johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Nimeukumbuka tu ule utaratibu wa TBC kurusha mubashara misa alizokuwa anashiriki aliyekuwa Rais wa JMT hayati Magufuli.
Ulikuwa utaratibu mzuri sana maana waumini tulipata fursa ya kushiriki ibada na mkuu wa nchi kidigitali.
Hata Nyerere alifanya ibada za kitaifa pale St Joseph.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ulikuwa utaratibu mzuri sana maana waumini tulipata fursa ya kushiriki ibada na mkuu wa nchi kidigitali.
Hata Nyerere alifanya ibada za kitaifa pale St Joseph.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!