muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,074
- 4,695
Ndugu zangu,
Siwezi kumkufuru Mungu kwa kusema pengine mimi ndio niliugua sana kuliko watu wote au Mimi ndio nimeteseka sana kuliko watu wote, najua wapo walioteseka zaidi yangu haya mara 1,000
Lakini kuugua ni habari nyingine, kwa kweli ubinadamu ni kazi sana, tunafurahia maisha tunakunywa tunakula lakini ubinadamu ni kazi,
Nilifululiza zaidi ya miezi sita kitandani nikiugua, kilichoniokoa ni kwamba Mimi ni Mtumishi wa umma hivyo nilikua nikiingiza kipato mwisho wa mwezi sijui kama ningekua siingizi kipato ingekuaje,
Ilifika hatua nikaanza kuona kama bora yao waliokufa maana hawana tena mateso ya kuugua na kuhangaika
Aisee maisha tuliyonayo hapa duniani ni adhabu tosha Mungu atusamehe na moto wa milele!
Mungu awabariki
Jumamosi njema
Siwezi kumkufuru Mungu kwa kusema pengine mimi ndio niliugua sana kuliko watu wote au Mimi ndio nimeteseka sana kuliko watu wote, najua wapo walioteseka zaidi yangu haya mara 1,000
Lakini kuugua ni habari nyingine, kwa kweli ubinadamu ni kazi sana, tunafurahia maisha tunakunywa tunakula lakini ubinadamu ni kazi,
Nilifululiza zaidi ya miezi sita kitandani nikiugua, kilichoniokoa ni kwamba Mimi ni Mtumishi wa umma hivyo nilikua nikiingiza kipato mwisho wa mwezi sijui kama ningekua siingizi kipato ingekuaje,
Ilifika hatua nikaanza kuona kama bora yao waliokufa maana hawana tena mateso ya kuugua na kuhangaika
Aisee maisha tuliyonayo hapa duniani ni adhabu tosha Mungu atusamehe na moto wa milele!
Mungu awabariki
Jumamosi njema