Nilivyokutana na Mzee Sued Kagasheki katika mazungumzo na Dossa Aziz 1980s

P
Ukiandika maelezo yako uwe unayapitia pia kuyakumbuka. Ngoja nikunukuu kujibu swali lako "Dr Mutahangarwa alikuwa Mwafrika wa kwanza kufuzu udaktari." Wapi hayo unayosema kuwa hao niliotaja wanaingiaje. Kimsingi, linaweza kuwa kosa la kawaida katika uandishi. Hata hivyo, umefanya general assertion ambayo, kiuandishi wa kisomi, kama ningekuwa nakusahihisha, nisingekosa kuuliza swali, MWAFRIKA WA KWANZA KUFUZU UDAKTARI?!!!!! Seriously? Kwa vile wewe ni mwandishi na msomi, hapa utaelewa na kukubali kuwa ulikosea jambo ambalo ni la kawaida na kama binadamu lazima utakosea hata pale ambapo hukutegemea kwa msomi wa kiwango chako.
Pascal,
Hii ni merry go round.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umenena vyema Paschal mwanangu. Sijui kama wahusika watatuelewa
Father...
Kuna maneno naogopa kusema nisijeonekana najidai.

Mie si mtu wa kushindwa kukuelewa wewe au Pascal Mayalla.

Mbona nimeshiriki tena kwa mwaliko katika mijadala mingi katika vyuo kadhaa duniani?

Iweje nisikueleweni nyie?

Mimi ndiye nishangazwae nanyi kwa kukuoneni nakuwekeeni hapa "facts," ambazo wengine wakishasoma zinawagusa kiasi kinachofata kwangu ni kutaka niwape "empirical evidence," ili warekebishe pale palipokosewa.

Hili silioni kwenu.

Nimekuwekeeni hapa mengi ambayo mimi yameninyanyua sana katika kutambulika kama mjuzi wa "Political history" ya Tanganyika lakini nyie ndugu zangu ni kama vile ni vipofu hamuoni na viziwi hamsikii.

Hamna hamu ya kujua chochote.
Mmekalia kudhani mnajua.

Ndipo nasema naogopa nisionekane mtu wa kujidai.

Lakini ukweli nimo katika Cambridge Journal of African History pia nimo katika Dictionary of African Biography.

Hizi ni world class arena.

Niwieni radhi sana kwa kukuelezeni haya.

Kuna watu wanakuja hapa kujaribu kunitisha kwa kuandika Kiingereza.

Hubaki mie natingisha kichwa.
 
Father...
Kuna maneno naogopa kusema nisijeonekana najidai.

Mie si mtu wa kushindwa kukuelewa wewe au Pascal Mayalla.

Mbona nimeshiriki tena kwa mwaliko katika mijadala mingi katika vyuo kadhaa duniani?

Iweje nisikueleweni nyie?

Mimi ndiye nishangazwae nanyi kwa kukuoneni nakuwekeeni hapa "facts," ambazo wengine wakishasoma zinawagusa kiasi kinachofata kwangu ni kutaka niwape "empirical evidence," ili warekebishe pale palipokosewa

Hili silioni kwenu.

Nimekuwekeeni hapa mengi ambayo mimi yameninyanyua sana katika kutambulika kama mjuzi wa "Political history" ya Tanganyika lakini nyie ndugu zangu ni kama vile ni vipofu hamuoni na viziwi hamsikii.

Hamna hamu ya kujua chochote.
Mmekalia kudhani mnajua.

Ndipo nasema naogopa nisionekane mtu wa kujidai.

Lakini ukweli nimo katika Cambridge Journal of African History pia nimo katika Dictionary of African Biography.

Hizi ni world class arena.

Niwieni radhi sana kwa kukuelezeni haya.

Kuna watu wanakuja hapa kujaribu kunitisha kwa kuandika Kiingereza.

Hubaki mie natingisha kichwa.
Pffuuuu pyufuuu. Mbona siku zote wewe ni mjivuni mwenye elimu uchwara. Eti unasema umo kwenye Cambridge Jorunal of African History! Kwani kuwa humo umeambiwa ndiyo kuijua hiyo history ya Africa usiyoijua? Hoja yangu na Mayalla ni simpo kuwa daktari wako Mutahangarwa siyo muafrika wa kwanza kuhitimu utabibu. Kubali umechamesha. Kama alivosema ndugu yangu Paschal kuwa kuna watu wanaoamini hawakosea japo hata huyo mtume wao alikosea alipotaka kuharamisha asali simply because mke wake "aliichukia" kama kisingizio cha kumkomesha mke mwenzie. Sijui ungekuwa na PhD kama mimi ungesemaje mwanangu. Kweli umeweka facts japo siyo zote ni za kweli kama kudai eti Dk Mutahangarwa ndiye muafrika wa kwanza kupata shahada ya utabibu. Wewe ni mtu wa ubishi na all knowers who doesn't want to be faulted even where you are obviously faulty my friend. Kuelimika ni kukubali mapungufu yako na makosa kama vitu vya kawaida. Nashangaa kuona mtu anayejiona msomi akiwa na tabia zisizo za kisomi. Wewe unashangaa sisi kutokuelewa eti kwa vile ulialikwa kwenye vyuo mbali mbali! Mie nafundisha chuo na natembelea vingine lakini bado sijioni kama sikosei. Nimechapisha vitabu na sura nyingi kwenye vitabu vya kiada lakini sijioni najua kila kitu. Ndo maana hata mwanangu wa miaka tisa ananifundisha kucheza games na baadhi ya mambo ambayo–––thanks to generational gap–––wazazi wangu hawakuniwezesha na namkubali bila kujihisi amenishushia heshima. Naona kama unajiona kama muungu fulani. Maana ni miungu pekee ambayo haikosei ila si kiumbe aliyezaliwa na mwanamke. Huna haja ya kuomba radhi kwa kujifichua na kuelezea uloeleza yakiwa na mapungufu tu. Umejitahidi kuonyesha ulivyo mkereketwa wa historia ya TANU ili kuwaibua babu zako na waislam wenzako (na si watanganyika wala watanzania0 kwa vile wewe ni mdini na mhafidhina. Aibu pale uliopoandika "kuna watu wanakuja hapa kwa kujaribu kunitisha kwa kuandika kiingereza." Mbona haya mawazo ya kijima. Kiingereza ni lugha sawa na kimakonde. Hivyo, kaka tulia. Usiogope. Hakuna anayekuja wala kuwa hapa kukutish. Kama hujui au unakiogopa kimombo, hiyo shauri yako. Ningejua kiarabu–––lugha yako takatifu–––ningetumia lau uweze kujiamini. Sijui ndugu yangu Mayalla kama anaimanya anisaidie kukuelimisha na kukujengea kujiamini na kutuamini kuwa tuna lengo moja tu, kukuelimisha na kukuaminisha kuwa kukosea ni jambo la kawaida kwa binadamu hasa msomi kama wewe nasi. Usitushangaa kukushangaa kwa namna unavyojinasbu na kujionyesha kama nguli wa historia wakati bado unahitaji kufunzwa lau uwive.
Kwa leo naishia hapa kukushauri kuwa usiogope wala kuchukia. Sifa mojawapo ya usomi wa kweli ni kukubali makosa na mapungufu yako kama social being my friend.
 
Pffuuuu pyufuuu. Mbona siku zote wewe ni mjivuni mwenye elimu uchwara. Eti unasema umo kwenye Cambridge Jorunal of African History! Kwani kuwa humo umeambiwa ndiyo kuijua hiyo history ya Africa usiyoijua? Hoja yangu na Mayalla ni simpo kuwa daktari wako Mutahangarwa siyo muafrika wa kwanza kuhitimu utabibu. Kubali umechamesha. Kama alivosema ndugu yangu Paschal kuwa kuna watu wanaoamini hawakosea japo hata huyo mtume wao alikosea alipotaka kuharamisha asali simply because mke wake "aliichukia" kama kisingizio cha kumkomesha mke mwenzie. Sijui ungekuwa na PhD kama mimi ungesemaje mwanangu. Kweli umeweka facts japo siyo zote ni za kweli kama kudai eti Dk Mutahangarwa ndiye muafrika wa kwanza kupata shahada ya utabibu. Wewe ni mtu wa ubishi na all knowers who doesn't want to be faulted even where you are obviously faulty my friend. Kuelimika ni kukubali mapungufu yako na makosa kama vitu vya kawaida. Nashangaa kuona mtu anayejiona msomi akiwa na tabia zisizo za kisomi. Wewe unashangaa sisi kutokuelewa eti kwa vile ulialikwa kwenye vyuo mbali mbali! Mie nafundisha chuo na natembelea vingine lakini bado sijioni kama sikosei. Nimechapisha vitabu na sura nyingi kwenye vitabu vya kiada lakini sijioni najua kila kitu. Ndo maana hata mwanangu wa miaka tisa ananifundisha kucheza games na baadhi ya mambo ambayo–––thanks to generational gap–––wazazi wangu hawakuniwezesha na namkubali bila kujihisi amenishushia heshima. Naona kama unajiona kama muungu fulani. Maana ni miungu pekee ambayo haikosei ila si kiumbe aliyezaliwa na mwanamke. Huna haja ya kuomba radhi kwa kujifichua na kuelezea uloeleza yakiwa na mapungufu tu. Umejitahidi kuonyesha ulivyo mkereketwa wa historia ya TANU ili kuwaibua babu zako na waislam wenzako (na si watanganyika wala watanzania0 kwa vile wewe ni mdini na mhafidhina. Aibu pale uliopoandika "kuna watu wanakuja hapa kwa kujaribu kunitisha kwa kuandika kiingereza." Mbona haya mawazo ya kijima. Kiingereza ni lugha sawa na kimakonde. Hivyo, kaka tulia. Usiogope. Hakuna anayekuja wala kuwa hapa kukutish. Kama hujui au unakiogopa kimombo, hiyo shauri yako. Ningejua kiarabu–––lugha yako takatifu–––ningetumia lau uweze kujiamini. Sijui ndugu yangu Mayalla kama anaimanya anisaidie kukuelimisha na kukujengea kujiamini na kutuamini kuwa tuna lengo moja tu, kukuelimisha na kukuaminisha kuwa kukosea ni jambo la kawaida kwa binadamu hasa msomi kama wewe nasi. Usitushangaa kukushangaa kwa namna unavyojinasbu na kujionyesha kama nguli wa historia wakati bado unahitaji kufunzwa lau uwive.
Kwa leo naishia hapa kukushauri kuwa usiogope wala kuchukia. Sifa mojawapo ya usomi wa kweli ni kukubali makosa na mapungufu yako kama social being my friend.
Father...
Hakika unaandika vyema na unavyoandika kunatambulisha elimu yako.

Naamini Thesis yako itakuwa imepangika vizuri zaidi.

Tunastaili kukupa heshima.

Lakini mimi nilikuwa nawaeleza madaktari watano wanachama wa TAA na mmoja wao Dr. Joseph Mutahangarwa ndiye Muafrika wa kwanza kuhitimu uganga.

Iweje iwe ghafla anakua Mwafrika wa kwanza duniani?

Wahariri wanne kosa hili hawakuliona.

Nimefurahishwa sana na "jorunal," lakini najua kwa nini kalamu inakuponyoka.

Ukiwa na ghadhabu akili inakupokonya umakini.

Lakini sijui.

! huwa haitumiki katika uandishi kama huu.

Unaandika, "muafrika," "umechamesha," "hawakosea," "muungu," "waislamu," "watanganyika," "watanzania0," "kiingereza," "usitushangaa," "unavyojinasbu."

Huyu ndugu zangu ndiye Ph D mwalimu wa Chuo Kikuu.

Ilikuwa toka mwanzo nimjue bila ya mimi kufikiri kuhusu uwezo wake wa utambuzi alipokuwa anashindwa kuweka mipaka ya Mwafrika wa kwanza katika TAA Mwafrika wa kwanza duniani.

Sasa najiuliza Thesis aliandikaje na anasema anaandika vitabu vya kiada.

Pascal angemwita huyu mtu wa "maurongo."

Hivi kweli mtu kama huyu anastahili muda wangu?

Pigeni hesabu maneno aliyoandika na makosa aliyofanya kisha tazameni "ratio."

Sikujibu tena.

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA

Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.

Screenshot_20210905-141723_Chrome.jpg
 
Father...
Hakika unaandika vyema na unavyoandika kunatambulisha elimu yako.

Naamini Thesis yako itakuwa imepangika vizuri zaidi.

Tunastaili kukupa heshima.

Lakini mimi nilikuwa nawaeleza madaktari watano wanachama wa TAA na mmoja wao Dr. Joseph Mutahangarwa ndiye Muafrika wa kwanza kuhitimu uganga.

Iweje iwe ghafla anakua Mwafrika wa kwanza duniani?

Wahariri wanne kosa hili hawakuliona.

Nimefurahishwa sana na "jorunal," lakini najua kwa nini kalamu inakuponyoka.

Ukiwa na ghadhabu akili inakupokonya umakini.

Lakini sijui.

! huwa haitumiki katika uandishi kama huu.

Unaandika, "muafrika," "umechamesha," "hawakosea," "muungu," "waislamu," "watanganyika," "watanzania0," "kiingereza," "usitushangaa," "unavyojinasbu."

Huyu ndugu zangu ndiye Ph D mwalimu wa Chuo Kikuu.

Ilikuwa toka mwanzo nimjue bila ya mimi kufikiri kuhusu uwezo wake wa utambuzi alipokuwa anashindwa kuweka mipaka ya Mwafrika wa kwanza katika TAA Mwafrika wa kwanza duniani.

Sasa najiuliza Thesis aliandikaje na anasema anaandika vitabu vya kiada.

Pascal angemwita huyu mtu wa "maurongo."

Hivi kweli mtu kama huyu anastahili muda wangu?

Pigeni hesabu maneno aliyoandika na makosa aliyofanya kisha tazameni "ratio."

Sikujibu tena.

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA

Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Nilijua utapata pa kusingizia au tuseme kujiokoa. Kwangu kukosea siyo tatizo. Isitoshe, sijakosea lolote zaidi ya kutumia herufi ndogo. Hayo unayoona makosa, kwa uwezo wako, sina ugomvi nao. Makosa yako hata kama unaona umeandika vizuri siyo typos bali kupotosha maana au kukosa kufanikiwa kufikisha ujumbe uliolenga kufikisha. Uliza nikueleze nilichomaanisha. Unaponishitaki kutumia herufi ndogo nawe naona umefanya kosa hilo hilo kama kusema marafiki, mzalendo na mengine bila kutumia herufi kubwa. Kama kosa ni muafrika na siyo mwafrika, hii hutegemea na uchaguzi wa mwandishi. Kumekuwa na kasumba ya kutumia herufi kubwa kwa majina kama waislamu ambao kwangu jambo ambalo si lazima hasa kwenye mitandao kama hii ambako hakuna usahihishaji. Inaweza ikaonekana kama typos. Lakini madai kuwa ulimaanisha waafrika watano ambao sijaona ukiwataja sehemu yoyote kwenye andiko lako la msingi. Hebu uwe serious. Lisome andiko lako la kwanza uone kama kuna neno watano. Kuhusu tasnifu yangu, aikuhitaji watu kama wewe ambao wanajifisi kwa kuchapisha machapisho kidogo bila hata kufundisha ukajiona umemaliza elimu. Ungekuwa umeelimika, usingesema eti huna muda wa kupoteza nami. Kwa mtu aliyeelimika vya kutosha, hata akimsikiliza mtoto mdogo, lazima awe na adabu na akubali anaweza kujifunza kitu toka kwake,. Ungekuwa umeelimika, usingetetea udini na kuutosa utaifa. Wewe ni wale wasomi uchwara wa kiislamu wanaopenda kusifiwa kwa ujinga wao wa kutukuza dini na kutupilia mbali asili yao. Hawa ni wakoloni weusi waliioamua kujikana kuanzia majina hata imani. Sikushangai hata kidogo. Na kama utafutatilia maandishi yangu dhidi yako, siku zote nimekuwa nikikupinga kuhusiana na uhafidhina wako uchwara wenye kulenga kuleta ubaguzi na udini katika taifa letu. Una chuki ya wazi dhidi ya wasio waislamu ambayo umeificha kwenye kisingizio cha kuandika historia. Kwanini iwe mchango wa waislamu na si watanganyika? Hili litakufuata hadi kaburini kama dhambi ambayo unaitenda kwa makusudi. Kwa wasomi wa aina yako, tunazidi kurudi nyuma badala ya kwenda mbele. Nilikwambia kuwa wewe ni mwarabu mweusi aliyejikana kiasi cha kuchukia uafrika na waafrika hata uTanzania. Ukienda Uarabuni utaulizwa kwanini una majina ya kiarabu kwani kwenu hamna majina ya koo zenu. Ni utumwa hata kama unaweza kujiona msomi. Usomi siyo kutokosea bali kukubali makosa na kujifunza toka kwa wengine. Ungekuwa msomi wa haja usingeogopa kukubali udhaifu wako na badala yake ukawa unang'ang'ania kuwa sahihi kwa hoja za kuokoteza.
Samahani kwa niliyoandika hata kama hutayapenda. Siandiki kwa hasira bali kwa namna nilivyo. Hata kwenye maandiko ya kitaaluma, huwa tunakosea. Na ndiyo maana lazima kila andiko lihaririwe na wengine. Ni sawa na wanasheria. Huwezi kujitetea. Mara nyingi, hupenda wenzetu watutetee hata kama tuna uwezo wa kusimamia na kuendesha kesi kama hiyo. Umeelewa mwanangu Mohamed? Sina ugomvi nawe binafsi. Nilicho nacho ni kudodosa lau nipate ukweli. Kwa mfano, kwenye suala la muafrika au ngoja nitume utakayo Mwafrika wa kwanza kuhitimu shahada ya udaktari, hujaweka wazi, to put into context that you were dealing with Tanganyika only. Laiti ungesema katika Tanganyika, sisi si wendawazimu kukubana kwa kukupa ukweli zaidi. Kaka kubali umechemsha badala ya kuzidi kuwaka bila mafanikio. Nitazidi kukujibu hasa dhumuni lako la kueneza udini na kuukana utaifa unaojifanya unaandika historia yake. Kama kweli, ungetaka kuandika historia ya Tanganyika na namna ilivyopigania uhuru wake, usingekuja na lugha ya waislamu bali watanganyika. Nadhani hapa hutakuta typos nyingi za kung'ang'ania na kudandia tokana kutokuwa na hoja za kujibu hoja zangu. Kwa leo ni hayo kaka Moody, sorry Mohamed, usidhani nimekosea au ni Muhamad.
 
Nilijua utapata pa kusingizia au tuseme kujiokoa. Kwangu kukosea siyo tatizo. Isitoshe, sijakosea lolote zaidi ya kutumia herufi ndogo. Hayo unayoona makosa, kwa uwezo wako, sina ugomvi nao. Makosa yako hata kama unaona umeandika vizuri siyo typos bali kupotosha maana au kukosa kufanikiwa kufikisha ujumbe uliolenga kufikisha. Uliza nikueleze nilichomaanisha. Unaponishitaki kutumia herufi ndogo nawe naona umefanya kosa hilo hilo kama kusema marafiki, mzalendo na mengine bila kutumia herufi kubwa. Kama kosa ni muafrika na siyo mwafrika, hii hutegemea na uchaguzi wa mwandishi. Kumekuwa na kasumba ya kutumia herufi kubwa kwa majina kama waislamu ambao kwangu jambo ambalo si lazima hasa kwenye mitandao kama hii ambako hakuna usahihishaji. Inaweza ikaonekana kama typos. Lakini madai kuwa ulimaanisha waafrika watano ambao sijaona ukiwataja sehemu yoyote kwenye andiko lako la msingi. Hebu uwe serious. Lisome andiko lako la kwanza uone kama kuna neno watano. Kuhusu tasnifu yangu, aikuhitaji watu kama wewe ambao wanajifisi kwa kuchapisha machapisho kidogo bila hata kufundisha ukajiona umemaliza elimu. Ungekuwa umeelimika, usingesema eti huna muda wa kupoteza nami. Kwa mtu aliyeelimika vya kutosha, hata akimsikiliza mtoto mdogo, lazima awe na adabu na akubali anaweza kujifunza kitu toka kwake,. Ungekuwa umeelimika, usingetetea udini na kuutosa utaifa. Wewe ni wale wasomi uchwara wa kiislamu wanaopenda kusifiwa kwa ujinga wao wa kutukuza dini na kutupilia mbali asili yao. Hawa ni wakoloni weusi waliioamua kujikana kuanzia majina hata imani. Sikushangai hata kidogo. Na kama utafutatilia maandishi yangu dhidi yako, siku zote nimekuwa nikikupinga kuhusiana na uhafidhina wako uchwara wenye kulenga kuleta ubaguzi na udini katika taifa letu. Una chuki ya wazi dhidi ya wasio waislamu ambayo umeificha kwenye kisingizio cha kuandika historia. Kwanini iwe mchango wa waislamu na si watanganyika? Hili litakufuata hadi kaburini kama dhambi ambayo unaitenda kwa makusudi. Kwa wasomi wa aina yako, tunazidi kurudi nyuma badala ya kwenda mbele. Nilikwambia kuwa wewe ni mwarabu mweusi aliyejikana kiasi cha kuchukia uafrika na waafrika hata uTanzania. Ukienda Uarabuni utaulizwa kwanini una majina ya kiarabu kwani kwenu hamna majina ya koo zenu. Ni utumwa hata kama unaweza kujiona msomi. Usomi siyo kutokosea bali kukubali makosa na kujifunza toka kwa wengine. Ungekuwa msomi wa haja usingeogopa kukubali udhaifu wako na badala yake ukawa unang'ang'ania kuwa sahihi kwa hoja za kuokoteza.
Samahani kwa niliyoandika hata kama hutayapenda. Siandiki kwa hasira bali kwa namna nilivyo. Hata kwenye maandiko ya kitaaluma, huwa tunakosea. Na ndiyo maana lazima kila andiko lihaririwe na wengine. Ni sawa na wanasheria. Huwezi kujitetea. Mara nyingi, hupenda wenzetu watutetee hata kama tuna uwezo wa kusimamia na kuendesha kesi kama hiyo. Umeelewa mwanangu Mohamed? Sina ugomvi nawe binafsi. Nilicho nacho ni kudodosa lau nipate ukweli. Kwa mfano, kwenye suala la muafrika au ngoja nitume utakayo Mwafrika wa kwanza kuhitimu shahada ya udaktari, hujaweka wazi, to put into context that you were dealing with Tanganyika only. Laiti ungesema katika Tanganyika, sisi si wendawazimu kukubana kwa kukupa ukweli zaidi. Kaka kubali umechemsha badala ya kuzidi kuwaka bila mafanikio. Nitazidi kukujibu hasa dhumuni lako la kueneza udini na kuukana utaifa unaojifanya unaandika historia yake. Kama kweli, ungetaka kuandika historia ya Tanganyika na namna ilivyopigania uhuru wake, usingekuja na lugha ya waislamu bali watanganyika. Nadhani hapa hutakuta typos nyingi za kung'ang'ania na kudandia tokana kutokuwa na hoja za kujibu hoja zangu. Kwa leo ni hayo kaka Moody, sorry Mohamed, usidhani nimekosea au ni Muhamad.
Huyu mtu kila kitu chake ni feki hata jina lake la kibantu halijulikani. Halafu kumbe ana njaa, anajaribu kutumia kila fursa kujipa promo ili auze ushuzi wake aliyouweka kwenye maandishi. Kwa kifupi kaishiwa hana jipya. Tumeshamzoea huyu na CV lake ndeefu ilhali ana njaa kali. Wasaudia wafadhili wake wa enzi hizo watakuwa washamtupa, ndiyo maana ana njaa kali. Huyu lazima atakuwa kwenye radar za Usalama wa Taifa, CIA na FBI. Bora angejikita kwenye mafundisho ya dini yako ya Uislamu kama kweli ni mkereketwa wa dini yako, lkn bila kuingiza Utaifa.
 
Hata Faiza Foxy et al. sioni wanakuja kukutetetea siku hizi kama miaka ile. Kumbe kelele zote miaka yote ilikuwa ni mikwara ya kutafuta kuuza vitabu na vijitabu vyako
 
Hata Faiza Foxy et al. sioni wanakuja kukutetetea siku hizi kama miaka ile. Kumbe kelele zote miaka yote ilikuwa ni mikwara ya kutafuta kuuza vitabu na vijitabu vyako
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Huyu mtu kila kitu chake ni feki hata jina lake la kibantu halijulikani. Halafu kumbe ana njaa, anajaribu kutumia kila fursa kujipa promo ili auze ushuzi wake aliyouweka kwenye maandishi. Kwa kifupi kaishiwa hana jipya. Tumeshamzoea huyu na CV lake ndeefu ilhali ana njaa kali. Wasaudia wafadhili wake wa enzi hizo watakuwa washamtupa, ndiyo maana ana njaa kali. Huyu lazima atakuwa kwenye radar za Usalama wa Taifa, CIA na FBI. Bora angejikita kwenye mafundisho ya dini yako ya Uislamu kama kweli ni mkereketwa wa dini yako, lkn bila kuingiza Utaifa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 du kwa ulivyopaka, sina cha kuongeza. Tumungoje mwenyewe tumsikie na kumjibuni ajue kwetu utaifa ni zaidi udini na ukabila wake. Narudia. Uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa na watanganyika bila kujali dini wala makabila yao. Anayetetea udini na ukabila amepitwa na wakati na apingwe toka pande zote kwa namna zote.
 
Leo hii wangejaa madaktari wa afya dunia nzima waliosomea Udaktari kupitia Quran. Allah kaweka wazi kila kitu kwenye Quran kulingana na Waumini. Isitoshe ma Engineer wa kila nyanja wangesomea fani zao kupitia Quran

CHUO GANI DUNIANI kinatoa mafunzo ya Udaktari kupitia Quran ??!!
Nataka uthibitisho katika hili naona watu wanasifia sana
 
Pascal,
Mimi sijaona kosa wala wahariri wanne wa kitabu hicho hawakuliona hilo kosa.

Sijapata kuandika chembelecho "chumvi" kama unavyoshikilia lau nimekutahadharisha kuwa hilo ni tusi.

Ungekuwa muungwana ungeacha lakini ajabu ni kuwa hushughulishwi na akhlak njema.

Unaendelea kunitukana.
Mzee haujatukanwa

Usijifiche kwenye kichaka Cha "kutukanwa"

Muungwana hukubali kuteleza sio kutafuta sababu uonekane unaonewa
 
Huyu mtu kila kitu chake ni feki hata jina lake la kibantu halijulikani. Halafu kumbe ana njaa, anajaribu kutumia kila fursa kujipa promo ili auze ushuzi wake aliyouweka kwenye maandishi. Kwa kifupi kaishiwa hana jipya. Tumeshamzoea huyu na CV lake ndeefu ilhali ana njaa kali. Wasaudia wafadhili wake wa enzi hizo watakuwa washamtupa, ndiyo maana ana njaa kali. Huyu lazima atakuwa kwenye radar za Usalama wa Taifa, CIA na FBI. Bora angejikita kwenye mafundisho ya dini yako ya Uislamu kama kweli ni mkereketwa wa dini yako, lkn bila kuingiza Utaifa.
Mzee Mohamed Said hana njaa kali kama unavyodhani. Huyu ni mstaafu wa Bandari aliyekuwa na wadhifa mkubwa.

Kama sijakosea, nadhani yeye na akina Ramadhani Dau ndiyo walioanzisha idara ya marketing ya Bandari. Mzee Mohamed hata kwenye mikutano ya bodi ya wakurugenzi alikuwa anaingia.

Shindana naye kwa hoja na si vioja.
 
Kama huna surname ya kibantu kwenye jina lako sikuelewi kabisa sitokuja kukuelewa
 
Mzee Mohamed Said hana njaa kali kama unavyodhani. Huyu ni mstaafu wa Bandari aliyekuwa na wadhifa mkubwa.

Kama sijakosea, nadhani yeye na akina Ramadhani Dau ndiyo walioanzisha idara ya marketing ya Bandari. Mzee Mohamed hata kwenye mikutano ya bodi ya wakurugenzi alikuwa anaingia.

Shindana naye kwa hoja na si vioja.
Wadhifa haukufanyi uwe na pesa milele.

Hata Kama ulikuwa unazo nyingi bila kuzifanyia kazi au uwekezaji zitaishia tu utarudi Kule Kule ground zero.

So hoja yako ni invalid

Mjipange tena
 
Nataka uthibitisho katika hili naona watu wanasifia sana
Acha urongo. Korani haina hayo unayosema bali mnayapachika ionekane iko mbele ya wakati wakati enzi za kuandikwa kwake watu walitumia vibatari na kuishi kwenye mapango aja jabar hila. Mohamed said kaishiwa hoja kubalini yaishe. Kwani lazima mshinde na huu udini na ukabila wa kunuka? Wenye mawazo mgando kama haya hawana tofauti na gwajima tapeli atumiaye roho mtakakitu kutafuta ulaji na umaarufu.
 
Mzee Mohamed Said hana njaa kali kama unavyodhani. Huyu ni mstaafu wa Bandari aliyekuwa na wadhifa mkubwa.

Kama sijakosea, nadhani yeye na akina Ramadhani Dau ndiyo walioanzisha idara ya marketing ya Bandari. Mzee Mohamed hata kwenye mikutano ya bodi ya wakurugenzi alikuwa anaingia.

Shindana naye kwa hoja na si vioja.
The donkey told the tiger: The grass is blue.

The tiger replied: No, the grass is green.

The discussion became heated, and the two decided to submit the issue to arbitration, and to do so they approached the lion.

Before reaching the clearing in the forest where the lion was sitting on his throne, the donkey started screaming: ′′Your Highness, isn't it true that the grass is blue?"

The lion replied: "True, the grass is blue".

The donkey rushed forward and continued: ′′The tiger disagrees with me and contradicts me and annoys me. Please punish him".

The King then declared: ′′The tiger will be punished with 5 years of silence".

The donkey jumped with joy and went on his way, content and repeating: ′′The grass is blue..."

The tiger accepted his punishment, but he asked the lion: ′′Your Majesty, why have you punished me, after all, the grass is green?"

The lion replied: ′′In fact, the grass is green".

The tiger asked: ′′So why do you punish me?"

The lion replied:

That has nothing to do with the question of whether the grass is blue or green.

The punishment is because it is not possible for a brave, intelligent creature like you to waste time arguing with a donkey, and on top of that to come and bother me with that question.

The worst waste of time is arguing with the fool and fanatic who doesn't care about truth or reality, but only the victory of his beliefs and illusions.

Never waste time on discussions that make no sense...

There are people who for all the evidence presented to them, do not have the ability to understand, and others who are blinded by ego, hatred and resentment, and the only thing that they want is to be right even if they aren’t.

When ignorance screams, intelligence shuts up.

Your peace and tranquility are worth more.

Adapted from an unknown Author
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom