Nilitegemea wabunge wetu wajadili ni lini Tanzania itauza mafuta nje

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Ni aibu iliyokithiri kuona baadhi ya wabunge wakiwa wakali sana kwenye kuongelea uingizwaji wa mafuta as if ni jambo la kujivunia.

Hivi ni kweli Tanzania haijajaaliwa kuwa na mafuta ya kula yanayotosheleza kulisha Tanzania na East Afrika?

Ni lini tutaacha kuingiza mafuta kutoka nje na kuanza kutumia mafuta kutoka SINGIDA?
Kwa nini Wabunge wasijadili kuongezwa kwa idadi ya viwanda vya mafuta ya kupikia (kwa hati ya dharura) ili tusolve tatizo?

Je kiwanda cha kukamua alizeti na kupata mafuta kinagharimu shilingi ngapi na chemistry ya namna gani?

Kwa nini fedha/dola inayotumika kununua mafuta ya kupikia isiende Singida/Kongwa au Zanzibar ?

Je wabunge wanaotetea uingizwaji wa mafuta kiholela kwa kisingizio cha uhaba wa mafuta wana maslahi gani kwenye biashara ya hayo mafuta?Je wanawasemea wananchi au Biashara zao?
 
Siyo lazima soko la ndani litoshelezwe na bidhaa zinazozalishwa nchini, hata nchi zilizoendelea wanakuwa na import ya consumer products nyingi tu. Kwenye soko huria ambapo watumiaji wana option ya kuamua ni bidhaa gani watumie kutokana na aina na ubora, huwezi kulazimisha kila mtu atumie mafuta ya alizeti kutoka Singida
 
Hatukatai hilo ni jambo njema tatizo umejiandaa vyakutosha?wakulima wa alizeti tuliokuwanao hawana uwezo wakulisha hata robo ya nch.andaa kwanza bajeti ya kutosha shawish wakulima wazalishe alizeti ya kutosha ndyo ufanye zuio.
 
Siyo dhambi kuimport mafuta ya kupikia..

Nchi nyingi tu zilizoendelea wanazalisha bidhaa kadha wa kadha za kutosha na still zinaruhusu importation za bidhaa hizo hizo..

Bidhaa ziwe kwenye soko za kutosha na mlaji awe na choice kubwa ya kupata kilicho bora..

Usiwe na akili za ovyo kama za jpm wewe..!!( eti waliosoma private schools hawana haki ya kupata mikopo..akili au matope hizi?)
 
Nguvu ya serikali kwenye kilimo ipoje? Km hela hizo mnazonunulia Boeing mngezielekeza kwa vijana waende kwenye kilimo mngekuwa mko mbali sana na tz ya viwanda ingewezekana.
 
Ni aibu iliyokithiri kuona baadhi ya wabunge wakiwa wakali sana kwenye kuongelea uingizwaji wa mafuta as if ni jambo la kujivunia.

Hivi ni kweli Tanzania haijajaaliwa kuwa na mafuta ya kula yanayotosheleza kulisha Tanzania na East Afrika?

Ni lini tutaacha kuingiza mafuta kutoka nje na kuanza kutumia mafuta kutoka SINGIDA?
Kwa nini Wabunge wasijadili kuongezwa kwa idadi ya viwanda vya mafuta ya kupikia (kwa hati ya dharura) ili tusolve tatizo?

Je kiwanda cha kukamua alizeti na kupata mafuta kinagharimu shilingi ngapi na chemistry ya namna gani?

Kwa nini fedha/dola inayotumika kununua mafuta ya kupikia isiende Singida/Kongwa au Zanzibar ?

Je wabunge wanaotetea uingizwaji wa mafuta kiholela kwa kisingizio cha uhaba wa mafuta wana maslahi gani kwenye biashara ya hayo mafuta?Je wanawasemea wananchi au Biashara zao?
cha ajabu sasa, pamoja na ukubwa wa misitu, na uhodari wa kulima mahindi marekani, lakini kwa kiasi kikubwa nyama ya ngurue wanaagiza kutoka China.
 
Ni aibu iliyokithiri kuona baadhi ya wabunge wakiwa wakali sana kwenye kuongelea uingizwaji wa mafuta as if ni jambo la kujivunia.

Hivi ni kweli Tanzania haijajaaliwa kuwa na mafuta ya kula yanayotosheleza kulisha Tanzania na East Afrika?

Ni lini tutaacha kuingiza mafuta kutoka nje na kuanza kutumia mafuta kutoka SINGIDA?
Kwa nini Wabunge wasijadili kuongezwa kwa idadi ya viwanda vya mafuta ya kupikia (kwa hati ya dharura) ili tusolve tatizo?

Je kiwanda cha kukamua alizeti na kupata mafuta kinagharimu shilingi ngapi na chemistry ya namna gani?

Kwa nini fedha/dola inayotumika kununua mafuta ya kupikia isiende Singida/Kongwa au Zanzibar ?

Je wabunge wanaotetea uingizwaji wa mafuta kiholela kwa kisingizio cha uhaba wa mafuta wana maslahi gani kwenye biashara ya hayo mafuta?Je wanawasemea wananchi au Biashara zao?
miradi ya wenye nchi hiyo kaka, tusipoagiza mafuta ya kula kutoka nje in maanisha mkulima wa mazao yanayozalisha mafuta kama alizeti ataishi kama malaika jambo ambalo halitakiwi na watawala wetu! ndiyo maana wanatetea importation maana wanafaidika nayo huku wanyonge wakidodewa na alizeti, mawezse, ufuta majumbani mwao.TUENDELEE TU KUWAFAIDISHA WAGENI NA WATANZANIA WACHACHE SANA WASIOKUWA WAZALENDO.
 
Ni aibu iliyokithiri kuona baadhi ya wabunge wakiwa wakali sana kwenye kuongelea uingizwaji wa mafuta as if ni jambo la kujivunia.

Hivi ni kweli Tanzania haijajaaliwa kuwa na mafuta ya kula yanayotosheleza kulisha Tanzania na East Afrika?

Ni lini tutaacha kuingiza mafuta kutoka nje na kuanza kutumia mafuta kutoka SINGIDA?
Kwa nini Wabunge wasijadili kuongezwa kwa idadi ya viwanda vya mafuta ya kupikia (kwa hati ya dharura) ili tusolve tatizo?

Je kiwanda cha kukamua alizeti na kupata mafuta kinagharimu shilingi ngapi na chemistry ya namna gani?

Kwa nini fedha/dola inayotumika kununua mafuta ya kupikia isiende Singida/Kongwa au Zanzibar ?

Je wabunge wanaotetea uingizwaji wa mafuta kiholela kwa kisingizio cha uhaba wa mafuta wana maslahi gani kwenye biashara ya hayo mafuta?Je wanawasemea wananchi au Biashara zao?

Doh!!!!, Kiwanda kwa hati ya dharura??? Hii Kali sana.
Na hii mentality ya monopoly tunayoianza itatutenda wema??? Yes tuzalishe but acha uwepo ushindani. Hatuwezi kujitosheleza kwa kila kitu, ushindani maxima uwepo ili bei na ubora viwe upande wa wananchi.
 
Jingalao najua wewe si mjinga kweli..Kilimo kwanza kilishakufa zamani. Wakulima wa Alizeti ni wachache na wala hawana incentives na hata hivyo hawapati ruzuku. Mshauri Mwenyekiti wetu hakuna viwanda bila kilimo. Tumshauri awekeze kwenye kilimo tafadhali..
 
Ni aibu iliyokithiri kuona baadhi ya wabunge wakiwa wakali sana kwenye kuongelea uingizwaji wa mafuta as if ni jambo la kujivunia.

Hivi ni kweli Tanzania haijajaaliwa kuwa na mafuta ya kula yanayotosheleza kulisha Tanzania na East Afrika?

Ni lini tutaacha kuingiza mafuta kutoka nje na kuanza kutumia mafuta kutoka SINGIDA?
Kwa nini Wabunge wasijadili kuongezwa kwa idadi ya viwanda vya mafuta ya kupikia (kwa hati ya dharura) ili tusolve tatizo?

Je kiwanda cha kukamua alizeti na kupata mafuta kinagharimu shilingi ngapi na chemistry ya namna gani?

Kwa nini fedha/dola inayotumika kununua mafuta ya kupikia isiende Singida/Kongwa au Zanzibar ?

Je wabunge wanaotetea uingizwaji wa mafuta kiholela kwa kisingizio cha uhaba wa mafuta wana maslahi gani kwenye biashara ya hayo mafuta?Je wanawasemea wananchi au Biashara zao?
Mkuu, maendeleo sio kujitosheleza katika kuzalisha bidhaa ndani, nafikiri ungehoji, ni lini Tanzania itakuwa na sekta zake ambazo inazimudu kwa kuzalisha kwa ajili ya export. Pia changamoto sio kwenda kununua singida, changamoto ni je kuna mali ghafi za kutosha kuzalisha hayo mafuta. Waziri mwijahe jana alikiri kuwa hakuna malighafi za kutosha kuzalisha mafuta ndani ya nchi, hata hayo yaliyozuiwa bandarini ni mafuta ghafi. Nafikiri kama tanzania tuwe na sekta za vipaombele maana si lazima kujitosheleza kwa kila kitu.
 
tuna mawese, nyonyo, alizeti, pamba, ufuta Na mazao mengine mengi, kwanini tuna import mafuta?
Je gharama za ku import ziko chini kuliko za kuzalisha nchini, au shida ni nini?
 
Ni aibu iliyokithiri kuona baadhi ya wabunge wakiwa wakali sana kwenye kuongelea uingizwaji wa mafuta as if ni jambo la kujivunia.

Hivi ni kweli Tanzania haijajaaliwa kuwa na mafuta ya kula yanayotosheleza kulisha Tanzania na East Afrika?

Ni lini tutaacha kuingiza mafuta kutoka nje na kuanza kutumia mafuta kutoka SINGIDA?
Kwa nini Wabunge wasijadili kuongezwa kwa idadi ya viwanda vya mafuta ya kupikia (kwa hati ya dharura) ili tusolve tatizo?

Je kiwanda cha kukamua alizeti na kupata mafuta kinagharimu shilingi ngapi na chemistry ya namna gani?

Kwa nini fedha/dola inayotumika kununua mafuta ya kupikia isiende Singida/Kongwa au Zanzibar ?

Je wabunge wanaotetea uingizwaji wa mafuta kiholela kwa kisingizio cha uhaba wa mafuta wana maslahi gani kwenye biashara ya hayo mafuta?Je wanawasemea wananchi au Biashara zao?
Unajua bei ya mfuko mmoja wa mbolea?? Na unajua pato la mkulima nchi hii??? Ukielewa hapo ndipo utakaapo anza jua kuwa siasa za Africa ni usanii.
 
Siyo lazima soko la ndani litoshelezwe na bidhaa zinazozalishwa nchini, hata nchi zilizoendelea wanakuwa na import ya consumer products nyingi tu. Kwenye soko huria ambapo watumiaji wana option ya kuamua ni bidhaa gani watumie kutokana na aina na ubora, huwezi kulazimisha kila mtu atumie mafuta ya alizeti kutoka Singida
Katika ubora ni bidhaa ipi bora Alizeti ama hayo mengine
 
Back
Top Bottom