chapangombe
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 362
- 286
Umenena vyema kiongozi basi tusihukumu mwache MunguSijawahi kupora mali ya mtu, kubambikia kesi FEKI kuua na wala sina mpango wa kufanya hivyo. Kuna binadamu yeyote anayedhani hatakufa?
Umenena vyema kiongozi basi tusihukumu mwache MunguSijawahi kupora mali ya mtu, kubambikia kesi FEKI kuua na wala sina mpango wa kufanya hivyo. Kuna binadamu yeyote anayedhani hatakufa?
Umenena vyema kiongozi basi tusihukumu mwache Mungu
Nenda msikitini kwa sasa si ibada pia au ulitaka kumaanisha nini na Magufuli wako aliyekwishakufa?Nimeukumbuka tu ule utaratibu wa TBC kurusha mubashara misa alizokuwa anashiriki aliyekuwa Rais wa JMT hayati Magufuli.
Ulikuwa utaratibu mzuri sana maana waumini tulipata fursa ya kushiriki ibada na mkuu wa nchi kidigitali.
Hata Nyerere alifanya ibada za kitaifa pale St Joseph.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!