Nilitegemea Ruzuku ya vyama Kufutwa kwenye Bajeti 2017/18

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,074
Napongeza sana kwa bajeti nzuri ya serikali ya 2017/18.
Nilitegemea serikali ingefutaa ruzuku inayotolewa kwenye vyama vya siasa ili vyama hivi vitegemee michango ya wanachama wake. Ukichunguza sehemu kubwa ya pesa hizi za ruzuku huwa zinaingia kwenye mifuko ya viongozi wachache wa vyama hivi. Ruzuku pia huwa ndio chanzo cha migogoro ya baadhi ya vyama vya siasa.
 
Mkuu MACCM wanachama wao hawatoi ada za kila mwaka. Hivyo ruzuku tu haitoshi inabidi wachote pia toka hazina, lakini sitashangaa hili likitokea ili wavimalize vyama vya upinzani na wenyewe wakiendelea kuchota hazina. Jitihada zao nyingine za kuviua vyama vya upinzani hazijafanikiwa.
 
Napongeza sana kwa bajeti nzuri ya serikali ya 2017/18.
Nilitegemea serikali ingefutaa ruzuku inayotolewa kwenye vyama vya siasa ili vyama hivi vitegemee michango ya wanachama wake. Ukichunguza sehemu kubwa ya pesa hizi za ruzuku huwa zinaingia kwenye mifuko ya viongozi wachache wa vyama hivi. Ruzuku pia huwa ndio chanzo cha migogoro ya baadhi ya vyama vya siasa.
Naunga mkono hoja, pia niliwahi kuuliza hivi kuhusu ruzuku...
Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ...

P.
 
Napongeza sana kwa bajeti nzuri ya serikali ya 2017/18.
Nilitegemea serikali ingefutaa ruzuku inayotolewa kwenye vyama vya siasa ili vyama hivi vitegemee michango ya wanachama wake. Ukichunguza sehemu kubwa ya pesa hizi za ruzuku huwa zinaingia kwenye mifuko ya viongozi wachache wa vyama hivi. Ruzuku pia huwa ndio chanzo cha migogoro ya baadhi ya vyama vya siasa.
Mifuko ya wachache??? Ndio alivyosema hivyo CAG??? na kma CAG alikagua vyama vya siasa na akakuta pesa zinafujwa alitoa mapendekezo gani?? Embu tuanzie hapo kwanza maana naona unaleta sababu za kufikirika na solution za kufikirika pia
 
CCM ina vitega uchumi vingi pia wafadhiri tatizo chama cha washika ukuta kutakuwa ndiyo kimefikia mwisho.
Vitega uchumi vipi?? Vile mlivyohodhi vya enzi za chama kimoja kma viwanja vya mpira na majengo???? Acheni uhuni...... ifike mahali mvirudishe kwa UMMA na nyie mtafute vyenu
 
Siku ambayo ruzuku ikifutwa, Mwenyekiti wa Chama Fulani atakubali kuachia madaraka na kuwapisha wengine.
Kwani wakati anaingia alikuta tunapata ruzuku shilingi ngapi???? Yaani ruzuku ambayo hata haitoshi kugharamia operation moja ya chama ndio sababu ya mbowe kubaki?? Na yale mabilioni tulionunulia helicopter nayo ni ruzuku??? Embu acheni kumdhalilisha mwenyekiti kana kwamba hajawahi kushika hela kabla ya kuingia chadema..... yeye ni mfanyabiashara na anaweza survive nje ya siasa msifikiri kila mtu ni mtafuta ulaji anapoingia kwenye siasa kma hao wa ccm kina bulembo ama lusinde
 
Mkuu MACCM wanachama wao hawatoi ada za kila mwaka. Hivyo ruzuku tu haitoshi inabidi wachote pia toka hazina, lakini sitashangaa hili likitokea ili wavimalize vyama vya upinzani na wenyewe wakiendelea kuchota hazina. Jitihada zao nyingine za kuviua vyama vya upinzani hazijafanikiwa.
Mkuu tatizo wanachama hawaonii benefits za hizo ruzuku. Mfano maofisi mengi ya baadhi ya vyama vya siasa vimeshindwa kulipia kodi. Vyama haviwi wazi kwa wanachama wao kwa mapato/matumizi transparency.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwani wakati anaingia alikuta tunapata ruzuku shilingi ngapi???? Yaani ruzuku ambayo hata haitoshi kugharamia operation moja ya chama ndio sababu ya mbowe kubaki?? Na yale mabilioni tulionunulia helicopter nayo ni ruzuku??? Embu acheni kumdhalilisha mwenyekiti kana kwamba hajawahi kushika hela kabla ya kuingia chadema..... yeye ni mfanyabiashara na anaweza survive nje ya siasa msifikiri kila mtu ni mtafuta ulaji anapoingia kwenye siasa kma hao wa ccm kina bulembo ama lusinde
Mkuu mbona umepanic tutajie huyo mwenyekiti ni nani ?
Na kwanini anataka kuwa Mwenyekiti wa maisha.
 
Kwani wakati anaingia alikuta tunapata ruzuku shilingi ngapi???? Yaani ruzuku ambayo hata haitoshi kugharamia operation moja ya chama ndio sababu ya mbowe kubaki?? Na yale mabilioni tulionunulia helicopter nayo ni ruzuku??? Embu acheni kumdhalilisha mwenyekiti kana kwamba hajawahi kushika hela kabla ya kuingia chadema..... yeye ni mfanyabiashara na anaweza survive nje ya siasa msifikiri kila mtu ni mtafuta ulaji anapoingia kwenye siasa kma hao wa ccm kina bulembo ama lusinde


mkuu mbona hajatajwa jina??

wenyeviti wako wengi sana, huyo wako unayemtetea ni nani?

mtajeeeeeeee
 
Mkuu mbona umepanic tutajie huyo mwenyekiti ni nani ?
Na kwanini anataka kuwa Mwenyekiti wa maisha.
Nashangaa kuna mtu hapo juu anadai wenyeviti wa upinzani wamebaki kwenye madaraka kisa RUZUKU.....sasa nampa mfano wa mwenyekiti kuwa kabla hta ya siasa alikuwa ni mtu ambaye anabiashara zake na anaingiza kipato halali hta lipumba pia hta kina zitto mpaka mbatia ni watu wenye professionals zao zinazowapa pesa hata nje ya maisha ya siasa ssa kivp mnadai wanabaki kwenye vyama kisa ruzuku????

Kwani kabla ya siasa walikuwa makapuku tu wakushindia mihogo na maji??? Pesa nyingi za vyama zinatoka kwa vyama rafikibna wadhamini ila ruzuku huwa haitoshi ssa kujenga hoja kuwa wapinzani wapo kwa ajili ya ruzuku inatia ukakasi sana ya jinsi watanzania tunavyofikiri!!!!

Labda niulize wakati mbowe anaingia chadema alikuta ruzuku shingapi??? Tuanzie hapo
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom