Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
DK Philip Mpango ndio kila kitu juu ya matumizi na mapato ya pesa za umma kuanzia awamu ya tano ilivyoingia na sasa awamu ya sita.
Japokuwa tupo awamu ya sita lakini ni kama tupo awamu ya tano ya JPM. Maana huyu Dk Mpango ndie aliengineer kila kitu juu ya kuweka pesa zote hazina na kubana matumizi yasiyo na tija kiasi cha uchumi kusinyaa.
Leo hii sekta binafsi zimekufa sababu ya kuzuiwa kufanya biashara na serikali. Na mimi nilipoona tu kuna mkutano kati ya Mama Samia,Dk Mpango na Prof Luoga nilijua hapa kutakuwa na noma.
Japokuwa tupo awamu ya sita lakini ni kama tupo awamu ya tano ya JPM. Maana huyu Dk Mpango ndie aliengineer kila kitu juu ya kuweka pesa zote hazina na kubana matumizi yasiyo na tija kiasi cha uchumi kusinyaa.
Leo hii sekta binafsi zimekufa sababu ya kuzuiwa kufanya biashara na serikali. Na mimi nilipoona tu kuna mkutano kati ya Mama Samia,Dk Mpango na Prof Luoga nilijua hapa kutakuwa na noma.