Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Unataka kunambia kuna wanaijeria wengi hapa bongo? Makazi yao hasa ni wapi? Na wanajishughulisha na nini wengi wao?
Wengi sana mkuu sema mishe zako hazikukutanishi nao labda. Mbezi,Tegeta wamejaa kuanzia wenye makanisa,wauza magari,wauzaji wa bidhaa za China,wauza kompyuta,wataalam wa IT,matapeli na wezi wa kwenye ATM mpaka wauza ngada

Kuna chimbo siku moja nilishangaa kukutana na jamii ya waHungary zaidi ya 100 wote wafanya biashara Dsm
 
Kuna wakati kujilipua kusiwe kama fasheni kwasababu unaona watu wanajilipua, hapana jitahidi uwe na sababu hasa ya kujilipua..

Jitahidi unapotaka kujilipua uwe tayari umepambana vya kutosha humu humu imeshindikana na njia pekee ni kujaribu kwingine, kuna wimbi la vijana wako nje kwa sababu ni sifa kwake kuwa nje na hakuna juhudi alizojaribu kufanya akiwa hapa na hata huko aliko hana anachokifanya zaidi ya kuishi normal life ambayo hata hapa si ajabu ungeweka nguvu kidogo ungefanikiwa..

Kwenye kusafiri kuna namna nyingi, wapo wanaosafiri kwenda kutembea, wapo wanaosafiri kwa kutumia ramani zilizoanzia hapa na kwenda kupiga michongo mbele na kurudi hapa, wapo wanaosafiri baada ya kushindwa kabisa kutoboa hapa...
Ukijilipua kwa ajili ya fasheni utaumbuka tu

Ila mtu ambaye kashapigika hakuna pa kutoboa ndani ya bongo ni bora tu kujilipua ukafie mbele
 
una msambwanda lakini ?
Ebu fanya kama unaanza kuandaa sahv ili ukiiachia isiwe na episode zakutuchosha kusubir
Wanaume wa humu mna nini lakini?
Si tumekubaliana kuwa akimaliza yake nami nampa yangu aiweke humu?
Mna haraka kama bao la kwanza.
Tulieni wakaka...au mnataka kula kwa macho!!
Au ngoja niwaletee Pm yenu slip way na Patra31 ......
 
Wabongo hamuelewek aliyekua anajenga barabara mlimpiga Vita eti diktera Leo hii mnaanza kudemka mnasema Tena barabara
Acha kuchangia upuuzi hapa,awamu unayosema imejenga vipande vya barabara sio barabara,sasa unataka tulinganishe barabara ya Dar to Moro au dodoma au mwanza na Lusaka to Livingstone?tembea ujifunze na kuona kuliko kuhadithiwa mkuu.
 

Similar Discussions

67 Reactions
Reply
Back
Top Bottom