VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Kama majibu ya polex2 na taarifa ya serikali ndio hayo na ni sahihi!? Basi CAG na team yake ni vilaza wa ajabu hawakuweza kuelewa mapema !? Vinginevyo mnawafanya Watanzania ni wajinga sana!!!! Kibaya zaidi taarifa rasmi imetolewa Bungeni
! IPO siku Bunge litakuwa na uzalendo watawahukumu kwa kudanganya!
Swali kubwa nani anathibitisha entry hizo za kubalance 1.5T mnataja tu kubalance figure,mnatufanya malofa sana
! IPO siku Bunge litakuwa na uzalendo watawahukumu kwa kudanganya!
Swali kubwa nani anathibitisha entry hizo za kubalance 1.5T mnataja tu kubalance figure,mnatufanya malofa sana