Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Stori yangu inaanzia mbali sana kipindi nikiwa chuo kikuu fulani, ilikua ni mwaka wa pili nikisoma shahada moja ya sayansi
Nakumbuka nilikua field nikakutana na mdada mzuri sana mweupe ana macho yanawaka mithiri ya theluji ya mlima Kilimanjaro miaka hio, 60 nyuma kabla ya mabadiliko ya hali ya hewa huyu mdada alikua ni mmoja ya wahusika kwenye taasisi ile alikua na umbo nzuri la kuvutia Ajabu nikaja kuambiwa yupo na miaka 17 alikua kama mwanafunzi pale
Basi nikafanya field wakati nikiwa pale nilikua najuana na kijana mmoja wa taasisi ile ambaye alikua talented sana akawa rafiki angu alikua anapenda kuimba na kushake na ku dance. Hakika alikua kijana hodari sana
Sasa muda ukapita nikamaliza field nikarudi chuo
Nilikua nimerudi discussion akili yangu imechoka nikachukua Simu yangu niangalie status whatsaap kama kawaida kuona ni nini kimejiri huko nilikua mpenzi sana wa Memes, maana wale walikua ndio wanaoniondolea stress heshima kubwa sana kwenu Memelords
Basi ghafla nikaona picha ya yule dada iko uploaded na jamaa yangu Jimmy ambae anafanya kazi taasis ile nikamuuliza jimmy huyu dada anaitwa nan akanambia witness
Nikamwabia asee hii pisi ni kali sana niliiona hapo ofisini. Bila hiana jimmy akanipa namba ya witness
Sasa kazi ikawa kwangu mtoto wa kiume nikamtext kwanza mtoto whatsaap akakaa kama siku 2 ndipo nikaona blue tick then aka reply poaa mzima wewe? Kwa bahati nzuri DP yangu ilikua na picha yangu kwaio wala hakuniuliza nani wewe? Nikamwambia umenipata lakin?
Akajibu Yes!!! Dooouh
Mwanaume nikajisemea kimoyo moyo hiii pisi itakua ilikua inanielewa lakini nilikua napoteza muda tu shwaini mimi
Basi usiku ule nikaishia hapo nikamwambia usiku mwema!! Nilikua nataka kukusalimia tu leo
Mtoto akajibu "mbona mapema?"
Moyo wangu ukalipuka puuuuuuuh mithili ya bomu la Hiroshima kule Nagasaki Japan mwaka huuo wakati mMarekani ana wasnitch wenzie
Nikamwambia imepita muda mrefu toka nimeondoka hapo lakini ajabu unanikumbuka vizuri akasema wewe peke ako ulikua huongei sana mi na admire sana kua marafiki na wakaka ambao sio waongeaji sana kheeeee!!! Nikajikuta kama simba dume ndani ya banda la swala napepewa tu nianze kazi
Usiku uleule mid night sana yule mtoto alikua anatabia ya kunitafta kuanzia saa 7 au 8 usiku siku zingine, kidume nausingizi ila najikaza najua hiiii pisi saa 8 ukiwasha data tu unaona iko online na ka meseji ka Hi
Sasa zikapita siku kadhaa kila siku tunachat kidg tunalala
Basi ikabidi mwanaume nifunguke kwamba toka nimefika apo kwenye taasisi yenu nilitokea kuvutiwa sana na wewe!!!
Nilikaa kidogo nikaona Voice recording...................
Mwanaume naogopa hatariiiiii hili jibu lisije kua nisilotegemea basi buana
Nikaifungua ile meseji......nikasikia sauti lainiiiiiiiiiii ikuongea kiswahili na kizungu humo ndani lakin nilisikia mimi piaa nakupenda hujakosea wala usiogope siku zoote toka umefika haapa niliona tu matendo yako......basi kidume nilijiona kama John Cena ndani ya ukumbi wa mieleka naona kabisa hapa sina mpinzani
Basi siku moja nikamuomba aje chuoni maana nilikua naishi peke angu chumba self contained kila kitu ndani nikajiaminisha hapa akija mtoto kwa hadhi hiii ya room hachomoki wallaaaaah
Akaniahidi kuja juma 3 ataomba ruhusa aseme anaumwa then aje
Ikafika juma 3 nikanywa zangu Mo energy nikachanganya na azam energy nikatimba stend kuuu palikua na umbali kidg eneo hilo ni uchagani guys
Sasa baada ya kufika pale nikakaa kama masaa 3 pisi haitokei ilipotokea sasa imevaa vizuri mnoooo!!!
Gauni moja liko tight umbo la mtoto linaonekana then aina ile ya nguo imeacha offshoulder
Mtoto wa kiume nikapagawa mnooooooooo
Sasa tukapanda bajaji mo town hao tunaelekea Uru sasa buana
Balaa likaaanzia njiani MtoTo nafika KCMC anasema siwezi kuendelea nikakaza twende kwann? Anasema huku kuna ndugu zangu wengi sana duuuuuuuuh
Nikasema buan buana kitunguuu kinataka kuingia mchanga kwanza akasimamisha bajaji akashuka akasema kama nataka tuwe woote turudi town na ni heri tuende hata guest but huku kuna ndugu wengi sana ndugu zangu NOOOOOO NOOOO NOOOOO siwez kwenda muda huuuu
Duuuh!!! Nikasema sawaaa tukarud mahali tukala vuzuri baada ya kula sasa tukiwa tunapiga stori tu vzr
Uzuri pale pale kulikua na guest nikauliza wakanambia ipo buku nikatoa hela ya guest..........
Sasa ajabu baada ya kutoa ile pesa sasa na mimi nilikua ni mtu ambae naendeshwa sana na hisia zangu kuna kitu kinaitwa conscience kwa wale ambao mmesoma psychology hua simlazimishi manzi akisema NO!!! kilichotokea sasa nikamwabia twende akasema hapana siwezi kwenda
Moyoni nimetoa hela ya guest lakin ghafla mzuka wa kwenda kumchapa manzi umeniisha lakin pisi ni kali mashaaalaaaah
Nikasema itaendelea............
Nakumbuka nilikua field nikakutana na mdada mzuri sana mweupe ana macho yanawaka mithiri ya theluji ya mlima Kilimanjaro miaka hio, 60 nyuma kabla ya mabadiliko ya hali ya hewa huyu mdada alikua ni mmoja ya wahusika kwenye taasisi ile alikua na umbo nzuri la kuvutia Ajabu nikaja kuambiwa yupo na miaka 17 alikua kama mwanafunzi pale
Basi nikafanya field wakati nikiwa pale nilikua najuana na kijana mmoja wa taasisi ile ambaye alikua talented sana akawa rafiki angu alikua anapenda kuimba na kushake na ku dance. Hakika alikua kijana hodari sana
Sasa muda ukapita nikamaliza field nikarudi chuo
Nilikua nimerudi discussion akili yangu imechoka nikachukua Simu yangu niangalie status whatsaap kama kawaida kuona ni nini kimejiri huko nilikua mpenzi sana wa Memes, maana wale walikua ndio wanaoniondolea stress heshima kubwa sana kwenu Memelords
Basi ghafla nikaona picha ya yule dada iko uploaded na jamaa yangu Jimmy ambae anafanya kazi taasis ile nikamuuliza jimmy huyu dada anaitwa nan akanambia witness
Nikamwabia asee hii pisi ni kali sana niliiona hapo ofisini. Bila hiana jimmy akanipa namba ya witness
Sasa kazi ikawa kwangu mtoto wa kiume nikamtext kwanza mtoto whatsaap akakaa kama siku 2 ndipo nikaona blue tick then aka reply poaa mzima wewe? Kwa bahati nzuri DP yangu ilikua na picha yangu kwaio wala hakuniuliza nani wewe? Nikamwambia umenipata lakin?
Akajibu Yes!!! Dooouh
Mwanaume nikajisemea kimoyo moyo hiii pisi itakua ilikua inanielewa lakini nilikua napoteza muda tu shwaini mimi
Basi usiku ule nikaishia hapo nikamwambia usiku mwema!! Nilikua nataka kukusalimia tu leo
Mtoto akajibu "mbona mapema?"
Moyo wangu ukalipuka puuuuuuuh mithili ya bomu la Hiroshima kule Nagasaki Japan mwaka huuo wakati mMarekani ana wasnitch wenzie
Nikamwambia imepita muda mrefu toka nimeondoka hapo lakini ajabu unanikumbuka vizuri akasema wewe peke ako ulikua huongei sana mi na admire sana kua marafiki na wakaka ambao sio waongeaji sana kheeeee!!! Nikajikuta kama simba dume ndani ya banda la swala napepewa tu nianze kazi
Usiku uleule mid night sana yule mtoto alikua anatabia ya kunitafta kuanzia saa 7 au 8 usiku siku zingine, kidume nausingizi ila najikaza najua hiiii pisi saa 8 ukiwasha data tu unaona iko online na ka meseji ka Hi
Sasa zikapita siku kadhaa kila siku tunachat kidg tunalala
Basi ikabidi mwanaume nifunguke kwamba toka nimefika apo kwenye taasisi yenu nilitokea kuvutiwa sana na wewe!!!
Nilikaa kidogo nikaona Voice recording...................
Mwanaume naogopa hatariiiiii hili jibu lisije kua nisilotegemea basi buana
Nikaifungua ile meseji......nikasikia sauti lainiiiiiiiiiii ikuongea kiswahili na kizungu humo ndani lakin nilisikia mimi piaa nakupenda hujakosea wala usiogope siku zoote toka umefika haapa niliona tu matendo yako......basi kidume nilijiona kama John Cena ndani ya ukumbi wa mieleka naona kabisa hapa sina mpinzani
Basi siku moja nikamuomba aje chuoni maana nilikua naishi peke angu chumba self contained kila kitu ndani nikajiaminisha hapa akija mtoto kwa hadhi hiii ya room hachomoki wallaaaaah
Akaniahidi kuja juma 3 ataomba ruhusa aseme anaumwa then aje
Ikafika juma 3 nikanywa zangu Mo energy nikachanganya na azam energy nikatimba stend kuuu palikua na umbali kidg eneo hilo ni uchagani guys
Sasa baada ya kufika pale nikakaa kama masaa 3 pisi haitokei ilipotokea sasa imevaa vizuri mnoooo!!!
Gauni moja liko tight umbo la mtoto linaonekana then aina ile ya nguo imeacha offshoulder
Mtoto wa kiume nikapagawa mnooooooooo
Sasa tukapanda bajaji mo town hao tunaelekea Uru sasa buana
Balaa likaaanzia njiani MtoTo nafika KCMC anasema siwezi kuendelea nikakaza twende kwann? Anasema huku kuna ndugu zangu wengi sana duuuuuuuuh
Nikasema buan buana kitunguuu kinataka kuingia mchanga kwanza akasimamisha bajaji akashuka akasema kama nataka tuwe woote turudi town na ni heri tuende hata guest but huku kuna ndugu wengi sana ndugu zangu NOOOOOO NOOOO NOOOOO siwez kwenda muda huuuu
Duuuh!!! Nikasema sawaaa tukarud mahali tukala vuzuri baada ya kula sasa tukiwa tunapiga stori tu vzr
Uzuri pale pale kulikua na guest nikauliza wakanambia ipo buku nikatoa hela ya guest..........
Sasa ajabu baada ya kutoa ile pesa sasa na mimi nilikua ni mtu ambae naendeshwa sana na hisia zangu kuna kitu kinaitwa conscience kwa wale ambao mmesoma psychology hua simlazimishi manzi akisema NO!!! kilichotokea sasa nikamwabia twende akasema hapana siwezi kwenda
Moyoni nimetoa hela ya guest lakin ghafla mzuka wa kwenda kumchapa manzi umeniisha lakin pisi ni kali mashaaalaaaah
Nikasema itaendelea............