zimeangukia mgongoni, chuchu saa sita oclock, guu sasa ndio nilichoka asee, guu nilidhani ni paja la mange kimambi, nikasema hapa keagan lazima leo nimueleze hisia zangu, baada ya kufika pale akesema mbona unaniangalia sana, nikamwambia hapana umependeza sana akacheeka huku tukiongozana kwenda restaurant .
Hahaaaaa...Mkuu shikamoo!
 
Hii CHAI HII CHAAI AISE KONDA USITUONE WOTE MAZWAZWA Nmesoma kichwa na sehemu ya 1 nkarefer na ile stor ya khumbu ambapo ulisema bondeni umefika kwa ndugu zako na ulkua na ndugu zako na lengo la kushuka bondeni llkua ni kujiendeleza na elim na ulienda round ya kwanza ukarudi kumalizia Advance bongo then ukarudi tena bondeni LEO UNALETA UZI TENA AAFU UNASEMA HUKUA NA NDUGU??YALEYALE YA MOTIVATION SPIKA enewei hii ni chai kama chai nyngne zlizojaa uko kwenye kula tunda kimasihara
Nakuunga mkono...kuna namna inawezekana konda msafi kaamua kuja na huu uzi kivingine akitumia ID nyingine kongwe....

Sababu kuna flow ya uandishi story inashabihiana pia toka mwandishi wa hii story akate mguu humu..@konda msafi amekua active., kipindi kile mwandishi yuko active konda msafi alikua kimya.

Kuna ka similarity hapa...inaonekana tunachezewa akili.
 
Mkuu soma substence ya comment yangu. Pitia mara mbili tena labda utanielewa nilichoandika.
Mkuu kiukweli unaonekana upo sahihi mtoa story kuna vingi anaongopa huwezi ishi nchi kama south africa alafu uwe unabahati kiasi icho huu uongo wa kiwango cha sgr yaani atoke ndani ya south alafu arejee wasimkamate sio kweli kwakua wabongo wengi wanataka story za vijiweni hawataki mtu akosolewe au arekebishwe sehemu akijikanyaga
 
Sawa mkuu haina shida. Acha tupate utamu wa stori, kweli hayo mengine tukitaka kuyadadisi sana yanaweza kumtoa kwenye reli bwana Keagan. Ila kama itampendeza binafsi ningemuomba aelezee aliwezaje kutoka SA na kurudi tena wakati visa imeisha. Mzee Fohadi hiki ni kipengele muhimu sana. Kuwa na expired visa mbele ya immigration officer ni sawa na kulala chumba kimoja na chatu kama alivyosema mdau mmoja hapo juu.
Akitolea ufafanuzi nitag
 
Sawa mkuu haina shida. Acha tupate utamu wa stori, kweli hayo mengine tukitaka kuyadadisi sana yanaweza kumtoa kwenye reli bwana Keagan. Ila kama itampendeza binafsi ningemuomba aelezee aliwezaje kutoka SA na kurudi tena wakati visa imeisha. Mzee Fohadi hiki ni kipengele muhimu sana. Kuwa na expired visa mbele ya immigration officer ni sawa na kulala chumba kimoja na chatu kama alivyosema mdau mmoja hapo juu.
Mbona kuna sehem kaelezea kuwa alitumia njia za panya?
 
ndio maana mwanzoni uzi unaanza nilimwambia aache Ufala.


napenda sana stories kama hizo...ila kusubiri naonaga ujinga shusha kitu kiishe...kuna mwamba alitupa story ya south jins alivyoponea kuuliwa na polisi alishusha episode moja ndefu sana story ikaisha


hawa nitarud sijui itaendelea wanaboa sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Duh Mkuu unalilia Story??? Jamaa anatafuta kitoweo wewe unamlaumu... utamlisha aje amalizie mkasa? tulia Mwenzio alitumia siku kibao kusafiri na alishinda nje akimsubiri mtu aliyemuahidi kumpokea akavumilia wewe umekaa kwako unaona jamaa ala late??? vumilia ni haliya dunia... sio kila safari ukipanda daladala ufike hadi kituo cha mwisho sababu umelizie nauli yako shukia karibu tu na kwako yatosha.
 
Back
Top Bottom