IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Nimeona clip from ikulu ikimuonesha engineer Mfugale mkurugenzi mkuu wa Tanroad akitoa ufafanuzi juu ya ujenzi wa uwanja wa mpira Dodoma.
Nilitegemea kumuona mh mwakyembe au naibu wakitoa ufafanuzi lakini cijawaona au Tanroad wanajenga viwanja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitegemea kumuona mh mwakyembe au naibu wakitoa ufafanuzi lakini cijawaona au Tanroad wanajenga viwanja?
Sent using Jamii Forums mobile app