Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Mkuu wewe umesema umeishi South Africa miaka kibao (binafsi sina shaka na hilo kabisa) ila unayoandika hapa ni kama vile sio msafiri wa pande zile.

Kama unaelewa vizuri,wabongo siku hizi hawapewi siku nyingi wanapoingia South hata kama ni first time,yaani siku hizi unapewa one week mpaka two weeks basi tofauti na kitambo,

Ila mabaharia wakishaingia tu South,wanakaa mwanzo mwisho bila kwenda kugonga tena wala kuwa na document yoyote ya kuishi kule.

Hakuna sehemu hatari kuishi bila vibali ndani ya South kama Jozi,maana kuna jamaa wanaitwa SECTOR 2,daily wapo mitaani kukamata watu wasio na vibali lakini bado kuna mabaharia kibao wapo hapo hapo jozi bila kibali chochote miaka nenda rudi na wanapeta tu,sasa wewe unashangaa nini mtu wangu?

Kingine kama umepita boda za South,basi lazima utakuwa unajua kwamba pesa ndio mchawi pande zile,yaani ukiwa na mkwanja tu,unaingia bila hata hiyo passport,sembuse kuwa ime expire?

Halafu nimeshangaa zaidi uliposema polisi wanachana asylum permit (MPANGO),mpango original ambao umetolewa na Home Affairs police anaanzaje kuuchana?hiyo asylum permit inatumika mpaka na maboss wa kiEthopia/Wahindi wenye miduka mikubwa na biashara nyingine kubwa tu South,halafu unasema mpango hausebenzi kaburu?..watu mpaka mahakamani wanatoka na huo huo mpango,
waliokupigia story za police kuchana mpango walikuwa wanakuzingua tu mwana!!
Mkuu hata mimi Nov 2019 niligongewa three months japo nilikaa 2 weeks nilienda kikazi nikiwa na full documents zinazoonesha mwaliko wangu na siku ninazopaswa kuattend zilikuwa saba nikaongeza zangu saba ili nizurure kidogo ... immagration walinigongea three months....nilikuwa na documents zote hadi confirmation ya hotel niliyofanya booking....invitation letter nk.
.tofauti na matarajio yangu Tanzania ndo waliangalia hizo nyaraka zote ila upande wa SA aliniuliza tu nikamwambia bila kukagua nyaraka akapiga muhuri wa miezi mitatu passport yangu...

Nilirudi nikiwa na miezi miwili na wiki kama mbili mbele....ingekuwa sio kazi ningekaa kaa kidogo sababu by that time nilikuwa nishapata marafiki tena wanaojielewa

SADC countries inaruhusiwa miezi 3 japo sijajua kiundani kwa nini wengine wanangewa mwezi au chini ya mwezi naendelea kujifunza kwenye uzi wa huyu jamaa
 
Wakuu leo naomba kuleta Story yangu ya kweli ya jinsi nilivyokwenda South Africa bila kuwa na ndugu kule wala mtu wa kunipokea.

Ukweli kuna wakati ilifika nilichoka sana maisha ya hapa nyumbani, ilikuwa Mwaka 2014, nilikuwa napitia changamoto nyingi za maisha hasa katika familia. Ukweli akili ilikuwa imechoka sana ilisababishwa na kutokuwa na ajira muda mrefu.

Hata baadhi ya watu sikuwa napenda kukutana nao sana. Nikajiuliza kwani Maisha ni hapa tu nyumbani? kwani hakuna sehemu nyengine? Nikajisemea labda sikuandikiwa kutoboa hapa nyumbani ngoja nikajaribu bahati yangu sehemu nyengine.

Kabla ya kufanya maamuzi ya kwenda South Africa, Kwanza niliwaza kujaribu bahati yangu Marekani, nina ndugu kama watatu huko. Nikamcheki ndugu yangu mmoja akanitumia Invitation Letter. Nikaanza kupambana pale Ubalozini. Nilifika kwenye Usahili lakini nilikosa VISA.

Vipi story yako IMEISHA AU ??
 
Ngoja mimi niendelee wakati tunamsubiri Keagan Paul

Wakati tumemaliza ibada kwenye muda wa saa 3 usiku, ikabidi wanakwaya tuanze safari ya kurudi kwenye hotel soo wakati tunapanda kwenye usafari bahati nzuri Tshespo akaja kukaa pembeni yangu .

Niseme ukweli Tshesipo alikuwa kachangamka sana na kuonesha ukaribu sana na mimi wakati bado tuko kwenye gari akaniomba Camera akawa anaangalia zile picha tulizopiga asubuhi kule mlimani na kuniuliza hii umeipenda?? Hii imetoka vizuri huku akitabasamu

Wakati tumekaribia kufika kwenye zile hotel pembeni kidogo kulikuwa na kama hoteli ambayo njee kulikuwa na restaurant ambayo watu walikuwa wakipata chakula vinywaji na mziki kidogo mara tshespo akasema sehemu nzuri sana kwa kupata chakula imetulia na mimi pia nikadakia nzuri sana akasema basi akasema tukifika kwenye hoteli tugeuze hapo kupata chakula.

Basi tuipofika pale hotelini nilienda room kwangu nikajiandaa fasta nikawa namsubiria Tshesipo huku nikiendelea kuscroll camera mdogo mdogo kuangalia picha za Tshespo. Baada ya dakika chache nikaona sms keagan toto la konda, toka njee
shuka chini hapa parking.

Daa kotoka njee nilivyomuona sikujua kama ndio Tshespo tulietoka nae kanisani maana alikuwa kabadiika haswa, hapa ndio niiona urembo aliokuwa kabarikiwa Tshesipo maana alikuwa kavaa skerti fubi inaishia magotini,,mahips na tako yalivyokuwa yamejaa ndani ya hile sketi plus ule mpasuo ungedhani sketi ile inachanika ndani ya dkk mbili

Nywele zlikuwa zimeangukia mgongoni, chuchu saa sita oclock, guu sasa ndio nilichoka asee, guu nilidhani ni paja la mange kimambi, nikasema hapa keagan lazima leo nimueleze hisia zangu, baada ya kufika pale akesema mbona unaniangalia sana, nikamwambia hapana umependeza sana akacheeka huku tukiongozana kwenda restaurant .
 
Sitasahau mwaka 2003 nilipotumia ada ya shule kwenda South Africa na kukwamia Lisaka-Zambia.
Nilitumia akili nyingi na kufanikiwa kuishi katika kambi ya jeshi la anga la Zambia (ZAF) kwa muda wa siku 40 wakati raia asiekua mzambia alikua haruhusiwi hata kuingia mapokezi ya getini. Ubarikiwe sana Mohamed Mushiri Mwanajeshi muislamu pekee aliekua kwenye kambi ile kwa wakati ule. Mwenyezimungu akiamua kukulinda hata ikulu utaishi kwa raha zako.
Mkuu shusa uzi wa hii nondo.

Kama ikikupendeza tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye kuongeza inategemea unataka kuendelea kuishi huko kwa shughuli gani? Maana unapotaka kuongeza inabidi utoe sababu maana kuna visa za aina tofauti tofauti kama ya kusoma, kufanya kazi, volunteer etc na zote zina gharama yake.
Gharama kubwaa mfano ya utaliii
 
Ngoja mimi niendelee wakati tunamsubiri Keagan Paul

Wakati tumemaliza ibada kwenye muda wa saa 3 usiku, ikabidi wanakwaya tuanze safari ya kurudi kwenye hotel soo wakati tunapanda kwenye usafari bahati nzuri Tshespo akaja kukaa pembeni yangu .

Niseme ukweli Tshesipo alikuwa kachangamka sana na kuonesha ukaribu sana na mimi wakati bado tuko kwenye gari akaniomba Camera akawa anaangalia zile picha tulizopiga asubuhi kule mlimani na kuniuliza hii umeipenda?? Hii imetoka vizuri huku akitabasamu

Wakati tumekaribia kufika kwenye zile hotel pembeni kidogo kulikuwa na kama hoteli ambayo njee kulikuwa na restaurant ambayo watu walikuwa wakipata chakula vinywaji na mziki kidogo mara tshespo akasema sehemu nzuri sana kwa kupata chakula imetulia na mimi pia nikadakia nzuri sana akasema basi akasema tukifika kwenye hoteli tugeuze hapo kupata chakula.

Basi tuipofika pale hotelini nilienda room kwangu nikajiandaa fasta nikawa namsubiria Tshesipo huku nikiendelea kuscroll camera mdogo mdogo kuangalia picha za Tshespo. Baada ya dakika chache nikaona sms keagan toto la konda, toka njee
shuka chini hapa parking.

Daa kotoka njee nilivyomuona sikujua kama ndio Tshespo tulietoka nae kanisani maana alikuwa kabadiika haswa, hapa ndio niiona urembo aliokuwa kabarikiwa Tshesipo maana alikuwa kavaa skerti fubi inaishia magotini,,mahips na tako yalivyokuwa yamejaa ndani ya hile sketi plus ule mpasuo ungedhani sketi ile inachanika ndani ya dkk mbili

Nywele zlikuwa zimeangukia mgongoni, chuchu saa sita oclock, guu sasa ndio nilichoka asee, guu nilidhani ni paja la mange kimambi, nikasema hapa keagan lazima leo nimueleze hisia zangu, baada ya kufika pale akesema mbona unaniangalia sana, nikamwambia hapana umependeza sana akacheeka huku tukiongozana kwenda restaurant .
Puuuzi kweli were.ahah
 
Gharama kubwaa mfano ya utaliii
Kwa kweli gharama za visa tofauti na nilizokuwa natumia sizijui. Volunteering niliyokuwa natumia ilikuwa rand 420. Ila mtiti upo kwenye kuiongeza masharti yake ni kama unaomba kuwa rais wa nchi.
 
Ngoja mimi niendelee wakati tunamsubiri Keagan Paul

Wakati tumemaliza ibada kwenye muda wa saa 3 usiku, ikabidi wanakwaya tuanze safari ya kurudi kwenye hotel soo wakati tunapanda kwenye usafari bahati nzuri Tshespo akaja kukaa pembeni yangu .

Niseme ukweli Tshesipo alikuwa kachangamka sana na kuonesha ukaribu sana na mimi wakati bado tuko kwenye gari akaniomba Camera akawa anaangalia zile picha tulizopiga asubuhi kule mlimani na kuniuliza hii umeipenda?? Hii imetoka vizuri huku akitabasamu

Wakati tumekaribia kufika kwenye zile hotel pembeni kidogo kulikuwa na kama hoteli ambayo njee kulikuwa na restaurant ambayo watu walikuwa wakipata chakula vinywaji na mziki kidogo mara tshespo akasema sehemu nzuri sana kwa kupata chakula imetulia na mimi pia nikadakia nzuri sana akasema basi akasema tukifika kwenye hoteli tugeuze hapo kupata chakula.

Basi tuipofika pale hotelini nilienda room kwangu nikajiandaa fasta nikawa namsubiria Tshesipo huku nikiendelea kuscroll camera mdogo mdogo kuangalia picha za Tshespo. Baada ya dakika chache nikaona sms keagan toto la konda, toka njee
shuka chini hapa parking.

Daa kotoka njee nilivyomuona sikujua kama ndio Tshespo tulietoka nae kanisani maana alikuwa kabadiika haswa, hapa ndio niiona urembo aliokuwa kabarikiwa Tshesipo maana alikuwa kavaa skerti fubi inaishia magotini,,mahips na tako yalivyokuwa yamejaa ndani ya hile sketi plus ule mpasuo ungedhani sketi ile inachanika ndani ya dkk mbili

Nywele zlikuwa zimeangukia mgongoni, chuchu saa sita oclock, guu sasa ndio nilichoka asee, guu nilidhani ni paja la mange kimambi, nikasema hapa keagan lazima leo nimueleze hisia zangu, baada ya kufika pale akesema mbona unaniangalia sana, nikamwambia hapana umependeza sana akacheeka huku tukiongozana kwenda restaurant .
Mkuu imalizie mwenyew, deputy author wa bashite tuhamia kwa riki boy tukanywe chai na kashata za wavulana huko
 
Back
Top Bottom