Nilitegemea kuziona CPA ( T ) na ACCA zikitufafanulia utata wa 1.5T kabla ya Polepole kuja kuokoa Jahazi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,779
141,664
Binafsi nilitegemea ilipotoka tu taarifa ya Zitto ambaye kitaaluma ni mchumi kuhusu utata wa 1.5T katika ripoti ya CAG basi wataalamu wa fedha na uhasibu wangemiminika kutoa ufafanuzi. Haikuwa hivyo na badala yake akaibuka mwanaharakati Kafulila ambaye badala ya kufafanua yeye akazidisha utata.

Wakati taharuki ikiongezeka katika mitandao kwa bahati njema akatokea mwenezi wa CCM ndugu Polepole na kutengua utata uliokuwepo. Na kwa bahati njema zaidi ufafanuzi kama ule wa Polepole kesho yake ukatolewa bungeni ikiwa ni taarifa ya serikali.

Ndiposa nauliza taifa bado lina wahasibu wale wa kwa Musasira au wamebadili field na kujiunga na taaluma nyingine.

Wale wahasibu wa zamani wa Naboce na NAD wangelikwishajitokeza mapema na kusema " .....hakuna utata wowote Zitto anatafsiri kwa Cash basis wakati serikali inatumia mfumo wa Accrual basis"....... Niishie hapo!
 
Binafsi nilitegemea ilipotoka tu taarifa ya Zitto ambaye kitaaluma ni mchumi kuhusu utata wa 1.5T katika ripoti ya CAG basi wataalamu wa fedha na uhasibu wangemiminika kutoa ufafanuzi. Haikuwa hivyo na badala yake akaibuka mwanaharakati Kafulila ambaye badala ya kufafanua yeye akazidisha utata. Wakati taharuki ikiongezeka katika mitandao kwa bahati njema akatokea mwenezi wa CCM ndugu Polepole na kutengua utata uliokuwepo. Na kwa bahati njema zaidi ufafanuzi kama ule wa Polepole kesho yake ukatolewa bungeni ikiwa ni taarifa ya serikali. Ndiposa nauliza taifa bado lina wahasibu wale wa kwa Musasira au wamebadili field na kujiunga na taaluma nyingine. Wale wahasibu wa zamani wa Naboce na NAD wangelikwishajitokeza mapema na kusema " .....hakuna utata wowote Zitto anatafsiri kwa Cash basis wakati serikali inatumia mfumo wa Accrual basis"....... Niishie hapo!
What about PhDs in chemistry?
 
Binafsi nilitegemea ilipotoka tu taarifa ya Zitto ambaye kitaaluma ni mchumi kuhusu utata wa 1.5T katika ripoti ya CAG basi wataalamu wa fedha na uhasibu wangemiminika kutoa ufafanuzi. Haikuwa hivyo na badala yake akaibuka mwanaharakati Kafulila ambaye badala ya kufafanua yeye akazidisha utata. Wakati taharuki ikiongezeka katika mitandao kwa bahati njema akatokea mwenezi wa CCM ndugu Polepole na kutengua utata uliokuwepo. Na kwa bahati njema zaidi ufafanuzi kama ule wa Polepole kesho yake ukatolewa bungeni ikiwa ni taarifa ya serikali. Ndiposa nauliza taifa bado lina wahasibu wale wa kwa Musasira au wamebadili field na kujiunga na taaluma nyingine. Wale wahasibu wa zamani wa Naboce na NAD wangelikwishajitokeza mapema na kusema " .....hakuna utata wowote Zitto anatafsiri kwa Cash basis wakati serikali inatumia mfumo wa Accrual basis"....... Niishie hapo!
Huu uzi ni mfupi lakini ni wa maana sana.

Mchumi anataka kujifanya mhasubu.
Sijui kama vile vitu viitwavyo accruals na prepayment wanazifahamu. Pamoja na kusema hayo lazima kuna walakini hapo kwenye 1.5t labda kwenye foot notes za report wameielezea hiyo tofauti. Kama hawajaelezea sioni kwanini imeachwa wazi hivyo katika report ya mwisho ya CAG. Kama suala ni accruels basi ilitakiwa ionekane kati Accrual account na siyo i hang tu. Maoni yangu mimi Lay man niliyeishia ACCA stage 1
 
Binafsi nilitegemea ilipotoka tu taarifa ya Zitto ambaye kitaaluma ni mchumi kuhusu utata wa 1.5T katika ripoti ya CAG basi wataalamu wa fedha na uhasibu wangemiminika kutoa ufafanuzi. Haikuwa hivyo na badala yake akaibuka mwanaharakati Kafulila ambaye badala ya kufafanua yeye akazidisha utata. Wakati taharuki ikiongezeka katika mitandao kwa bahati njema akatokea mwenezi wa CCM ndugu Polepole na kutengua utata uliokuwepo. Na kwa bahati njema zaidi ufafanuzi kama ule wa Polepole kesho yake ukatolewa bungeni ikiwa ni taarifa ya serikali. Ndiposa nauliza taifa bado lina wahasibu wale wa kwa Musasira au wamebadili field na kujiunga na taaluma nyingine. Wale wahasibu wa zamani wa Naboce na NAD wangelikwishajitokeza mapema na kusema " .....hakuna utata wowote Zitto anatafsiri kwa Cash basis wakati serikali inatumia mfumo wa Accrual basis"....... Niishie hapo!
Mkuu yale ni makusanyo halisi yaani actual collection, Serikalini ilikusanya na kiasi kikubwa ikajitetea imekitumia kulipa mishahara, Kiasi kilichobaki ndio tatizo linaanza

1.Waseme wamenunulia madiwani wa chadema?
2.Wamejengea Le internaonale de chato airport?
3.Wamenunulia bombadia?

Ni nani aliwapa mamlaka ya kutumia pesa zetu wanavyotaka wao kwa kutumia ndoto zao na wake zao?

Je? Utawala bora upo wapi kwanini wasimtaje aliamrisha kupiga hizo pesa bila idhini ya bunge

Na kama hazijafanya hayo wamepeleka wapi hizo trioni 1.5

Yule katibu wa hazina mtoto wake na Dada anajua ndie anayeidhinisha zipo wapi?

Hakuna cha accrual hapo ile ni actual cash, kumbuka yaliyokaguliwa ni matumizi ya budget iliyopita, CAG amepita document zinapishana, BOT walichorekodi ndio hicho, Hiyo trioni kwenye vitabu vya BoT hakuna
 
Mkuu yale ni makusanyo halisi yaani actual collection, Serikalini ilikusanya na kiasi kikubwa ikajitetea imekitumia kulipa mishahara, Kiasi kilichobaki ndio tatizo linaanza

1.Waseme wamenunulia madiwani wa chadema?
2.Wamejengea Le internaonale de chato airport?
3.Wamenunulia bombadia?

Ni nani aliwapa mamlaka ya kutumia pesa zetu wanavyotaka wao kwa kutumia ndoto zao na wake zao?

Je? Utawala bora upo wapi kwanini wasimtaje aliamrisha kupiga hizo pesa bila idhini ya bunge

Na kama hazijafanya hayo wamepeleka wapi hizo trioni 1.5

Yule katibu wa hazina mtoto wake na Dada anajua ndie anayeidhinisha zipo wapi?

Hakuna cha accrual hapo ile ni actual cash, kumbuka yaliyokaguliwa ni matumizi ya budget iliyopita, CAG amepita document zinapishana, BOT walichorekodi ndio hicho, Hiyo trioni kwenye vitabu vya BoT hakuna
Wewe siyo mhasibu!
 
Binafsi nilitegemea ilipotoka tu taarifa ya Zitto ambaye kitaaluma ni mchumi kuhusu utata wa 1.5T katika ripoti ya CAG basi wataalamu wa fedha na uhasibu wangemiminika kutoa ufafanuzi. Haikuwa hivyo na badala yake akaibuka mwanaharakati Kafulila ambaye badala ya kufafanua yeye akazidisha utata. Wakati taharuki ikiongezeka katika mitandao kwa bahati njema akatokea mwenezi wa CCM ndugu Polepole na kutengua utata uliokuwepo. Na kwa bahati njema zaidi ufafanuzi kama ule wa Polepole kesho yake ukatolewa bungeni ikiwa ni taarifa ya serikali. Ndiposa nauliza taifa bado lina wahasibu wale wa kwa Musasira au wamebadili field na kujiunga na taaluma nyingine. Wale wahasibu wa zamani wa Naboce na NAD wangelikwishajitokeza mapema na kusema " .....hakuna utata wowote Zitto anatafsiri kwa Cash basis wakati serikali inatumia mfumo wa Accrual basis"....... Niishie hapo!

Mkuu naomba nitofautiane na wewe kimawazo, report ya CAG imeandikwa kwa kiswahili kabisa kiasi kwamba kila mtu regardless ya taaluma anaweza kuidadavua,hoja ya 1.5trilion ukurasa wa 34 haitaji cpa wala acca kuilewa! Iko very digested vizur kila mtu anaweza kuilewa, ni hesabu ya kujumlisha na kutoa tu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom