Nilitegemea mtafiti wa afya NIMR awe director na siyo...

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,651
18,309
Naamini kwamba kuendesha taasisi ya utafiti wa afya kama vile NIMR anahitajika mtu mwenye historia na uzoefu katika masuala ya ufafiti wa afya. Ninavyojua Prof. Mgaya ni mtaalamu wa masuala ya aquatic sciences. Wataalamu hawa wapo NIMR tele na hata taasis nyingine za utafiti wa afya ya binadamu kwanini hawapewi nafasi?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom