rutegeramisi gwategera
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 446
- 493
Wewe haujasoma?Aliyesoma yote naomba anipe summary jamani
Wewe haujasoma?Aliyesoma yote naomba anipe summary jamani
5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.Hakuna maisha baada ya kifo wewe, Sasa Yesu anakuja kufufua watu wanini
5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.Ukifa hujui lolote
Wachungaj na manabii hapo dar wakiumwa tu, malaria wanakimbilia Ulaya, kutibiwa
Kama ukifa unaenda mbingun kwann wakiumwa wasitulie tu wafe waende mbinguni?
Wewe mtoa mada kwanini USINYWE SUMU UFE uende huko mbinguni?
Achen kudanganywa, BIBLIA IPO wazi, mtu akifa. Hajui kitu,
Hata Mimi nafikiri kifo ndio zawadi ya pekee kwa mwanadamu yenye hadhi iliyo tukuka.Vichwa vyetu vimekuwa programmed tokea kuzaliwa kwetu,kwamba kifo ni kitu Kibaya sana.
Huenda ikawa kinyume chake.
HuendaMungu yupo, tena ni mtenda miujiza kwa namna za pekee.. Ila hii ni chai iliyozidishiwa tangawizi..
Ngoma inogileHongera kutegua kitendawili
Huyo mtani wakoMjamaaa wewe
Lugha gonganacmrcsfvgtv'srevFredcf
Jf bana picha kuzimu?????????????Story nyingi bila picha ni kazi bule
Nakaa naye mtaa mmojaHuyo mtani wako
Hiyo ya laptop kutundikwa juu pasipo kuloa maji huku mvua nyingi ndiyo imeniacha hoi. Nikajua kumbe ni hadithi. Wanasema watu "Ni nzuri zaidi ya ukweli halisi." Kama zile za Holywood.u
umepata ajali mchana ila umeokotwa saa mbili asubuhi ,halafu umekaa hospitali mpaka umepona ukakumbuka laptop eti ukaifata eneo la tukio baada ya kupona .ukaikuta imepaa imejitundika juu ya mti .