Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
nakuunga mguu aaaah sori nakuunga mgegedeo aaaaaaa jamani nakuunga nini hii mkono ati!!!!
Lol! we Ungaunga Tu, Lakini hakuna Kilichonikatika Kati Ya Hivyo!
nakuunga mguu aaaah sori nakuunga mgegedeo aaaaaaa jamani nakuunga nini hii mkono ati!!!!
chezea toto la singida mixer na unyamwezi wa sikonge? mi nilipata toto shombe shombe la kiarabu hatarrriiii mkuu huyo wako hamfikii wa kwangu, yeye alikua mixer mnyramba na mnyamwezi mwarabu tobaaaa kidogo niache shuleeee
Shukuru Mungu,saiv ungekuwa unauza mahindi ya kuchoma stand au kupalilia minazi wala JF usingeifahamu!
Hahahahah......Uwiiiiiiii...mweh!....JF ina Mambo!!!
Lol! we Ungaunga Tu, Lakini hakuna Kilichonikatika Kati Ya Hivyo!
Usikonde mkuu ntatiririka soon!
now you sound like a man,31:Alikiri kwamba mtoto ni wa MASIGITI(JOHN MANYAMA)na anampenda sana mumewe,na akaahidi kunirudishia gharama zangu zote nilizozitumia kwake.
Nilimjibu kwamba ssitaji anirudishie chochote.
Tulianza safari ya kurudi mjini huku kichwani nikiwaza namna ya kuieleza jamii ili inielewe.
Baada ya kufika mjini my best aliamua kuondoka siku hiyo hiyo kwenda Nzega ili kesho yake apande basi kurudi SINGIDA,aliniahidi kwamba tungewasiliana baada ya yeye kufika.
Baada ya kama siku4 alinitumia simu ya maandishi kwamba alifika salama na wanaendelea na maisha vema.
NOTE:sitaweza kusema kilicho mkimbiza jeshi maana ni mambo ya ndani zaisi.
Ilipita wiki ikaja mwezi,mara mwaka,na kila siku nilikua nikiwaza ni vipi ntamwambia my mama na ndugu zangu juu ya mkasa huu?maana my mama aliniambia si mwanangu mie nikambishia tena kwa maneno makali,sasa yamenikuta mwanaume.
Ilipita miaka kama miwili hivi bila mawasiliano na my best friend,nilijaribu kufanya mawasiliano nae lakini bado hakupatika.
Nilichukua jukumu la kumtafuta lakini bado sikumpata,nilifunga safari mpaka SINGIDA,lakini jibu nililopewa ni kwamba mr MASIGITI(John Manyama)alishaa acha kazi kitambo na akabeba familia yake akahamia Ukerewe,nilitaka kujua sababu za kuacha kazi wakasema alikua hajaajiriwa na tulipo mwambia alete vyeti vya shule ndio ikawa jumla hakuonekana tena.Hii iliniangia akilini maana pia nilikua najua hakua na taaluma hiyo.
Nilijaribu kuomba contact zake lakini wakasema hawana na ata mkewe wakati anashughulikia uhamisho wa kwenda ukerewe hakutuachia address yoyote.
Miaka ilizidi kupita bila kuonana na my friend huyu kipenzi.
Pia nilizidi kuumia kuhusu familia yangu maana tayari taarifa zilishafika kijijini kwetu na hii ilisababisha nishindwe kwenda kijijini.
Baada ya miaka michache mbele bila kumuona my best na huku nikiwa nasumbuliwa na msongo wa mawazo nilianza kukata tamaa ya kuendelea na kazi.Nilikua nikiwachukia wanawake na wala nilikua sina huruma nao,nilianza "kuwagonga" bila huruma aise huku niingia kwenye ulevi wa pombe wakati tangu kuzaliwa nilikua sijawahi kunywa pombe.Bangi ndio ilikua sigara yangu na nilikua sioni shida kuivuta popote.
Nakumbuka siku 1 usiku nikiwa mitaa ya Ali Hasani Mwinyi kwenye kijiwe changu tukivuta bangi walitokea police kwa lengo la kutukamata,kwa wanao kumbuka tukio hili watathibitisha maana zilitembea ngumi ambazo sijawahi ona..Baada ya tif kuzidi niliamua kuchomoka mpaka camp nikiacha jamaa zangu wakishughulikiwa(walikua raia na hawakujua kama mm nilikua askari)
Ilivyofika asbh nilijawa na mawazo kichwani juu ya maisha ninayoishi,nilipiga hesabu ili kujua nimevuna nini kwa miaka 8 jeshini?nikaona hakuna cha maana zaidi ya mademu,nikaona sasa napotea...
Nilikua sina hamu na kazi tena na sasa nikaonekana ni mtovu wa nidhamu jeshini.
Niliwahi kushughulikiwa na ma MP lakini ilishindikana.
Sasa nikaona bora niache kazi niende migodini kutafuta mali...................
Usijali mtu wangu..mie ntakustua...nikuweekee na siti kabisa?
Halaf ujue kuna hapa ndani hata bosi wako naye yupo..
Ukija njoo na viroba aisee.. naona King'asti kaamua kuwa mamantilie hapa, ntakula ugali dagaa mie!
mambo gani ya kuchomeshana mahindi!
nilimaanisha nasapoti idea yako mkuu....only that
Siyo kuwa JF ina mambo.Sasa angeacha shule unadhani ingekuwaje?
(just Joke)
Nishakusoma Mkuu..pamoja Sana!