dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
Alikuwa ni mkubwa kiumri mpaka umbo. .lakini pia alikuwa ni best wangu wa ukweli. Kiasi kwamba ukiniuliza mimi kuwa yeye yupo wapi Na kujibu..na Yeye ukimuuliza kuhusu mimi anakujibu nipo sehemu fulani....mtaa mzima walijua ni demu wangu.... Na mashost zake walijua mi ndo shem Lao.. kumbe vikojoleo havijawahi kugusana hata one day...
Baadae nikapata story kuwa anatangaza kuwa mimi ni mpenzi wake
Nikawa napata pingamizi kwa mademu niliokuwa nawatokea kisa eti wanamuogopa wifi(yeye)...Dah
Nikaja kumgonga yule demu baadae sana tena akiwa ashazalishwa na WALIOWAHI KULA TUNDA KIMASIARA
Baadae nikapata story kuwa anatangaza kuwa mimi ni mpenzi wake
Nikawa napata pingamizi kwa mademu niliokuwa nawatokea kisa eti wanamuogopa wifi(yeye)...Dah
Nikaja kumgonga yule demu baadae sana tena akiwa ashazalishwa na WALIOWAHI KULA TUNDA KIMASIARA