Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,008
- 26,318
Urongo ndio NiniAcha urongo. Korani haina hayo unayosema bali mnayapachika ionekane iko mbele ya wakati wakati enzi za kuandikwa kwake watu walitumia vibatari na kuishi kwenye mapango aja jabar hila. Mohamed said kaishiwa hoja kubalini yaishe. Kwani lazima mshinde na huu udini na ukabila wa kunuka? Wenye mawazo mgando kama haya hawana tofauti na gwajima tapeli atumiaye roho mtakakitu kutafuta ulaji na umaarufu.
Kama ndio uongo wapi nimesema uongo .
Kutaka uthibitisho ndio kusema uongo.
Aisee