johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,664
Binafsi nilitegemea ilipotoka tu taarifa ya Zitto ambaye kitaaluma ni mchumi kuhusu utata wa 1.5T katika ripoti ya CAG basi wataalamu wa fedha na uhasibu wangemiminika kutoa ufafanuzi. Haikuwa hivyo na badala yake akaibuka mwanaharakati Kafulila ambaye badala ya kufafanua yeye akazidisha utata.
Wakati taharuki ikiongezeka katika mitandao kwa bahati njema akatokea mwenezi wa CCM ndugu Polepole na kutengua utata uliokuwepo. Na kwa bahati njema zaidi ufafanuzi kama ule wa Polepole kesho yake ukatolewa bungeni ikiwa ni taarifa ya serikali.
Ndiposa nauliza taifa bado lina wahasibu wale wa kwa Musasira au wamebadili field na kujiunga na taaluma nyingine.
Wale wahasibu wa zamani wa Naboce na NAD wangelikwishajitokeza mapema na kusema " .....hakuna utata wowote Zitto anatafsiri kwa Cash basis wakati serikali inatumia mfumo wa Accrual basis"....... Niishie hapo!
Wakati taharuki ikiongezeka katika mitandao kwa bahati njema akatokea mwenezi wa CCM ndugu Polepole na kutengua utata uliokuwepo. Na kwa bahati njema zaidi ufafanuzi kama ule wa Polepole kesho yake ukatolewa bungeni ikiwa ni taarifa ya serikali.
Ndiposa nauliza taifa bado lina wahasibu wale wa kwa Musasira au wamebadili field na kujiunga na taaluma nyingine.
Wale wahasibu wa zamani wa Naboce na NAD wangelikwishajitokeza mapema na kusema " .....hakuna utata wowote Zitto anatafsiri kwa Cash basis wakati serikali inatumia mfumo wa Accrual basis"....... Niishie hapo!