Naamini kwamba kuendesha taasisi ya utafiti wa afya kama vile NIMR anahitajika mtu mwenye historia na uzoefu katika masuala ya ufafiti wa afya. Ninavyojua Prof. Mgaya ni mtaalamu wa masuala ya aquatic sciences. Wataalamu hawa wapo NIMR tele na hata taasis nyingine za utafiti wa afya ya binadamu kwanini hawapewi nafasi?