Nilishuka kwenye verossa tinted nyeus nikaingia bank kuweka milion 50

Naona unapenda sana fiksi na fiction stories nakushauri anzisha blog au fungua akaunt insta utapata followers wengi mana watu wanapenda kucheka au uwe stand up comedian mchekesha watu utapata hela kuliko humu mtu akicheka kaishia kuweka emoticons za kucheka na unakuta hapo kakunja sura bora uone watu wakcheka kwa stori zako hizi za kutunga ushauri tu
 
wewe ni mtoto wakiume tafuta pesa huu useng3 uliopost haukusaidii chochote kwenye maisha yako
 
Story ya watoto ,mtu mzima kuwambia watu wazima tunasema........
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu


Nilishuka kwenye gar zur aina ya verosa lenye namba C maana nimekuwa nalo toka mwaka jana

Nilimuona mama wa makamo akishuka kwenye gar lake aina ya NADIA tulikutanisha macho nikatabasam naye akatabasam vile vile, nilimpa hai YES MOMY akasema WARAP BOY nilimfuata nikamuomba namba yake ya cm akanipa then mimi nikaingia bank kupeleka mapene marefu


sikutaka hata kumuchelewa nilimpiga mistar aingia lain nikawa nampiga chuma kama kawa licha ya kunizid umur, nilianz kuwa naenda had kwake, nyumban kwake kulikuwa na mabinti wawili wakali kinoma

Yule binti mmoja alinizoea zoea nikambandua na yule wa pili naye alinizoea nikamdundua pia kulikuwa kuna dada wa kaz pale home naye pia nilimbandua


Kwa sasa niko kwenye hali mbaya sana maana kuanzia yule mama na wale watoto wake wawili pamoja na yule dada wa kaz wote wana mimba na wote wanadai mimi ndo mwenye hiyo mizigo

Yaan hiyo inaitwa nimekula kuku na mayai yake


Naomben ushaul wenu


LONDON BABY
Subiri na wewe utiwe mimba!
 
  • Thanks
Reactions: ywf
Back
Top Bottom