Keagan Paul
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 500
- 3,056
- Thread starter
- #941
Tayari Mkuu, Hadi sehemu ya Kumi na NneInakuja sehemu ya 13?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari Mkuu, Hadi sehemu ya Kumi na NneInakuja sehemu ya 13?
UwekezajiHii Kitaalamu tunaitaje mkuu?
Wengi sana mkuu sema mishe zako hazikukutanishi nao labda. Mbezi,Tegeta wamejaa kuanzia wenye makanisa,wauza magari,wauzaji wa bidhaa za China,wauza kompyuta,wataalam wa IT,matapeli na wezi wa kwenye ATM mpaka wauza ngadaUnataka kunambia kuna wanaijeria wengi hapa bongo? Makazi yao hasa ni wapi? Na wanajishughulisha na nini wengi wao?
Tayari Mkuu, Hadi sehemu ya Kumi na Nne
Sawa MkuuUnapoteza muda kujibu maswali, jikite kuchapa stori tu.
Ni ngumu kupata visa ila wamejaa hukoNimeishi nao nawajua vizuri sio hao tu,asilimia kubwa ya west African kupata viza ya Europe au USA ect ni ngumu sababu ya tabia zao,unasema ni wamoja wanabagua sana kama hujui
Saangapi unatupia tena? Nataka niingie Shambani kuvuna mahindi one tym!Tayari Mkuu, Hadi sehemu ya Kumi na Nne
Ukijilipua kwa ajili ya fasheni utaumbuka tuKuna wakati kujilipua kusiwe kama fasheni kwasababu unaona watu wanajilipua, hapana jitahidi uwe na sababu hasa ya kujilipua..
Jitahidi unapotaka kujilipua uwe tayari umepambana vya kutosha humu humu imeshindikana na njia pekee ni kujaribu kwingine, kuna wimbi la vijana wako nje kwa sababu ni sifa kwake kuwa nje na hakuna juhudi alizojaribu kufanya akiwa hapa na hata huko aliko hana anachokifanya zaidi ya kuishi normal life ambayo hata hapa si ajabu ungeweka nguvu kidogo ungefanikiwa..
Kwenye kusafiri kuna namna nyingi, wapo wanaosafiri kwenda kutembea, wapo wanaosafiri kwa kutumia ramani zilizoanzia hapa na kwenda kupiga michongo mbele na kurudi hapa, wapo wanaosafiri baada ya kushindwa kabisa kutoboa hapa...
Hahahaaa we mdada nawe hujambo. Kila sekta umegusaMkuu Keagan Paul ukimaliza yako, nami nitasimulia mkasa ulionikuta kule Arabuni nilipopelekwa na waarabu kwenda kucheza shoo kwenye kumbi zao.
Sitasahau....🥺😢😔🥺😢😔🥺😢😔
Mmh hii nitashinda jukwaani nasoma na kurudiaMkuu Keagan Paul ukimaliza yako, nami nitasimulia mkasa ulionikuta kule Arabuni nilipopelekwa na waarabu kwenda kucheza shoo kwenye kumbi zao.
Sitasahau....
una msambwanda lakini ?
Wanaume wa humu mna nini lakini?Ebu fanya kama unaanza kuandaa sahv ili ukiiachia isiwe na episode zakutuchosha kusubir
Acha kuchangia upuuzi hapa,awamu unayosema imejenga vipande vya barabara sio barabara,sasa unataka tulinganishe barabara ya Dar to Moro au dodoma au mwanza na Lusaka to Livingstone?tembea ujifunze na kuona kuliko kuhadithiwa mkuu.Wabongo hamuelewek aliyekua anajenga barabara mlimpiga Vita eti diktera Leo hii mnaanza kudemka mnasema Tena barabara
Yaani waarabu walichonitenda, sitakaa nikumbuke na kusahau milele.Hahahaaa we mdada nawe hujambo. Kila sekta umegusa
☺️☺️☺️☺️☺️Mmh hii nitashinda jukwaani nasoma na kurudia
upooo we mama😂😂Nitarudi
Kimbizana nao siku moja na wewe uambatane nao, mi natumia maliasili yangu niliyopewa bure na muumba ila kwa akili pasipo kuharibu utu wangu km mwanamke,Mate yakiisha Tutaongeza...nipo nakonde Hapa nahangaika na waenda mbio,
Acha nichume za Hapa border kwanza
Hatukupopoi mdadaYaani waarabu walichonitenda, sitakaa nikumbuke na kusahau milele.
We subiri tu....ila msinipopoe tu.
Sema sasa nina picha kabisa, afu sheria za jf zinakataza mambo hayo.Ebu jaribu tuone😁😁😁