SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Ha ha ha kila uzi wenye watu wengi wanatumia fursa KUDANGIA. Yaani kila kitu wanajua, kila nchi wamefika. Nawapigia saluti hawa malaya/wadangaji wa jf.Kuna ma***ya wawili watatu wajuaji sana kila kitu wanajua, kila mahali wanapajua, kila kitu wanacho
Wafanye biashara zao kwa utulivu