Nilivyokutana na Mzee Sued Kagasheki katika mazungumzo na Dossa Aziz 1980s

Acha urongo. Korani haina hayo unayosema bali mnayapachika ionekane iko mbele ya wakati wakati enzi za kuandikwa kwake watu walitumia vibatari na kuishi kwenye mapango aja jabar hila. Mohamed said kaishiwa hoja kubalini yaishe. Kwani lazima mshinde na huu udini na ukabila wa kunuka? Wenye mawazo mgando kama haya hawana tofauti na gwajima tapeli atumiaye roho mtakakitu kutafuta ulaji na umaarufu.
Urongo ndio Nini

Kama ndio uongo wapi nimesema uongo .

Kutaka uthibitisho ndio kusema uongo.

Aisee
 
The donkey told the tiger: The grass is blue.

The tiger replied: No, the grass is green.

The discussion became heated, and the two decided to submit the issue to arbitration, and to do so they approached the lion.

Before reaching the clearing in the forest where the lion was sitting on his throne, the donkey started screaming: ′′Your Highness, isn't it true that the grass is blue?"

The lion replied: "True, the grass is blue".

The donkey rushed forward and continued: ′′The tiger disagrees with me and contradicts me and annoys me. Please punish him".

The king then declared: ′′The tiger will be punished with 5 years of silence".

The donkey jumped with joy and went on his way, content and repeating: ′′The grass is blue"..

The tiger accepted his punishment, but he asked the lion: ′′Your Majesty, why have you punished me, after all, the grass is green?"

The lion replied: ′′In fact, the grass is green".

The tiger asked: ′′So why do you punish me?"

The lion replied:

That has nothing to do with the question of whether the grass is blue or green.

The punishment is because it is not possible for a brave, intelligent creature like you to waste time arguing with a donkey, and on top of that to come and bother me with that question

The worst waste of time is arguing with the fool and fanatic who doesn't care about truth or reality, but only the victory of his beliefs and illusions.

Never waste time on discussions that make no sense...

There are people who for all the evidence presented to them, do not have the ability to understand, and others who are blinded by ego, hatred and resentment, and the only thing that they want is to be right even if they aren’t.

When ignorance screams, intelligence shuts up. Your peace and tranquility are worth more.

Adapted from an unknown Author


Therefore, here you stand as the tiger sentenced for 5yrs (5 days in this case) of silence!!!. who then is the screaming donkey ??🤣🤣
 
Mokaze,

SOMA VITABU HIVI UJUE HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA

Hiyo niliyokuwekea ni clip fupi ya mahojiano yangu na Mtangazaji Maureen wa TBC.

Naamini umeshangazwa na mengi uliyoyasikia.

Unajua kwa nini kadi ya TANU No. 3 ni ya Abdul Sykes, No. 2 ni ya Ally Sykes na No. 1 ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere?

Unajua Abbas Sykes ndiyo kijana mdogo zaidi kuchukua kadi ya TANU?

Kadi yake No. 7.

Hivi ushajiuliza vipi ndugu watatu wote wawe na kadi za mwanzo za TANU lakini wamefutika katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika?

Unaijua azma ya Hamza Mwapachu (1913 - 1962) katika kuwakusanya vijana wasomi ndani ya TAA baada ya Vita Vya Pili Vya Dunia?

Unajua sababu ya Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kuwa mmoja wa wajumbe wa TAA Political Subcommitee mwaka wa 1950?

Unajua Sheikh Hassan bin Ameir ilipokuja kuundwa TANU 1954 alikuwa akiuza kadi za TANU kwenye darsa zake ndani ya misikiti?

Unajua kwa nini Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU alikuwa Sheikh Suleiman Takadir mwaka wa 1954 hadi 1958 alipofukuzwa chama?

Je, unajua historia ya Mzee Iddi Tulio aliyeshika uenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU kuanzia 1958 hadi lilipovunjwa 1963?

Unajua kwa nini hadi leo historia ya TANU bado haifahamiki vyema na kuwa sababu ya kutowaenzi mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika?

Unajua kuwa kuna watu wanaiogopa historia ya kweli ya TANU?

Mokaze,
Usijibu haya maswali.

Silence is golden because it can never be repeated.

Najua unatambua kuwa ninayo majibu yake yote.

Nayajua haya si kwa kusoma vitabu bali nimeishi ndani ya historia hii lau kama nilikuwa na umri mdogo.

Lakini soma vitabu hivi uongeze maarifa yako.

Screenshot_20210906-050046_Facebook.jpg


Screenshot_20210906-052120_Photos.jpg

Kulia ni Balozi Abbas Sykes na Mwandishi nyumbani kwake Sea View, 2012.
 
Kam

Khamis ni mjukuu wa Mzee Sued Kagasheki. Khamis Kagasheki na Abdallah Kagasheki ni watu wawili tofauti. Abdallah Kagasheki ndie aliwahi kuwa Balozi. Huyu tunayemuita Balozi Khamis Kagasheki sina hakika kama alipata hadhi ya ubalozi bali alikuwa mkuu ya Idara fulani kule Geneva kwenye Shirika la Kazi Ulimwenguni.
Asante kwa ufafanuzi. Balozi Khamisi Kagasheki anayo hadhi kamili ya ubalozi
 
Mokaze,

SOMA VITABU HIVI UJUE HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA

Hiyo niliyokuwekea ni clip fupi ya mahojiano yangu na Mtangazaji Maureen wa TBC.

Naamini umeshangazwa na mengi uliyoyasikia.

Unajua kwa nini kadi ya TANU No. 3 ni ya Abdul Sykes, No. 2 ni ya Ally Sykes na No. 1 ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere?

Unajua Abbas Sykes ndiyo kijana mdogo zaidi kuchukua kadi ya TANU?

Kadi yake No. 7.

Hivi ushajiuliza vipi ndugu watatu wote wawe na kadi za mwanzo za TANU lakini wamefutika katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika?

Unaijua azma ya Hamza Mwapachu (1913 - 1962) katika kuwakusanya vijana wasomi ndani ya TAA baada ya Vita Vya Pili Vya Dunia?

Unajua sababu ya Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kuwa mmoja wa wajumbe wa TAA Political Subcommitee mwaka wa 1950?

Unajua Sheikh Hassan bin Ameir ilipokuja kuundwa TANU 1954 alikuwa akiuza kadi za TANU kwenye darsa zake ndani ya misikiti?

Unajua kwa nini Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU alikuwa Sheikh Suleiman Takadir mwaka wa 1954 hadi 1958 alipofukuzwa chama?

Je, unajua historia ya Mzee Iddi Tulio aliyeshika uenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU kuanzia 1958 hadi lilipovunjwa 1963?

Unajua kwa nini hadi leo historia ya TANU bado haifahamiki vyema na kuwa sababu ya kutowaenzi mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika?

Unajua kuwa kuna watu wanaiogopa historia ya kweli ya TANU?

Mokaze,
Usijibu haya maswali.

Silence is golden because it can never be repeated.

Najua unatambua kuwa ninayo majibu yake yote.

Nayajua haya si kwa kusoma vitabu bali nimeishi ndani ya historia hii lau kama nilikuwa na umri mdogo.

Lakini soma vitabu hivi uongeze maarifa yako.

View attachment 1925644

View attachment 1925658
Kulia ni Balozi Abbas Sykes na Mwandishi nyumbani kwake Sea View, 2012.
hivi mwanamuziki DULLY SYKES ana undugu na hao akina sykes?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom