luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,257
Na bado nyie si ndio mnakuwaga na wivu na wachaga? Wachaga wana akili nyingi huwez kuwahujumu kwa namna yoyote utaaibika tuWakati club hii kongwe ilivyokuwa inaharibiwa mimi nilikuwa nafanya biashara ya chips pembezoni ya club. Kwakweli nilikuwa naingiza sio chini ya laki kila siku ya club.
Binafsi nilikuwa simpendi Mbowe kwa sababu nilihisi ni mwizi tu hivyo wakati club yake inaharibiwa nilifurai sana moyoni nikajua jizi limekamatwa.
Nilikuwa nina mawazo finyu kwasababu sikujua kuendelea kuwepo kwa club ile ndio ilikuwa maendeleo ya biashara yangu.
Sasa hivi biashara nimefunga na hali yangu mbaya sana kiuchumi na nikimuangalia Mbowe yuko vizuri tu.
Sasa hivi natamani bills irudi tu kama Zamani. Nimegundua wivu ni mbaya sana.
Unaweza hisi mwenzako akifilisika wewe ndio unapanda kumbe yeye ndio anaekufanya upate kipato bila kujijua.
Bora mbowe anisamehe na waliovunja club wapotee kabisa.
Mbowe ni tajiri tangu kitambo Ana mikampuni uk,usa,sauz,Nairobi ,Dubaï etc sembuse hicho ki billicanas? Jutia ujinga wako