Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Hili tunaweza kusaidiana kujibu,barabara Tanzania bado sana tena sana,hii T1 yetu ni bado sana,Zambia wanajitahidi sana hasa barabara ya Lusaka to Livingstone,ya kwenda Chilindu sio mbaya sana ILA kuna tatizo kubwa mno btn Nakonde na Mpika ni shida sana(hii kwangu ni sabotage wanayotufanyia wazambia maana wameelekeza nguvu nyingi kusini but pure kibiashara)Chilundu hadi Beitbrige wanaifanyia ukarabati na nzuri in general,na N1 ya kutoka Beitbrige hadi cape town ni first class road ni super,na ukija Botswana nao ni super kuanzia ile A3 hadi A1,border ya zambia na Namibia sio safi hasa Zambia side ila upande wa pili ni super.Tanzania tuache siasa ni vema hii T1 yetu tuitengeneze ili tuchukue even 40%ya mizigo ya DRC(hii ndio future ya kibiashara Africa)
Kile kipande kutoka Gaborone mpaka Kazungula ferry wametandika mkeka wa maana..

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Mleta habari wetu,mie napenda kujua ikiwa Ahmed ana dada kaolewa na tajiri mkubwa huko south Africa!!! Ukimuuliza kwa nn hakupanda ndege kumuwahi dada kwwnda kupanda ndege ya kwenda huko ulipopataja samahani lakini Kama nitakuwa nimekuudhi ni swali la uelewa tu
Kuna watu wananogewa na road trips. Nina kaka yangu yuko SA hela kwake sio tatizo ila kama mara nne za mwisho anakuja na Hilux flani hivi tangu SA mpaka bongo. Hiyo hela si angepanda ndege, maana kuna services za gari anafanya uhakika na hakai mwaka bila kuja.
 
Mleta habari wetu,mie napenda kujua ikiwa Ahmed ana dada kaolewa na tajiri mkubwa huko south Africa!!! Ukimuuliza kwa nn hakupanda ndege kumuwahi dada kwwnda kupanda ndege ya kwenda huko ulipopataja samahani lakini Kama nitakuwa nimekuudhi ni swali la uelewa tu

uliza taratibu...
 
Sio chai mpaka hapo yupo sawa kabisa,baridi ya Tunduma na pale boda wanavyopenda sana rushwa,mi nilibananishwa chanjo ya yellow fever wakanila elfu arobaini
Kama chanjo ya yellow fever ulitoa elfu arobaini na Tanzania card ipo kwa elfu kumi upande wa afya sasa hii corona chanjo yake si utatoa laki tano uliza kabla hujayakanyaga itakusaidia popote pale...
 
Wewe jamaa ni mkweli Ahmad yupo na juzi nimeonana nae ukimuona kama mpemba kwa mbali na kila sehemu akikaa lazima ajaze watu ana story balaa na huyo dada martilda wa mbeya alikua anakuja kununua chocolate na roll on hizi daah sijamuona kitambo dada etu wa kinyakyusa anaongea na mcheshi mno...
 
Kama chanjo ya yellow fever ulitoa elfu arobaini na Tanzania card ipo kwa elfu kumi upande wa afya sasa hii corona chanjo yake si utatoa laki tano uliza kabla hujayakanyaga itakusaidia popote pale...
Hiyo elfu arobaini walinibahatisha kutokana nakutojua exchange rate.Afterall nilikuwa na kwacha za kutosha,so haikusumbua.
Ila ni tahadhari kwa wasafiri wanaotumia boarder ya Tunduma
 
Hiyo elfu arobaini walinibahatisha kutokana nakutojua exchange rate.Afterall nilikuwa na kwacha za kutosha,so haikusumbua.
Ila ni tahadhari kwa wasafiri wanaotumia boarder ya Tunduma
Maana yangu ipo hivi ukitoa hela nyingi wanajua hawa kumbe tukiwatikisa kidogo kwa kitu ambacho ni haki yake kupata anaweza kutoa hata dollar mia kwa ishu ya magonjwa wapo serious ila ukiwa umekamilika unampa anagonga bila kutoa chochote maana kugonga usiingie sio rahisi kihivyo...
 
Kile kipande kutoka Gaborone mpaka Kazungula ferry wametandika mkeka wa maana..

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mkeka wa nguvu na baadhi ya sehemu wamejenga airstrips!na salute kwa kambi ile ya jeshi la Botswana,they helped me big time kuna siku usiku nilipata pacha karibu kabisa na geti lao Panamatenga barracks i salute you
 
Back
Top Bottom